Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya warabu na Wahindi. Hakuna cha Tanzania hapo.
Dunia ilishakuacha miaka 1990s

1750840097487.png
 

I see an opportunity for Tanzanian companies to take over sugar business in Kenya 😁
 

Wewe maasai what do you know about Kenya? Kwanza umevaa chupi hapo ndani ya hiyo leso yako?
 
Brother mimi nimesoma Accounting kwanza unatakiwa ulijue hilo.

Unaandika porojo nyingi za kufikirika. Nimekuambia ulete Revenue ya Bhakresa 2024 mpaka sasa tunaenda page ya 3 hakuna ulichokileta.

Mauzo ndiyo yanayosaidia nchi kaka, hayo mengine unayoweka ni porojo tu. Kama Revenue ya MeTL ni $19b. Tuambie kwa mchanganuo wa kihasibu hizo haziwezi kuingia kwenye Assets?

Moja.
Unapofanya Sales inaweza kuwa ni Cash or Credit.
Kama ni Cash moja kwa moja itaingia bank au Cash ya Physical
Lakini ukiuza kwa deni Itaingia kwenye orodha ya Debtors.

Tueleze CASH na DEBTOR siyo Assets.

Pili

MeTL inachangia 5% ya GDP unaelewa maana yake?

GDP=C+I+G+(X−M)
C = Matumizi binafsi (consumption) — matumizi ya kaya (chakula, nguo, burudani, huduma nk.)
I = Uwekezaji (investment) — uwekezaji wa biashara (mashine, viwanda, majengo nk.)
G = Matumizi ya serikali (government spending) — barabara, shule, hospitali, mishahara ya watumishi
X = Mauzo ya nje (exports)
M = Uagizaji wa bidhaa kutoka nje (imports)

(X−M)=Netexports(mauzohalisinje)

GDP kwa upande wa mapato (Income Approach):
W = Mishahara (wages)
R = Kodi ya ardhi / mapato ya kodi (rents)
i = Riba (interest)
P = Faida za biashara (profits)
T = Kodi zisizo za moja kwa moja (indirect taxes)
S = Subsidy (punguzo la serikali kwa baadhi ya bidhaa au huduma)

Mchango wa MeTL = Thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa na MeTL kwa mwaka/Jumla ya GDP ya Tanzania kwa mwaka

SASA TULETEE KUHUSU Bakhresa
Ungekuwa umesomea accounting ungekuwa unajua kabisa kuwa hakuna Sheria yoyote inayomtaka Azam kutangaza mapato yake au kutangazo financial statement zake Kila mwaka.
Mosi lazima kingine katika pitapita zangu sijawahi sikia popote kampuni ikitakiwa iandae ripoti ili kuonesha mchango wake kwenye gdp ya nchi bali hizo taarifa huandaliwa na serikali yenyewe kupitia vyanzo mbalimbali Kam tra na kadhalika.
Unajaribu kujidanganya kwa kuweka formula kibao ili uonekane umesomea accounting

Taarifa ya mapato inapatikana kwenye statement of profit and loss ya mwaka husika na taarifa hali ya kampuni Iko kwenye balance sheet hapo ndo utakuta thaman kuu ya kampuni husika.

Thaman ya kampuni haikadiliwi kama unavyotaka .
Nimekuwekea sample ya taarifa za kihasibu za tbl ujielimishe
Jedwal na mbili ndo linalotakiwa katika kukadiria utajiri wa mtu
 

Attachments

Brother mimi nimesoma Accounting kwanza unatakiwa ulijue hilo.

Unaandika porojo nyingi za kufikirika. Nimekuambia ulete Revenue ya Bhakresa 2024 mpaka sasa tunaenda page ya 3 hakuna ulichokileta.

Mauzo ndiyo yanayosaidia nchi kaka, hayo mengine unayoweka ni porojo tu. Kama Revenue ya MeTL ni $19b. Tuambie kwa mchanganuo wa kihasibu hizo haziwezi kuingia kwenye Assets?

Moja.
Unapofanya Sales inaweza kuwa ni Cash or Credit.
Kama ni Cash moja kwa moja itaingia bank au Cash ya Physical
Lakini ukiuza kwa deni Itaingia kwenye orodha ya Debtors.

Tueleze CASH na DEBTOR siyo Assets.

Pili

MeTL inachangia 5% ya GDP unaelewa maana yake?

GDP=C+I+G+(X−M)
C = Matumizi binafsi (consumption) — matumizi ya kaya (chakula, nguo, burudani, huduma nk.)
I = Uwekezaji (investment) — uwekezaji wa biashara (mashine, viwanda, majengo nk.)
G = Matumizi ya serikali (government spending) — barabara, shule, hospitali, mishahara ya watumishi
X = Mauzo ya nje (exports)
M = Uagizaji wa bidhaa kutoka nje (imports)

(X−M)=Netexports(mauzohalisinje)

GDP kwa upande wa mapato (Income Approach):
W = Mishahara (wages)
R = Kodi ya ardhi / mapato ya kodi (rents)
i = Riba (interest)
P = Faida za biashara (profits)
T = Kodi zisizo za moja kwa moja (indirect taxes)
S = Subsidy (punguzo la serikali kwa baadhi ya bidhaa au huduma)

Mchango wa MeTL = Thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa na MeTL kwa mwaka/Jumla ya GDP ya Tanzania kwa mwaka

SASA TULETEE KUHUSU Bakhresa
Acha kujidanganya na formula za kudownload
 
Back
Top Bottom