Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo turnover ipo hivyo Toka mwaka 2015 View attachment 3382115
Kipindi hicho Azam hamkuwa na hizo kampuni
United petroleum
Bagamoyo sugar
Hotel Verde Zanzibar
Union properties
Mimi nadhan ungejikita kwa kutuletea sample ya uwekezaji wa Metl versus Azam ila kwa turnover ,hakuna mfanyabiashara anaweza kuweka wazi mauzo yake, hata hiyo Metl aliyoweka bado ni ndo sana kwa mauzo , huku mtaani watu wanamauzo zaid ya hata hayo ila ni issue za tra
Kama Azam ni mkubwa kuliko METL basi alipe kodi stahiki!
 
Viwanda serious vya Mo viko Kurasini, ambako anatengeneza Sabuni na mafuta ya kula.

Lakini pia anavyo vya unga na vinywaji.

Biashara nyingine za Mo ni Yard ya empty containers, na Khanga Morogoro.

Nyingine ni bishara za chap chap tu.


Ila Azam,


  • Media
  • Unga
  • Ice cream
  • Vinywaji
  • Marine tranaport
  • Real estate /Fumba town/Hotel verde
  • Technology
  • Mpira
-


Bado ukienda Kenya, Rwanda, Uganda, Mozambique, unamkuta.

Azam habahatishi hata kidogo
Kaka dunia haiendeshwi kwa emotions. Inaendeshwa kwa facts. Hebu anza kwanza kuwaza nje ya box.


1750830250022.png


Started in December 2010, Star Oil (T) Ltd isone of MeTL Group’s newest business ventures.Located near Dar es Salaam’s port at Kurasini,the company’s petroleum depots are connectedto four harbour-to-plant pipelines for bulkpetroleum product procurement direct from theKurasini Oil Jetty (KOJ) port into the company’sstorage tanks.

Star Oil’s strategic location allows for fastoffloading capacity, resulting in significantoperational savings. The facility has threeloading gantries, with a loading capacity of 5million litres per day, making Star Oil the mostefficient petroleum depot in Tanzania.

Star Oil’s storage facilities can store 38 million litres of petroleum products. Coupled withthe Group’s reliable and efficient distributionchannels, Star Oils supplies petroleum productsto petrol stations, manufacturing plants, andother bulk consumers of petroleum products,locally and in neighbouring Uganda, Rwanda, the Democratic Republic of Congo, Zambia, Malawi,and Burundi.
 
Mimi huwa naweka Evidences wewe unaweka maneno tu
MeTL:

Soma Company Profile ya MeTL hapa


Nitakuletea moja baada ya kingine

AGRICULTURE (KILIMO)


  • Sisal
  • Cotton (Pamba)
  • Oil Palms (Michikichi)
  • Sugar (Miwa/Masukari)
  • Cashews (Korosho)
  • Tractors & Implements (Matrekta na Zana za Kilimo)
Ndo maana tunakuambia hauko serious ,
Metl hana kiwanda chochote Cha sukari Tanzania ndo kwanza anapanga kuanza kujenga baada ya kununua eka 25,000 hii ni baada ya kuona Azam kafanikiwa kwenye sukari kama ilivyokuwa kwenye energy drinks.
Metl hana kiwanda Cha farm implements bali ni wakala tu wa hivyo vitu.
Metl ni mnununuzi tu wa mazao na kuexport hakuna processing yoyote anayofanya hana kiwanda chochote Cha kubangua korosho Dunia hii Wala hata Cha kubangua mbaazi kama mwenzake wa Moro.


Biashara kubwa ambazo tunaweza sema ndo kawekeza ni kwenye sisal na pamba tu.
Ila mafuta ya kula hakuna hata usd 150mil ya uwekezaji pale na kwa kama hujui hata hayo mafuta yenyewe analetewa kwa mkopo tu
 
Viwanda serious vya Mo viko Kurasini, ambako anatengeneza Sabuni na mafuta ya kula.

Lakini pia anavyo vya unga na vinywaji.

Biashara nyingine za Mo ni Yard ya empty containers, na Khanga Morogoro.

Nyingine ni bishara za chap chap tu.


Ila Azam,


  • Media
  • Unga
  • Ice cream
  • Vinywaji
  • Marine tranaport
  • Real estate /Fumba town/Hotel verde
  • Technology
  • Mpira
-


Bado ukienda Kenya, Rwanda, Uganda, Mozambique, unamkuta.

