The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tukusikilize wewe au tumuamini Rais wako.Uzuri maumivu yakizidi, panadol tunaitengenzea hapa hapa Nairobi.
Mjinga ni yule pale Namanga anaona lori kumi za vitunguu kutoka bongolala, na moja ya pharmaceutical kutoka Nairobi, akadhani bongo yafanya biashara zaidi 😂 😂