Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mo ni msanii ofcoz hana kiwanda kinachoeleweka hapa tanzania hata nje ya tanzania ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sijui anamzungumzia mo yupi kama ndo yule mo aliyeenda kuwekeza kakiwanda kwa UNGA la usd 500,000 songea kwa ajili ya export yaan hata grain silos kashindwa jenga
 
Simba yenyewe anataka kuipora.
wanaulizana ile billion 20 alioahidi mpaka kesho hawazioni na sasa ni 7 yrs ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

mara aliahidi kujenga uwanja, alaf baadae unaskia anatoza michango kwa wanachama kujenga ukuta wa uwanja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

tajiri analia kila wakat mitandaoni anapata hasara mara anatak kususia team huyo anajiita tajiri ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
We stopped to evaluate the feasibility of the project. Nyinyi mnajenga railway to Burundi which is the most poorest country in the world. How feasible is that option?
Hayakuhusu fanya yako na ujibu swali how comes you are lagging behind in rail development while you had a headstart of 6 years
 
Hayakuhusu fanya yako na ujibu swali how comes you are lagging behind in rail development while you had a headstart of 6 years
Because we evaluate our options, imagine Uganda doing 8M tonnes through Mombasa yet we doubted their viability to sustain the operation of SGR, nyinyi mmeamini Tu kabisa Burundi with 250k tonnes will make your SGR feasible if it reaches there. Yani Tanzania kila mtu ni primary school dropout, nobody reasons clearly in that country. No wonder Arabs and Indians are the top 20 richest individuals in your country.
 
Kwanza inabid ujifunze kuna utofauti mkubwa wa investment na mauzo .
Unaweza ukawa na mauzo makubwa sana lakini faida ikawa kiduchu sana .
Napozungumzia uwekezaji ndo unadetermine thamani ya mali zako , mauzo hayawez kudetermine total asset zako.
Na tukisema Azam ni mkubwa tunaangalia Ile thamani ya mali alizonazo na sio mauzo . Kinachoingia kwenye mtaji ni Ile netprofit kwa ajili ya uwekezaji .

Sasa wewe unapolazimisha tuangalie turnover kama hata baada ya mauzo yote anabaki na hasara ila Azam letsay mwenye mauzo machache akawa na faida?
Hata kama Azam atapata faida ya tsh 200 ila akiiwekeza itaongeza thaman ya mali zake.
Turnover haidetermine utajiri wa mtu.
Kwahiyo wewe tulipaswa kuleta evidence letsay Metl kajenga bohari la lenye cost ya 10usd mil then ndo tungeenda sawa.
Lakini hivyo viwanda sijui vya ngano vya usd 2mil ambavyo kawekeza haviwez lingana hata robo na vile vya Azam.

Ukitaka elimu hiyo kajifunze utofauti wa turnover ( revenue ) na asset katika kudetermine thaman ya mtu.
Anzia hapa

Asset= liability+ equity( capital)
Hakuna
Asset= turnover
Brother mimi nimesoma Accounting kwanza unatakiwa ulijue hilo.

Unaandika porojo nyingi za kufikirika. Nimekuambia ulete Revenue ya Bhakresa 2024 mpaka sasa tunaenda page ya 3 hakuna ulichokileta.

Mauzo ndiyo yanayosaidia nchi kaka, hayo mengine unayoweka ni porojo tu. Kama Revenue ya MeTL ni $19b. Tuambie kwa mchanganuo wa kihasibu hizo haziwezi kuingia kwenye Assets?

Moja.
Unapofanya Sales inaweza kuwa ni Cash or Credit.
Kama ni Cash moja kwa moja itaingia bank au Cash ya Physical
Lakini ukiuza kwa deni Itaingia kwenye orodha ya Debtors.

Tueleze CASH na DEBTOR siyo Assets.

Pili

MeTL inachangia 5% ya GDP unaelewa maana yake?

GDP=C+I+G+(Xโˆ’M)
C = Matumizi binafsi (consumption) โ€” matumizi ya kaya (chakula, nguo, burudani, huduma nk.)
I = Uwekezaji (investment) โ€” uwekezaji wa biashara (mashine, viwanda, majengo nk.)
G = Matumizi ya serikali (government spending) โ€” barabara, shule, hospitali, mishahara ya watumishi
X = Mauzo ya nje (exports)
M = Uagizaji wa bidhaa kutoka nje (imports)

(Xโˆ’M)=Netexports(mauzohalisinje)

GDP kwa upande wa mapato (Income Approach):
W = Mishahara (wages)
R = Kodi ya ardhi / mapato ya kodi (rents)
i = Riba (interest)
P = Faida za biashara (profits)
T = Kodi zisizo za moja kwa moja (indirect taxes)
S = Subsidy (punguzo la serikali kwa baadhi ya bidhaa au huduma)

Mchango wa MeTL = Thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa na MeTL kwa mwaka/Jumla ya GDP ya Tanzania kwa mwaka

SASA TULETEE KUHUSU Bakhresa
 
Back
Top Bottom