Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Evidence please 😁
You can clearly see hotel haijashikana na mall.

Screenshot_20250604-112002.jpg
 
alaf ajabu mashamba yote ni mali ya wazungu mpaka leo ndio kitu yakushangaza dunia hii😂😂😂
Icho maybe you might wanna go back to hibernation again …. 80% of tea farming in Kenya is by small scale farmers. Even a well managed 10 acres can mint you millions . Now you know
 
Sitambi hapa.

Natoa mtazamo wangu tu.

Maana logistics zina mambo mengi, ikiwemo ufanisi wa bamdari, gharama za usafiri etc.

Hata sasa Bandari ya Dar ni cheap, lakini kuna wabongo bado wanapitisha mizigo Mombasa.

Hivyo, hapo itategemea ufanisi (possibly DP World watakuwa serious), TPA wataboresha Fela Dry Port, Mwanza na SGR itakamilika kikamilifu.
Ufanisi ni muda pia na nimekueleza ni nn kinapaswa kufanyika kama unataka kuchukua mzigo wa Mombasa! Ferries at least tano na pia ujenzi wa reli kwenda Uganda kwa kupitia Mtukula kutoka Isaka na Musoma kutokea Tanga pory! Huo ndio ukweli!
 
Ufanisi ni muda pia na nimekueleza ni nn kinapaswa kufanyika kama unataka kuchukua mzigo wa Mombasa! Ferries at least tano na pia ujenzi wa reli kwenda Uganda kwa kupitia Mtukula kutoka Isaka na Musoma kutokea Tanga pory! Huo ndio ukweli!
HIzi ramani zako sijui za wapi.

In short, SGR Mwanza inatosha.

Ukijumlisha na cargo ferries za Ziwani au kwa barabara via Mutukula.
 
Back
Top Bottom