NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
Nionyeshe Tanzania ikijadiliwa bungeni Kenya.Mmeanza kutudisi tukiwarudia kuwadisi ni kosa!?
Shobo mmeanza wenyewe,kama mngebaki kwenu ingetokea nafasi ya sisi kuwazungumzia?
Kuna muda naamini Kenyans mna ugonjwa wa akili.