Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Was talking of Freight, not passenger service., hiyo haina faida ya kurudisha ata 20% of the loans in a year., passenger ni service serikali inawapea, at a cost of course to maintain the staff and run operations tu., uchumi wa SGR ni Freight kilaza.,
Kwani purposes ya Tanzania sgr ni passengers tu? Huwez sema kuwa passengers hawawez kuwa na faida wakati nchi kama Japan mashirika ya treni yanatengeneza faida sana tu.
Purpose ya sgr Tanzania ni kwa ajili ya mizigo hasa mizigo ya nickel kule kigoma na msongati Burundi na mizigo ya kutoka dar port kwenda drc,Burundi,Rwanda na kidogo Uganda .


Burundi is planning to produce approximately 2 million tonnes of nickel ore annually, with nickel accounting for 39% of the Musongati mine's revenue. The Musongati deposit is estimated to contain 150 million tons of nickel. While exploration is ongoing and commercially viable deposits are yet to be confirmed, Burundi has the potential for a world-class nickel mine.
Hapo hatujaweka mzigo wa kutoka bandarini.
Haya tuambie Kenya sgr itasafirisha mzigo gani kutoka Uganda kwenda bandarini
 
Screenshot_20250607_101612_Instagram.jpg



Kisumu City.


Third largest City in Kenya

😅😅😅😅😅
 
Kwani purposes ya Tanzania sgr ni passengers tu? Huwez sema kuwa passengers hawawez kuwa na faida wakati nchi kama Japan mashirika ya treni yanatengeneza faida sana tu.
Purpose ya sgr Tanzania ni kwa ajili ya mizigo hasa mizigo ya nickel kule kigoma na msongati Burundi na mizigo ya kutoka dar port kwenda drc,Burundi,Rwanda na kidogo Uganda .


Burundi is planning to produce approximately 2 million tonnes of nickel ore annually, with nickel accounting for 39% of the Musongati mine's revenue. The Musongati deposit is estimated to contain 150 million tons of nickel. While exploration is ongoing and commercially viable deposits are yet to be confirmed, Burundi has the potential for a world-class nickel mine.
Hapo hatujaweka mzigo wa kutoka bandarini.
Haya tuambie Kenya sgr itasafirisha mzigo gani kutoka Uganda kwenda bandarini
Akipata maumivu zaidi apitie hapa. Bado hatujaongelea DRC hapo. Kenya hapo wanachoweza ni kupiga kelele kwenye Mitandao.

1749282722750.png
 
vessel finder ni wajinga sindio 😂😂😂😂
hawana akili au hawako uptodate
Yes ni wajinga, that’s why they keep on failing to capture ships docking at key ports.
 
Yes ni wajinga, that’s why they keep on failing to capture ships docking at key ports.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
It's always on a light note, not serious.., hapa ni "battle field" , not a discussion forum where decorum is observed., that's the tone set here.
Umepongeza kiunyonge., eti "mmejaribu"., with quotes., mnakubali kimoyomoyo🤣🤣., lakini mnaona haya kusema wazi., unyonge!., wewe ni Nicodemus, unakuja usiku.
Mimi huwa sina tabia za kinafiki, nikisema kitu, kinatoka moyoni, iwe mchana au usiku, "take it to the bank".

Kujaribu, ikimaanisha, "doing good", ni neno lenu.

Sisi huwa hatutumii neno hilo, kwa maana hiyo mnayoitumia Kenya.

Sisi kwetu, kujaribu is to try something, only to get unsuccessful results, while working on it. Ndiyo sababu ya kuweka mabano, nikimaanisha kiswahili cha Kikenya.
 
Kenyan sgr imeanza ujenzi 2013 ,huu sasa ni mwaka 11 ila mpaka sasa hamjafanikiwa hata kufika malaba, mpaka sasa kwa miaka 10 mmejenga less than 600kms na mmeshindwa hata ujenzi wa km300+ zilizobakia.
Tanzania imeshajenga more than 500km na vipande vyote wakandarasi wapo site.
Kenya mpaka sasa hivi hamjapata hata pesa ya kuendeleza mradi , hata hiyo ppt bado wachina wanaikwepa
500 tulishapita, tupo kwenye 1000km sasa
 
Kenyan sgr imeanza ujenzi 2013 ,huu sasa ni mwaka 11 ila mpaka sasa hamjafanikiwa hata kufika malaba, mpaka sasa kwa miaka 10 mmejenga less than 600kms na mmeshindwa hata ujenzi wa km300+ zilizobakia.
Tanzania imeshajenga more than 500km na vipande vyote wakandarasi wapo site.
Kenya mpaka sasa hivi hamjapata hata pesa ya kuendeleza mradi , hata hiyo ppt bado wachina wanaikwepa
MV Mpungu.



View: https://x.com/MoWT_Uganda/status/1760582434435801144?t=fyiyTC8ulQzUdxSZkXIjGA&s=19


Routes za Uganda, Mwanza.

Hapo bado MV Mwanza.

SGR tukikaza kidogo ikofika Mwanza, hawa wahuni watalia na mteja wao mkubwa, Uganda.
 
Back
Top Bottom