ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
😂😂😂😂 ile jogoo road hua munaoneshwa kabla ya eyeshadow
View: https://x.com/standardkenya/status/1937778437919260968?s=46
View: https://x.com/standardkenya/status/1937778437919260968?s=46
Sasa nani anaeongoza kwa namba kati ya kunya na Tz.? 🤣🤣🤣Numbers do not lie. Mkipigwa na facts munalia data ni za kupika.
Nenda kwenye maandamano pumbavu, acha kelele humuSo hatufai kuimport? Even USA imports Brazilian Sugar lakini ina more sugar millings than Brazil. Uko na akili za Primary School dropout.
Mambo ya warabu na Wahindi. Hakuna cha Tanzania hapo.Tumeona tuanze kujadili mambo ya Tanzania kwasababu huko Kenya hakuna jipya mnaleta porojo tu.
Pumbavu ni wewe unaeshangilia sukari.Nenda kwenye maandamano pumbavu, acha kelele humu
sema ukweli viwanda vya kenya vimekufa hutachekwa ukisema ukweli😂😂So hatufai kuimport? Even USA imports Brazilian Sugar lakini ina more sugar millings than Brazil. Uko na akili za Primary School dropout.
Huu ndio ukweli wa sukari zao, hata wao wanajua ila hawawezi sema.How many of them?
That is not a bridge it is an embarkmentHii makupa inakaa calvert mkuu.? 👇🏾 🤣🤣View attachment 3381989
Dunia ilishakuacha miaka 1990sMambo ya warabu na Wahindi. Hakuna cha Tanzania hapo.
Huu ndio ukweli wa sukari zao, hata wao wanajua ila hawawezi sema.
Viwanda vyao vingi vinafanya repackaging ya sukari kutoka Somalia. 😂😂😂
View: https://x.com/fgaitho237/status/1882031466583851190?s=46
View: https://x.com/georgediano/status/1881983079356768452?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1836510862338875832?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1867524191085638122?s=46
Huu ndio ukweli wa sukari zao, hata wao wanajua ila hawawezi sema.
Viwanda vyao vingi vinafanya repackaging ya sukari kutoka Somalia. 😂😂😂
View: https://x.com/fgaitho237/status/1882031466583851190?s=46
View: https://x.com/georgediano/status/1881983079356768452?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1836510862338875832?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1867524191085638122?s=46
Kama ya kwenu ndio imewashinda, ya Kenya ndio mtaweza?I see an opportunity for Tanzanian companies to take over sugar business in Kenya 😁
Kampuni ya Kimarekani, kubwa duniani. Dunia ilishakutupa mkono kaka Kwikwikwikwikwi.Mambo ya warabu na Wahindi. Hakuna cha Tanzania hapo.
Ungekuwa umesomea accounting ungekuwa unajua kabisa kuwa hakuna Sheria yoyote inayomtaka Azam kutangaza mapato yake au kutangazo financial statement zake Kila mwaka.Brother mimi nimesoma Accounting kwanza unatakiwa ulijue hilo.
Unaandika porojo nyingi za kufikirika. Nimekuambia ulete Revenue ya Bhakresa 2024 mpaka sasa tunaenda page ya 3 hakuna ulichokileta.
Mauzo ndiyo yanayosaidia nchi kaka, hayo mengine unayoweka ni porojo tu. Kama Revenue ya MeTL ni $19b. Tuambie kwa mchanganuo wa kihasibu hizo haziwezi kuingia kwenye Assets?
Moja.
Unapofanya Sales inaweza kuwa ni Cash or Credit.
Kama ni Cash moja kwa moja itaingia bank au Cash ya Physical
Lakini ukiuza kwa deni Itaingia kwenye orodha ya Debtors.
Tueleze CASH na DEBTOR siyo Assets.
Pili
MeTL inachangia 5% ya GDP unaelewa maana yake?
GDP=C+I+G+(X−M)
C = Matumizi binafsi (consumption) — matumizi ya kaya (chakula, nguo, burudani, huduma nk.)
I = Uwekezaji (investment) — uwekezaji wa biashara (mashine, viwanda, majengo nk.)
G = Matumizi ya serikali (government spending) — barabara, shule, hospitali, mishahara ya watumishi
X = Mauzo ya nje (exports)
M = Uagizaji wa bidhaa kutoka nje (imports)
(X−M)=Netexports(mauzohalisinje)
GDP kwa upande wa mapato (Income Approach):
W = Mishahara (wages)
R = Kodi ya ardhi / mapato ya kodi (rents)
i = Riba (interest)
P = Faida za biashara (profits)
T = Kodi zisizo za moja kwa moja (indirect taxes)
S = Subsidy (punguzo la serikali kwa baadhi ya bidhaa au huduma)
Mchango wa MeTL = Thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa na MeTL kwa mwaka/Jumla ya GDP ya Tanzania kwa mwaka
SASA TULETEE KUHUSU Bakhresa
Do you understand the meaning of Co-founder? Now look for other founders tuone kama sio Americans, ama maana ta co-founder ndio hujui?Kampuni ya Kimarekani, kubwa duniani. Dunia ilishakutupa mkono kaka Kwikwikwikwikwi.
Kampuni hii Trump anailinda kwa hali na mali dhidi ya China.
View attachment 3382317
Owner of AMD - Ushamba bado unakukaliaMambo ya warabu na Wahindi. Hakuna cha Tanzania hapo.
Acha kujidanganya na formula za kudownloadBrother mimi nimesoma Accounting kwanza unatakiwa ulijue hilo.
Unaandika porojo nyingi za kufikirika. Nimekuambia ulete Revenue ya Bhakresa 2024 mpaka sasa tunaenda page ya 3 hakuna ulichokileta.
Mauzo ndiyo yanayosaidia nchi kaka, hayo mengine unayoweka ni porojo tu. Kama Revenue ya MeTL ni $19b. Tuambie kwa mchanganuo wa kihasibu hizo haziwezi kuingia kwenye Assets?
Moja.
Unapofanya Sales inaweza kuwa ni Cash or Credit.
Kama ni Cash moja kwa moja itaingia bank au Cash ya Physical
Lakini ukiuza kwa deni Itaingia kwenye orodha ya Debtors.
Tueleze CASH na DEBTOR siyo Assets.
Pili
MeTL inachangia 5% ya GDP unaelewa maana yake?
GDP=C+I+G+(X−M)
C = Matumizi binafsi (consumption) — matumizi ya kaya (chakula, nguo, burudani, huduma nk.)
I = Uwekezaji (investment) — uwekezaji wa biashara (mashine, viwanda, majengo nk.)
G = Matumizi ya serikali (government spending) — barabara, shule, hospitali, mishahara ya watumishi
X = Mauzo ya nje (exports)
M = Uagizaji wa bidhaa kutoka nje (imports)
(X−M)=Netexports(mauzohalisinje)
GDP kwa upande wa mapato (Income Approach):
W = Mishahara (wages)
R = Kodi ya ardhi / mapato ya kodi (rents)
i = Riba (interest)
P = Faida za biashara (profits)
T = Kodi zisizo za moja kwa moja (indirect taxes)
S = Subsidy (punguzo la serikali kwa baadhi ya bidhaa au huduma)
Mchango wa MeTL = Thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa na MeTL kwa mwaka/Jumla ya GDP ya Tanzania kwa mwaka
SASA TULETEE KUHUSU Bakhresa