Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bukhungu Stadium
Pg-28-Bukhungu-stadium%E2%88%9A%E2%88%9A-768x528.jpg


Raila Odinga Stadium
499612555_1137766418369034_945136406888591102_n.jpg


Jaramogi Oginga Odinga Stadium

View attachment 3346310
Kwale Stadium has seats
Kanduyi Stadium Bungoma also have seats.
 
Uganda aichukulie Isaka ?
Au sisi tujenge kupitia kagera to border
Namaanisha Uganda anaweza kuchukulia mizigo yake kupitia bandari kavu ya Fela au kwa MV Mwanza kupitia ziwa Victoria.

Ni ngumu SGR kwenda Uganda.

Ndio maana Uganda wanajenga ya kwao kwenda Malaba mpakani na Kenya.
 
Namaanisha Uganda anaweza kuchukulia mizigo yake kupitia bandari kavu ya Fela au kwa MV Mwanza kupitia ziwa Victoria.

Ni ngumu SGR kwenda Uganda.

Ndio maana Uganda wanajenga ya kwao kwenda Malaba mpakani na Kenya.
Sio ngumu kama tutajenga Branch ya Mwanza to Bukoba au tukawa tuna meli za mizigo za container hata 4 ,maana mv mwanza haitoshi na sio container ship , iko mv umoja ila plan ilikuwa kuwa na dedicated container ships

Hizo container ships ziwe ziwa victoria na tanganyika hapo tutashika logistics
 
Sio ngumu kama tutajenga Branch ya Mwanza to Bukoba au tukawa tuna meli za mizigo za container hata 4 ,maana mv mwanza haitoshi na sio container ship , iko mv umoja ila plan ilikuwa kuwa na dedicated container ships

Hizo container ships ziwe ziwa victoria na tanganyika hapo tutashika logistics
Labda mizigo ya Uganda iwe ikitokea Moja kwa Moja imepelekwa mwanza then ndo taratibu nyingine zifuatwe
 
Back
Top Bottom