Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Labda air tanzania iwe stunted na iache kutumia Dar kama hub ya ku conncetZanzibar airport inaenda kuipiku JNIA na si JKNIA! Huo ndio ukweli!
Kenya ni nchi ya ovyo.Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kuwaita hawa jamaa nyang’au😎😂
Kwahyo unahisi hilo ndo jengo la kwanza lenye roof top parking2025 ndio mwaka Chinese inawapa first rooftop parking alafu mnafikiria ndio the only one- the same way you think its the biggest 😅😂😂
Jana kuna mahali nimesoma tayari imeishaipiku na itabaki hivyo mpaka hiyo Air Tanzania ianze kuruka kwenda ulaya!Labda air tanzania iwe stunted na iache kutumia Dar kama hub ya ku conncet
According to 👇🏾👇🏾👇🏾Kenya ni nchi ya ovyo.
Imagine kipindi hicho tunapambana na kioa.mtu mwema anapambana kjwaunga mkono Africa Kusini na utawala wa ubaguzi wa Rangi.
Kenya wao walikuwa wanafanya biashara na makaburu.
Hiyo tabia mpaka leo wanayo.
M23 wanafanya vikao Kenya.
Kuna genge linapigana na serikali ya Sudan, vikao wanafanyia Kenya.
Always Kundudweller is Kundudweller Kwikwikwikwikwikwi
Kuna hii story ya Prince Jonhson mwanamapinduzi aliemuua kikatili mno aliekua raisi wa taifa la Liberia mnamo mwaka 1990 bwana Samuel Doe. inasikitisha sana. Kama ilikupita tazama videos zake hapa. 👇🏾
View: https://youtu.be/yaLSzjfyUiA?si=Yr6r3tYmmkh6RS5s. View attachment 3356509
Hua wanacheka Kenya yet they are at the bottom of the pit.🤣🤣 Yani bongoslum has budgeted for Ksh 36 billion for development. 🤣🤣🤣 Ohhh sijui GDP yao iko understated, lakini the budget never lies. LDC ni LDC tu.
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1930527581482463432?t=6t9GEJwgW6KobKhqgJcFhw&s=19
Hua wanacheka Kenya yet they are at the bottom of the pit.🤣🤣 Yani bongoslum has budgeted for Ksh 36 billion for development. 🤣🤣🤣 Ohhh sijui GDP yao iko understated, lakini the budget never lies. LDC ni LDC tu.
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1930527581482463432?t=6t9GEJwgW6KobKhqgJcFhw&s=19
Fool that is Ministry of finance budget! Keep being desperate by pushing lies!
View: https://x.com/dailynewstz/status/1930512704143241712
U even got answered by GROK
View: https://x.com/grok/status/1930555658296037413
Mzee jifunze kuhusu nchi zinavyojiendesha. Malipo yote ya madeni ya nchi yanafanywa na wizara ya fedha. Sasa unataka malipo ya madeni yafanye na wizara ya ulinzi? Stupid KundudwellerMinistry of Finance accounts for half of your entire national budget. The narrative is still the same. You are in the pits.
Unafanya guess work.? 🤣🤣🤣 unakula za uso lakini hukomi tu.Ministry of Finance accounts for half of your entire national budget. The narrative is still the same. You are in the pits.
Huwa hataki kabisa kuficha ujinga wake, kila anapogusa huwa lazima tu ujinga wake ujioneshe.Mzee jifunze kuhusu nchi zinavyojiendesha. Malipo yote ya madeni ya nchi yanafanywa na wizara ya fedha. Sasa unataka malipo ya madeni yafanye na wizara ya ulinzi? Stupid Kundudweller
Ndio kazi yao kujiondoa ufahamu ili mradi tu waichafue Tanzania. Uzuri Tanzania imewapuuza. Vyombo vyao vyote vya habari vinatafuta Attention ya watanzania. 24/7 wanaiongelea Tanzania vibaya.Huwa hataki kabisa kuficha ujinga wake, kila anapogusa huwa lazima tu ujinga wake ujioneshe.