Huwezi force mji wetu uwe kama wenu. Ulitaka CBD ibaki na nyumba za kuishi kama hapo kwenu? Nimetoa Upperhill kama mfano. Ofisi za serikali zimetapakaa kote. Nimesema tu Upperhill ina highest concentration of government offices, sijasema zote ziko huko.
University of Nairobi sio the only University in Nairobi. Kuna University Zaidi ya 12 within Nairobi County na zaidi ya 20 within the larger Nairobi metro. Sasa university of Nairobi pekee kuwa CBD ndio inakusumbua? Alafu ni less than 5% ya UoN ndio ipo CBD, ni kama huelewi hiyo University ilivyo. Passports siku hizi tunaapply either online ama Huduma Center ambazo zipo kadhaa Nairobi. Ukiangalia tume nyingi za kiserikali ziko mbali sasa na CBD. KeNHA, KURA, KeRRA ziko JKIA kwa mfano. Main shopping areas and malls haziko CBD. Labda kitu ambacho bado tumefeli ni kupunguza matatu CBD na hilo nishakueleza ni more tricky kusolve Nairobi kisa CBD yetu iko katikati mwa mji wala sio pembeni kama nyie. Anyway, Nairobi is busier tha Dar in all corners, not just the CBD sasa hata ukisema Nairobi inaonekana kuwa busier kisa kila kitu kipo CBD nitakuuliza kwani Easleigh iko CBD? Gikomba iko CBD? Mombasa Road iko CBD? Westlands na Kilimani ziko CBD? All those places are busier than anywhere in Dar save maybe Kariakoo.just