Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Once mtakapo malizana na IMF kuhusu kudivalyuet your overrated karensi hizi nyange zote zitaisha.
When our currency dropped to Ksh 168 against the dollar and our GDP dropped to $104 billion hamkutupita. Sahii pesa yenu ya madafu inaendelea kuporomoka hadi mumeban the use of foreign currency lakini bado inaendelea kuanguka. Kwenu kuna chomeka lakini umekazana kuweka mapua pasipokuhusu.
 
Icho maybe you might wanna go back to hibernation again …. 80% of tea farming in Kenya is by small scale farmers. Even a well managed 10 acres can mint you millions . Now you know
unawazimu wa kichwa ww unanifundisha mm, mashamba mengi arable land nyingi zinamilikiwa na wazungu mpaka leo, mpaka biashara ya maua iko chini ya wazungu alaf leo unataka kuongea nn

bro mm naijua kenya in out yani hakuna kitu utanidanganya mm
 
FB_IMG_1749299741640.jpg
 
When our currency dropped to Ksh 168 against the dollar and our GDP dropped to $104 billion hamkutupita. Sahii pesa yenu ya madafu inaendelea kuporomoka hadi mumeban the use of foreign currency lakini bado inaendelea kuanguka. Kwenu kuna chomeka lakini umekazana kuweka mapua pasipokuhusu.
Alafu pia hawakusema ni shillingi imefanya uchumi ukadrop, walisema uchumi umedrop na wakashangilia jinsi wanavyokaribia kutupiku. 🤣 🤣
 
FREE TUNDU ANTIPAS LISSU
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
NO REFORMS , NO ELECTION.
Unafikiri ukiandika kwa herufi kubwa ndio Lissu ataachiwa?😂
 
Mkiwa nao nani atathubutu kusema? Hapo si atapotezwa asubuhi na mapema. Heheheee
Tanzania MSD imepewa kazi ya kuhifadhi na kusambaza dawa SADC wewe kundudweller upo kibera hujaosha mk4ndu unapiga kelele.

16 countries zimeiamini Tanzania wewe kajamba nani unakuja kupiga kelele. Kwikwikwikwikwi
 
Mkiwa nao nani atathubutu kusema? Hapo si atapotezwa asubuhi na mapema. Heheheee
Wewe unadhani Tanzania ni nchi ya kipumbavu kama Kenya?
1749301468248.png

These countries are Angola, Botswana, Comoros, Democratic Republic of the Congo, Eswatini, Lesotho, Madagascar, Malawi, Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, South Africa, United Republic of Tanzania, Zambia, and Zimbabwe.
 
Back
Top Bottom