concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,350
Hao ni watu wenu tu ndo maana mnashindwa watoaWanakuja Kenya kisa uchumi wetu mkubwa alafu tuna roho za kupeana.
Hao ni watu wenu tu ndo maana mnashindwa watoaWanakuja Kenya kisa uchumi wetu mkubwa alafu tuna roho za kupeana.
Ngoja nikueleze kwa evidences.View attachment 3382087
Haya maelezo mbona yanajieleza
- Mohammed Dewji:
He is the owner of METL (Mohammed Enterprises Tanzania Limited), a diversified conglomerate with interests in various sectors including manufacturing, agriculture, and finance. Forbes has consistently listed him as East Africa's richest person.
- Azam:
Azam is a large Tanzanian conglomerate, but the wealth is held by the Bakhresa Group, not a single individual with a specific net worth comparable to Mohammed Dewji
Bakhresa hajitangazi sana ila sisi tunaona haya sababu ya Azam media
View attachment 3382088
Metl hana Mashamba ya mahindi hata songea kule ambapo ndo ana vimashine vya tan 100/ day ananunua mahindi kwa wakulima ( nyuma sodeco)
Viwanda vya Azam ni vikubwa sana huwez linganisha na viwanda vya Metl we. Karibu hata kupita kiwanda Cha juice na Azam energy kalinganishe na kiwanda Cha Metl energy au nenda katafute kiwanda chochote Cha Azam halafu linganisha na Cha mo.
Bagamoyo sugar kimejengwa kwa zaid 300mil usd , hicho ni kiwanda kimoja tu, vipi kuhusu viwanda vya mo? Karibu kupitia kwenye website ya bakresa group nenda kafungue Kila division utaona .
Kuna kampuni nyingine hata hazitumii nembo ya Azam kama united petroleum au union properties
Azam ana viwanda vikubwa sana kuliko hata hiyo moo.
Mfano tu Metl anapatikana katika nchi 6 wakati Azam yupo katika nchi 9View attachment 3382091
Sawa nasubiriaNgoja nikueleze kwa evidences.
Bakhresa group ni tajiri zaidi ya Mo.View attachment 3382087
Haya maelezo mbona yanajieleza
- Mohammed Dewji:
He is the owner of METL (Mohammed Enterprises Tanzania Limited), a diversified conglomerate with interests in various sectors including manufacturing, agriculture, and finance. Forbes has consistently listed him as East Africa's richest person.
- Azam:
Azam is a large Tanzanian conglomerate, but the wealth is held by the Bakhresa Group, not a single individual with a specific net worth comparable to Mohammed Dewji
Bakhresa hajitangazi sana ila sisi tunaona haya sababu ya Azam media
View attachment 3382088
Metl hana Mashamba ya mahindi hata songea kule ambapo ndo ana vimashine vya tan 100/ day ananunua mahindi kwa wakulima ( nyuma sodeco)
Viwanda vya Azam ni vikubwa sana huwez linganisha na viwanda vya Metl we. Karibu hata kupita kiwanda Cha juice na Azam energy kalinganishe na kiwanda Cha Metl energy au nenda katafute kiwanda chochote Cha Azam halafu linganisha na Cha mo.
Bagamoyo sugar kimejengwa kwa zaid 300mil usd , hicho ni kiwanda kimoja tu, vipi kuhusu viwanda vya mo? Karibu kupitia kwenye website ya bakresa group nenda kafungue Kila division utaona .
Kuna kampuni nyingine hata hazitumii nembo ya Azam kama united petroleum au union properties
Azam ana viwanda vikubwa sana kuliko hata hiyo moo.
Mfano tu Metl anapatikana katika nchi 6 wakati Azam yupo katika nchi 9View attachment 3382091
Ebu taja kiwanda hata kimoja kikubwa Cha level ya Azam juice Cha Metl au chenye ukubwa sawa na bagamoyo sugar
Ukitaka kujua mziki wa Azam tembelea pale vingunguti na buguruni uone mziki wa mabehewa yanavyopakiliwa kwenda isaka na kigoma kwa ajili ya congo na rwanda.Ngoja nikueleze kwa evidences.
Mwenye hisa kubwa ni mo ila hana kiwanda chochote kikubwa size ya Azam, mifano ipo wazi tu kiwanda Cha vinywaji kisemvule versus kiwanda vinywaji Cha Metl ( hata location haijulikani)Bakhresa group ni tajiri zaidi ya Mo.
Mo Dewji anapenda umaarufu tu, ili atapeli watu.
Hata Mo Dwji ile siyo mali yake peke yake, ila ni mali ya familia, ndio maana kwenye executive familia yote ya Dewji ipo
Sound like hujui maana ya Group of Companies.Haya maelezo mbona yanajieleza
- Mohammed Dewji:
He is the owner of METL (Mohammed Enterprises Tanzania Limited), a diversified conglomerate with interests in various sectors including manufacturing, agriculture, and finance. Forbes has consistently listed him as East Africa's richest person.
- Azam:
Azam is a large Tanzanian conglomerate, but the wealth is held by the Bakhresa Group, not a single individual with a specific net worth comparable to Mohammed Dewji
Ebu taja kiwanda hata kimoja kikubwa Cha level ya Azam juice Cha Metl au chenye ukubwa sawa na bagamoyo sugar
Brother mimi huwa siongei ushabiki. Mimi naongea uhalisia based on facts. Huwa siongei hisia kaka.Ukitaka kujua mziki wa Azam tembelea pale vingunguti na buguruni uone mziki wa mabehewa yanavyopakiliwa kwenda isaka na kigoma kwa ajili ya congo na rwanda.
