Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeanza kutudisi tukiwarudia kuwadisi ni kosa!?
Shobo mmeanza wenyewe,kama mngebaki kwenu ingetokea nafasi ya sisi kuwazungumzia?
Kuna muda naamini Kenyans mna ugonjwa wa akili.
Nionyeshe Tanzania ikijadiliwa bungeni Kenya.
 
Bukhungu Stadium
Pg-28-Bukhungu-stadium%E2%88%9A%E2%88%9A-768x528.jpg


Raila Odinga Stadium
499612555_1137766418369034_945136406888591102_n.jpg


Jaramogi Oginga Odinga Stadium

View attachment 3346310
Kwale Stadium has seats
Kanduyi Stadium Bungoma also have seats.
 
Uganda aichukulie Isaka ?
Au sisi tujenge kupitia kagera to border
Namaanisha Uganda anaweza kuchukulia mizigo yake kupitia bandari kavu ya Fela au kwa MV Mwanza kupitia ziwa Victoria.

Ni ngumu SGR kwenda Uganda.

Ndio maana Uganda wanajenga ya kwao kwenda Malaba mpakani na Kenya.
 
Namaanisha Uganda anaweza kuchukulia mizigo yake kupitia bandari kavu ya Fela au kwa MV Mwanza kupitia ziwa Victoria.

Ni ngumu SGR kwenda Uganda.

Ndio maana Uganda wanajenga ya kwao kwenda Malaba mpakani na Kenya.
Sio ngumu kama tutajenga Branch ya Mwanza to Bukoba au tukawa tuna meli za mizigo za container hata 4 ,maana mv mwanza haitoshi na sio container ship , iko mv umoja ila plan ilikuwa kuwa na dedicated container ships

Hizo container ships ziwe ziwa victoria na tanganyika hapo tutashika logistics
 
Back
Top Bottom