concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,284
- 14,314
Hujawai tembea Mzee , hakuna viza rahis kama viza ya utalii . Ukiwa unakuja kwa ajili ya kazi au kutembelea ndugu lazima upate mwaliko . Biashara itatakiwa prove ya biashara yako na huwa ni gharama.Enyewe hii inaonyesha hujawai toka nje ya bongoslum. 🤣🤣🤣 Yani wewe unadhani ni watalii ni watu wanakuja for leisure pekee. Waaaaa enyewe exposure muhimu.
Wewe endelea kukaa kibera Huna unachojua