Inavyoonekana pesa zilikata.Sgr imegotea Dodoma hapo huko mbele hamna chochote kinachoendelea by now phase 5 inabidi iwe imekamilika 100% awamu 3 na 4 zinafaa ziwe zaidi ya 60% ila serikali na trc wapo kimya ili jambo tunalikwepa kwepa umu ila ndio uhalisia wenyewe ila kila mwaka tunaskia budget imeongezeka
Kwa maelezo ya Mwigulu inaonekana walipata, hivyo tunasubiri kuona kazi kuanzia Julai.