Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sgr imegotea Dodoma hapo huko mbele hamna chochote kinachoendelea by now phase 5 inabidi iwe imekamilika 100% awamu 3 na 4 zinafaa ziwe zaidi ya 60% ila serikali na trc wapo kimya ili jambo tunalikwepa kwepa umu ila ndio uhalisia wenyewe ila kila mwaka tunaskia budget imeongezeka
Inavyoonekana pesa zilikata.

Kwa maelezo ya Mwigulu inaonekana walipata, hivyo tunasubiri kuona kazi kuanzia Julai.
 
Siku ile utaskia jiji yenu yoyote nje ya Dar ama kuanzia hiyo Dar inatajwa same sentence na other heavyweights nitag.., Mombasa to the world, "Peter Drury"..
View attachment 3358546
Hii ni moja ya mikajati ya mabepari kutuzika kama walivyo wasaidia kuaminisha dunia kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya.
 
Kwa kweli mnahitaji financial literacy walai 🤣🤣🤣.., delayed salaries may occur occasionally due to many factors sio ukosefu wa hela per'se, even delayed national govt disbursement to the counties, legislative impasse, or some economic crisis etc., ata USA inakosa kulipa wafanyikazi wake at times, so ni maskini kuliko Tanzania eti? Mko hovyo ki fikra🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3358295
Kama hatujawahi kushindwa kulipa mishahara it's ok we are better than US, nyinyi wakenya ni wasenge sn, so kama US wakiwa wanafirw.a kama Mwangi na nyinyi taifa zima mtafirw.a?
 
View attachment 3358901


Kisumu City.


Third largest City in Kenya

😅😅😅😅😅
Hiyo hiyo Kisumu has more apartments than all your villages(Mwanza and the siblings)combined., nyie uswazi zikiendelea kusambaa na kutapakaa kila eneo..,
1692796378170-1.png

1692799447106.png

1692799518351.png

1749294121518.jpg

1716960600140.jpg

1716960559373.jpg

1713151302946.jpg

1713151297873.jpg

1724930502531.jpg
1716944512356.jpg


Bado serikali inaongeza zaidi..,
Screenshot_20250511-152520.jpg

1748020023387.jpg

1748020026482.jpg

1747577820599.jpg

1749294197076.jpg

1749294260724.jpg

1749294185147.jpg

1749294167763.jpg

1749294155951.jpg

1749294161174.jpg

1749294176177.jpg

1749294109878.jpg

1749294064649.jpg

1749294098973.jpg

1749294081945.jpg

1749294020674.jpg

1749293998621.jpg

1749294005458.jpg
1716960559373.jpg
1749294197076.jpg
 

Attachments

  • 1749294197076.jpg
    1749294197076.jpg
    261.6 KB · Views: 10
Kama hatujawahi kushindwa kulipa mishahara it's ok we are better than US, nyinyi wakenya ni wasenge sn, so kama US wakiwa wanafirw.a kama Mwangi na nyinyi taifa zima mtafirw.a?
A misplaced comparison, not applicable, so pedestrian, idiot🤣🤣🤣.,
 
Hii ni moja ya mikajati ya mabepari kutuzika kama walivyo wasaidia kuaminisha dunia kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya.
Hizi ndio zile akili zenye ziko bunge ya Tanzania, nyote mnafanana ki fikra🤣🤣🤣 wewe ni MP wa wapi? Nashuku it's one of you using a pseudo account.,
 
Badala ya kuendelea kuhangaika na mwanza ,
Mwanza ni muhimu kwa uchumi wa Ziwa Victoria, ikiwemo Uganda.
tungesumbuka na Rwanda ili wapambane wafikishe reli goma , yaan wajenge kama 400 km , ili tuchumue mizigo ya eastern Kongo huku Uganda akihangaika na butembo na bunia ambako ni miji midogo tu. Kwangu naamini kama tungefanikiwa kwa Rwanda na hiyo ya Burundi uhakika wa mizigo ungekuwepo tu
Rwanda vs Burundi.

Rwanda vs Congo.

Hizo nchi zina mabeef. Haziwezi kufanya biashara SMOOTH.

Ndio maana sisi tunafikisha reli, ISAKA Shinyanga, Rwanda wataungia hapo.

Na tunapeleka SGR Burundi kutokea Uvinza, Kigoma.

Congo watachukulia Burundi, kwenda Kindu.

images.jpeg
 
Siku mkiweza kujilisha 100%kama sisi mtaikalia Dunia kichwani.
Hamuna uwezo wa kujilisha kilaza, ufukara na uzembe ni majina yenu ya kati.., mko hovyo ni ardhi inawalisha, mnalima kidogo(subsistence farming) Kisha mnakula, mihogo na maharage kwa wingi, ndio maana mnaongoza kwa utapia mlo na stunted growth in EAC🤣🤣🤣🤣., mnaishi kwa huruma za Mungu, nguvu hamna.., uwezo wa kupeana bure hamna, tusiponunua wakulima wenu fukara watakosa hela ya kununua chumvi, sukari na underwears.., boss mko hovyo, ndio maana kwa mjibu wa utafiti wa World Bank Tanzania ni miongoni mwa mataifa yenye watu wengi mafukara wa kutupwa., ukanda huu wa EAC na SADC mnaongoza kwa ufukara..,
 
Hamna uwezo wa kujilisha kilaza, ufukara na uzembe ni majina yenu ya kati.., mko hovyo ni ardhi inawalisha, mnalima kidogo(subsistence farming) Kisha mnakula, mihogo na maharage kwa wingi, ndio maana mnaongoza kwa utapia mlo na stunted growth in EAC🤣🤣🤣🤣., mnaishi kwa huruma za Mungu, nguvu hamna.., uwezo wa kupeana bure hamna, tusiponunua wakulima wenu fukara watakosa hela ya kununua chumvi, sukari na underwears.., boss mko hovyo, ndio maana kwa mjibu wa utafiti wa World Bank Tanzania ni miongoni mwa mataifa yenye watu wengi mafukara wa kutupwa., ukanda huu wa EAC na SADC mnaongoza kwa ufukara..,
Dalili za mtu fukara ni kupanic🤣🤣🤣🤣.
Mngekuwa na hela msingekuwa mnapungukiwa na dawa vitu muhimu kwa maisha

View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1931176788681466113?t=w9dWMKfXDg1TlNrbAmohlA&s=19
 
Back
Top Bottom