Azam habahatishi hata kidogo
Huyu nduguyo anamsikia Azam tu hajui hata uwekezaji wake🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndo maana tunakuambia hauko serious ,
Metl hana kiwanda chochote Cha sukari Tanzania ndo kwanza anapanga kuanza kujenga baada ya kununua eka 25,000 hii ni baada ya kuona Azam kafanikiwa kwenye sukari kama ilivyokuwa kwenye energy drinks.
Metl hana kiwanda Cha farm implements bali ni wakala tu wa hivyo vitu.
Metl ni mnununuzi tu wa mazao na kuexport hakuna processing yoyote anayofanya hana kiwanda chochote Cha kubangua korosho Dunia hii Wala hata Cha kubangua mbaazi kama mwenzake wa Moro.


Biashara kubwa ambazo tunaweza sema ndo kawekeza ni kwenye sisal na pamba tu.
Ila mafuta ya kula hakuna hata usd 150mil ya uwekezaji pale na kwa kama hujui hata hayo mafuta yenyewe analetewa kwa mkopo tu
Kaka MeTL haitegemei kiwanda kimoja tu. Mimi ninakupatia vitu kwa Evidences? Nikuuliza AZAM yupo na kiwanda cha nguo?

MeTL yupo na 21st Century Textiles Limited

45,000+ metric tons of cotton processed annually
2300+ full-time employees
100 million running metres offabric produced per annum

Tuletee hali ya Bakhresa Wewe unang'ang'ana na kiwanda cha Sukari tu hicho kimoja.
 
Kaka MeTL haitegemei kiwanda kimoja tu. Mimi ninakupatia vitu kwa Evidences? Nikuuliza AZAM yupo na kiwanda cha nguo?

MeTL yupo na 21st Century Textiles Limited

45,000+ metric tons of cotton processed annually
2300+ full-time employees
100 million running metres offabric produced per annum

Tuletee hali ya Bakhresa Wewe unang'ang'ana na kiwanda cha Sukari tu hicho kimoja.
We naona unachoongea ni ushabiki tu umeambiwa taja hata cost ya kiwanda kimoja Cha Metl iliyozidi usd 100mil bado umeshindwa leta . Tchao
 
download (1).jpeg


Yaani hii tu Bagamoyo Sugar ingekuwepo Kenya, ungesikia kelele za kutosha.

Tanzania mwaka jana tu, imeongeza viwanda viwili vya sukari, Azam Bagamoyo Sugar na Mkulazi Sugar (NSSF).
 
We naona unachoongea ni ushabiki tu umeambiwa taja hata cost ya kiwanda kimoja Cha Metl iliyozidi usd 100mil bado hujaweka leta . Tchao
Nimekuuliza since begining ulete revenue ya Bakhresa hukuleta
Nikakuuliza ulete idadi ya Employees hukuleta.

Sasa unanitaka nilete Envestment ya usd 100ml 🤣 🤣 🤣 🤣 Unachekesha sana wewe.
Nimekuambia MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Leta mchango wa Bakhresa katika mchango wa Tanzania. Unaleta maneno tu.

Kwanza unatakiwa kujua kuwa AZAM Media ni kampuni ambayo vifaa vyake vyote vimesajiliwa Mauritius
Usitake nianze kufumua hapa tupo kwenye battle ya Dar vs Nairobi.

Ki ufupi Bhakresa biashara zake ni ndogo sana hazina impact kubwa katika uchumi wa Tanzania.
 
Ukiangalia nature ya watu ambao wanaongiza kwa remittances mostly ni migrants yaan wakimbizi wakutafuta ajira ndo maana huwez Kuta nchi kama Qatar, usa , Singapore na kadhalika kwa sababu nchi hizo zimepambana kuweka mazingira mazuri kwa raia wao wapate kazi. China na India ni exceptional sababu ziko overpopulated .
Kwahiyo conclusion remittances ni za wakimbizi tu , sasa Tanzania mtu atoke Tanzania eti amesoma zake akimbilie Qatar kuwa mlinzi 🤣🤣🤣🤣🤣. Wakati kuna fursa kibao
Kuuza genge TZ kunalipa zaidi ya kusafisha vyoo qatar
 
Nimekuuliza since begining ulete revenue ya Bakhresa hukuleta
Nikakuuliza ulete idadi ya Employees hukuleta.

Sasa unanitaka nilete Envestment ya usd 100ml 🤣 🤣 🤣 🤣 Unachekesha sana wewe.
Nimekuambia MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Leta mchango wa Bakhresa katika mchango wa Tanzania. Unaleta maneno tu.

Kwanza unatakiwa kujua kuwa AZAM Media ni kampuni ambayo vifaa vyake vyote vimesajiliwa Mauritius
Usitake nianze kufumua hapa tupo kwenye battle ya Dar vs Nairobi.

Ki ufupi Bhakresa biashara zake ni ndogo sana hazina impact kubwa katika uchumi wa Tanzania.
Ushabiki wa kindezi!
 
Back
Top Bottom