Hiyo turnover ipo hivyo Toka mwaka 2015Sound like hujui maana ya Group of Companies.
MeTL Group Limited
Also
Bakhresa Group
MeTL Group Limited Revenue: between US $1.5 billion and $9.4 billion annually
Source: https://www.datanyze.com/companies/metl-group/40650280
View attachment 3382094
Bakhresa Group Revenue: Around US $800 million
Source: Inside AZAM: one of Africa’s top brands
View attachment 3382103
Leta Revenue ya Bhakresa ya 2024 nakusubiri. Nimekupatia ya MeTL. Tuletee sasa ya kwako tuoneHiyo turnover ipo hivyo Toka mwaka 2015 View attachment 3382115
Kipindi hicho Azam hamkuwa na hizo kampuni
United petroleum
Bagamoyo sugar
Hotel Verde Zanzibar
Union properties
Mimi nadhan ungejikita kwa kutuletea sample ya uwekezaji wa Metl versus Azam ila kwa turnover ,hakuna mfanyabiashara anaweza kuweka wazi mauzo yake, hata hiyo Metl aliyoweka bado ni ndo sana kwa mauzo , huku mtaani watu wanamauzo zaid ya hata hayo ila ni issue za tra
Statistics hizo ni mitandaonj ukitaka kupata uhalisia angalia value ya uwekezaji.Brother mimi huwa siongei ushabiki. Mimi naongea uhalisia based on facts. Huwa siongei hisia kaka.
Evidence yako ni mimi niende kutembelea vingunguti!! 🤔 🤔 🤔 🤔 Sasa unataka nikaone ukubwa wa kampuni kwa macho?
Leta Statistical Data hapa.
MeTL
Employees: Around 24,000–37,000 across Tanzania
Contributes about 3.5–5 % of Tanzania’s GDP
Bhakresa Group
Employees: 2,000+ in Tanzania
Kwenye GDP haionekani popote
Revenue haipatikan mtandaoni ndugu ila utazipata kwenye vitabu vyake vya mahesabau na yeye Sheria haimbani kutangaza mapato yakeLeta Revenue ya Bhakresa ya 2024 nakusubiri. Nimekupatia ya MeTL. Tuletee sasa ya kwako tuone
MeTL inachangia 5% ya GDP tupatie impact ya Bakhresa katika uchumi wa TanzaniaHiyo turnover ipo hivyo Toka mwaka 2015 View attachment 3382115
Kipindi hicho Azam hamkuwa na hizo kampuni
United petroleum
Bagamoyo sugar
Hotel Verde Zanzibar
Union properties
Mimi nadhan ungejikita kwa kutuletea sample ya uwekezaji wa Metl versus Azam ila kwa turnover ,hakuna mfanyabiashara anaweza kuweka wazi mauzo yake, hata hiyo Metl aliyoweka bado ni ndo sana kwa mauzo , huku mtaani watu wanamauzo zaid ya hata hayo ila ni issue za tra
Kaka unaongea kwa hisia tu. Tuambie sasa hiyo kampuni ya Bakhresa imeajiri watanzania wangapi compared to MeTL.Statistics hizo ni mitandaonj ukitaka kupata uhalisia angalia value ya uwekezaji.
Mfano hapo umeweka idadi ya waajiriwa , sasa hivi makampuni mengi yamehamia kwenye robots.
Mfano ntakupa kwenye viwanda vidogo tu vya UNGA vya mtaani .
Zaman ili kuzalisha walau tan 30 kwa siku ilihitaji uwe na si chini ya watu 15 plus wabebaji kwa siku, sasa hivi kuna mashine watu wanatengeneza tabata kwa sanga tan 60 inahitaji watu 4 plus wabebaji.
We leta dhamani ya uwekezaji wa Metl versus Azam.
Mimi nimekutolea mfano tu bagamoyo sugar ujenzi wake umegharimu usd 300mil usd je kuna kiwanda gani unachokijua Cha Metl kilichowahi jengwa kwa walau usd 109mil usd?
Hatujafika kwenye real estates
Hujajibu swali investments kubwa ya Metl ni ipi ? Mim naona unahangaika na data za mtandaoni tuMeTL inachangia 5% ya GDP tupatie impact ya Bakhresa katika uchumi wa Tanzania
View attachment 3382120
Hizo ni stori tu Mkuu, na Mo amewekwa kama uso wa kampuni.Mwenye hisa kubwa ni mo ila hana kiwanda chochote kikubwa size ya Azam, mifano ipo wazi tu kiwanda Cha vinywaji kisemvule versus kiwanda vinywaji Cha Metl ( hata location haijulikani)
Umeambiwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Bakhresa inachangia kiasi gani?Revenue haipatikan mtandaoni ndugu ila utazipata kwenye vitabu vyake vya mahesabau na yeye Sheria haimbani kutangaza mapato yake
Nami ntakuuliza Metl amelipa Kodi kiasi gani kwa serikali?Kaka unaongea kwa hisia tu. Tuambie sasa hiyo kampuni ya Bakhresa imeajiri watanzania wangapi compared to MeTL.
Metl yeye kaamua taarifa yake iwe wazi ila Azam sababu kwa sababu hataki huwez sikia ikitangazwaUmeambiwa MeTL inachangia 5% ya GDP ya Tanzania. Bakhresa inachangia kiasi gani?
Azam hana uwekezaji wa kitoto wala wa kubahatsha.Ukitaka kujua mziki wa Azam tembelea pale vingunguti na buguruni uone mziki wa mabehewa yanavyopakiliwa kwenda isaka na kigoma kwa ajili ya congo na rwanda.