Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kifupi hujui Revenue ya Bakhresa unaongozwa na hisia tu. Maneno meengi ushahidi zero.
Wewe ndo unaongozwa ha hisia maana unalazimisha nijue wakati Azam habanwi na Sheria yoyote ya kunitamgazia mapato yake , ni yeye na tra . Kajielimishe kwanza ndugu uwe unaacha kukurupuka hizo ni fani za watu
 
Bakhresa group ni tajiri zaidi ya Mo.

Mo Dewji anapenda umaarufu tu, ili atapeli watu.

Hata Mo Dwji ile siyo mali yake peke yake, ila ni mali ya familia, ndio maana kwenye executive familia yote ya Dewji ipo
Ngoja nichangie kidogo hapa. Kiuhalisia Azam group ni kampuni kubwa kuliko Metl. The difference ni kuwa Metl imekuwa ikiendeshwa kwa mfumo wa kisasa wa corporate na ime integrate investment yake internationally kwenye mifumo ya kidunia ila Azam inaendeshwa sana sana kama a family business with minimal interactions na international funders hence mahesabu yao hayawekwi wazi kama ya Metl.

same na Rostam ana hela ndefu lakini ana kampuni gani ya ku justify utajri wake?
 
Acha kujidanganya na formula za kudownload
Kaka umeshindwa kuleta mapato ya Bhakresa, Umeshindwa kuleta ameajiri watu wangapi? Umeshindwa kuleta Mchango wa Bhakresa kwenye Taifa la Tanzania. Sasa unabisha kitu gani?

Nimekuambia ulete Statistical Information umeshindwa. Je, kuna maana yoyote ya kuendelea kujadiliana na wewe?
Nimekupatia taarifa hizi 👇 👇 👇 👇 Wewe hujaleta taarifa tangible

1750840658448.png



1750840714472.png
 
Ngoja nichangie kidogo hapa. Kiuhalisia Azam group ni kampuni kubwa kuliko Metl. The difference ni kuwa Metl imekuwa ikiendeshwa kwa mfumo wa kisasa wa corporate na ime integrate investment yake internationally kwenye mifumo ya kidunia ila Azam inaendeshwa sana sana kama a family business with minimal interactions na international funders hence mahesabu yao hayawekwi wazi kama ya Metl.
Umemaliza
 
Kaka umeshindwa kuleta mapato ya Bhakresa, Umeshindwa kuleta ameajiri watu wangapi? Umeshindwa kuleta Mchango wa Bhakresa kwenye Taifa la Tanzania. Sasa unabisha kitu gani?

Nimekuambia ulete Statistical Information umeshindwa. Je, kuna maana yoyote ya kuendelea kujadiliana na wewe?
Nimekupatia taarifa hizi 👇 👇 👇 👇 Wewe hujaleta taarifa tangible

View attachment 3382320


View attachment 3382321
Kwa Sheria ipi ambayo napaswa kuyajua mapato yake? Wewe unaweza tuletea financial statement za Metl leo tuzione tuchambue
 
Kwa Sheria ipi ambayo napaswa kuyajua mapato yake? Wewe unaweza tuletea financial statement za Metl leo tuzione tuchambue
Kaka acha kuhamisha hamisa mada wewe leta Impact ya Bakhresa kwenye Uchumi wa Tanzania. Mbona unaleta porojo tu. MeTL is also a private Entity wameweka vitu vyao kwenye public. Bhakresa anaficha nini? Kwikwikwikwikwi

Yaani tuliite kampuni la Bakhresa kuba kwa hisia tu?

Check wenzake:
 
Ngoja nichangie kidogo hapa. Kiuhalisia Azam group ni kampuni kubwa kuliko Metl. The difference ni kuwa Metl imekuwa ikiendeshwa kwa mfumo wa kisasa wa corporate na ime integrate investment yake internationally kwenye mifumo ya kidunia ila Azam inaendeshwa sana sana kama a family business with minimal interactions na international funders hence mahesabu yao hayawekwi wazi kama ya Metl.

same na Rostam ana hela ndefu lakini ana kampuni gani ya ku justify utajri wake?
Rostam ana mitaji mikubwa sana ya watu wake kutoka nje hasa Yemen.
 
Kaka acha kuhamisha hamisa mada wewe leta Impact ya Bakhresa kwenye Uchumi wa Tanzania. Mbona unaleta porojo tu. MeTL is also a private Entity wameweka vitu vyao kwenye public. Bhakresa anaficha nini? Kwikwikwikwikwi

Yaani tuliite kampuni la Bakhresa kuba kwa hisia tu?

Check wenzake:
Kama umesomea accounting hakuna haja ya kubishana ebu tusaidie kwa kupitia IAS 16 na IAS 13 tuachane na ubishi
 
Back
Top Bottom