President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,022
- 93,384
Brother mimi huwa siongei ushabiki. Mimi naongea uhalisia based on facts. Huwa siongei hisia kaka.Ukitaka kujua mziki wa Azam tembelea pale vingunguti na buguruni uone mziki wa mabehewa yanavyopakiliwa kwenda isaka na kigoma kwa ajili ya congo na rwanda.
Evidence yako ni mimi niende kutembelea vingunguti!! 🤔 🤔 🤔 🤔 Sasa unataka nikaone ukubwa wa kampuni kwa macho?
Leta Statistical Data hapa.
MeTL
Employees: Around 24,000–37,000 across Tanzania
Contributes about 3.5–5 % of Tanzania’s GDP
Bhakresa Group
Employees: 2,000+ in Tanzania
Kwenye GDP haionekani popote