Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkipigwa kwa hoja mnakimbilia kuwaita watu hawajasoma, mara kuwapa majina. 🤣🤣🤣🤣🤣 ila ground inaeleza otherwise.
Truth hurts, pole kwa maumivu., Tanzania bado sana, ukatae ukubali, facts remains 🤪🤪🤣🤣, umeambiwa ukweli., no bias🤣
 
This a serious question … how do School drop outs and one year Of Study degree holders comprehend budget matters?…
Si umeona reasoning yao hapo juu, guys are dimwits, na wanajianika tu kishamba🤣🤣🤣🤣., exposing their stupidity on matters economics., very pedestrian.
 
Uchungu🤣🤣🤣, linyani🤣
Sasa nani anaepata uchungu mimi au Wewe mtu mpumbavu.? 🤣🤣🤣 kwasababu mada ni kuhusu Bajeti ya Tz ila wewe unapinga, sasa nani anapata maumivu kati ya mimi na wewe.? 🤣🤣🤣

Nimesema tangu hapo juu. Wewe ni mpumbavu na upumbavu ni kilema.
 
Sasa nani anaepata uchungu mimi au Wewe mtu mpumbavu.? 🤣🤣🤣 kwasababu mada ni kuhusu Bajeti ya Tz ila wewe unapinga, sasa nani anapata maumivu kati ya mimi na wewe.? 🤣🤣🤣

Nimesema tangu hapo juu. Wewe ni mpumbavu na upumbavu ni kilema.
Uko na point mbadala with facts?
Nenda ukabishane na Waganda, na wamarekani, sio mimi nilizungumzia mambo ya ground., niwache nibaki na upumbavu wangu basi, bishana na hawa👇👇 reality kwa ground 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uko na point mbadala with facts?
Nenda ukabishane na Waganda, na wamarekani, sio mimi nilizungumzia mambo ya ground., niwache nibaki na upumbavu wangu basi, bishana na hawa👇👇 reality kwa ground 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3358036
Watu wanaendelea kukuona jinsi ulivyo mpumbavu 🤣🤣🤣 hehehe. Mada ni kuhusu Bajeti ya Tz, lakina unaleta story za waganda sijui. 🤣🤣🤣

Haya bwana kilaza. Jitu zima zezeta. Wanako wamekula hasara wewe. 🤣🤣🤣
 
Routes zote za daladala Dar es Salaam zina destination ya kariakoo. Commuter rail iko na routes mbili zenye destinations kariakoo. BRT phase 1 & 2 zote zinaishia kariakoo. Kuna muda ukifika unaweza jiuliza hawa watu wametoka wapi.?

Na huo usafiri wote hautoshi kk. Huyo msenge alitembea lumumba street halafu eti anatuhadishia story za kariakoo. 🤣🤣🤣
Bila kusahau phase three na four zote zinafika kariakoo
 
Katika gazeti lao la The star la 4 june 25 wanasema Mombasa wapo tani 40.99. Tunamkimbiza mwizi uchi hakubali kupitwa na data zake za kupotosha 😁
Kwa akili zako hizi za vijiweni unaona a newspaper like the Star is a gutter press? Eti wao wata report without facts?.., unadhani the star newspaper ni Tuko news where anything goes, even without verification or unadhani ni umbeya za Jamii forums na hadithi za vijiweni🤣🤣🤣., tafuta data from Kenya Ports Authority ama KNBS data wewe mwenyewe ujisomee, Kisha uzitumie kupinga hiyo taarifa, sio kutumia fikra zenu uchwara🤣., kindly come with current data from Kenya Ports Authority inayo onyesha the Star newspaper wameandika porojo.., am here waiting.., vilaza kwa ubora wao, naona raha mnavyo jikaranga🤣🤣
 
Watu wanaendelea kukuona jinsi ulivyo mpumbavu 🤣🤣🤣 hehehe. Mada ni kuhusu Bajeti ya Tz, lakina unaleta story za waganda sijui. 🤣🤣🤣

Haya bwana kilaza. Jitu zima zezeta. Wanako wamekula hasara wewe. 🤣🤣🤣
Sawa Mr. "kwa ground"., hainisumbui 🤣🤣
 
Hawa kweli huwa wanasoma maoni yetu humu jf, japo huyo mofat wamezingatia nn? Mbona mkataba wa muda mrefu hivyo? Je, akishindwa?
Zile BRT blue buses za Serikali zipo wapi wakuu Scania na Golden Dragon ikiwa taarifa tunasikia za kina MOFAT mwarabu.

Huyo MO FAT hawajampa Zil Blue za oda kweli aweke kijani?

Just curious
 
Hii siyo ramani ya Tanzania. Upo nyuma ya muda
1. Manyara
2. Simiyu
3. Geita
4. Songwe
5. Katavi
6. Njombe

Umezipeleka wapi?
Hii ni proof ya taarifa za wakenya zote ni za uongo
Of course it’s like you’re immune to jokes
1749213427553.jpeg
 
Kuna wakati unaweza dhani, ni vizazi vilivyopita ndo vilikuwa na tatizo, cha kushangaza, watu hawabadiliki kizazi na kizazi. Ni matumizi ya technology tuu ndo yamebadilika.
Kuna tamaduni za kurithi.

N mazoea ya maisha.

Uzoefu wa maisha.

Mfano, Umezaliwa umekuta tayari Kenyatta na familia yake wameshapora ardhi ni kama wafalme.

Kila kabila lina mfalme anayejiita mfalme, Wajaluo maisha yote wanampambania Odinga tu.

Mtu ambaye hana kitu, anataka cha kwako mgawane. HUO NI UHUNI.

Na kibaya zaidi watuwengi ni wavivu, kizazi cha internet ila hata utafiti kidogo hakuna. Hivyo ni rahisi wanasiasa kudanganya tu.
 
Si sawa lile eneo halipaswi kuwa yard ya makontena! Nadhani kama pameruhusiwa basi kuna serious violation on landuse ya sehemu ile! Pale ni sehemu ya offices tena embassies na sio kitu cha kushangilia!
Inamilikiwa na Africa Inland Container Depot Company, Ila project ni 4 Storey Commercial Building. Sio ya kuwekea makontena.
 
Back
Top Bottom