Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


1748273312038.png
 
Kwahiyo kama haijadiliwi bungeni inamaana kuwa hamuijadili!?
Umewahi kuona Tanzania raia wamerundikana mitaani wakiijadili Kenya!?
Ila Kenya mnarundikana mtaani mkiijadili Tanzania.
Umewahi kuona kuna MTanzania yeyote the so called mwanaharakati akashoboka na Kenyan politics!?
Ila Kenya mmefanya hivyo.
Tumewajadili bungeni baada ya ninyi kuanza kushoboka na sisi.
Sijasema hatujadili, inajadiliwa ila mmekuwa mkiimba humu eti tunamjadili wakati nyie mnatijadili zaidi. The point is ka.a imefika bungeni hapo kwenu inamaanisha kwa gumzo la kawaida si basi imechacha?

Unaongelea mwanaharakati hapo kwenu Kuna wanaharakati?
 
Nadhani ule mgogoro wa Congo na ile coalition of willing inaendelea kumla PAKA

Rw wamejengewa dry port kubwa sana na DP world. Hiyo dry port wamefanya lobbying ili iwe hub to Burundi and Congo also some parts of UG... Sasa watu wakaona Bora wamfate Burundi na Congo direct.... Ni chenga ya mwili tu mtu alipigwa...amesusa kipande chake hapo isaka via keza..

Same to Uganda and kunyans.... Mr loot all alienda Hadi China na kusema kipande Cha malaba tayari.... M7 nae kichwa kichwa akaingia mkenge na kuanza ujenzi na Yapi from Kampala to Tororo near malaba...baada ya ku sign deal mkunya kachomoa hana hela ya kujazia ujenzi...hivyo kipande Cha UG pia kitakuwa white elephant...

Hapa E.A tunaishi kwa kuviziana sanaa.... Usipochanga karata vizuri wanakulambisha garasha halafu wanaenda kuchekea pembenii
 
Rw wamejengewa dry port kubwa sana na DP world. Hiyo dry port wamefanya lobbying ili iwe hub to Burundi and Congo also some parts of UG... Sasa watu wakaona Bora wamfate Burundi na Congo direct.... Ni chenga ya mwili tu mtu alipigwa...amesusa kipande chake hapo isaka via keza..

Same to Uganda and kunyans.... Mr loot all alienda Hadi China na kusema kipande Cha malaba tayari.... M7 nae kichwa kichwa akaingia mkenge na kuanza ujenzi na Yapi from Kampala to Tororo near malaba...baada ya ku sign deal mkunya kachomoa hana hela ya kujazia ujenzi...hivyo kipande Cha UG pia kitakuwa white elephant...

Hapa E.A tunaishi kwa kuviziana sanaa.... Usipochanga karata vizuri wanakulambisha garasha halafu wanaenda kuchekea pembenii
Hahahaha!! Kagame hanabudi kurudi kundini maana ni mtoto wetu. Kuna vituo vyake vya mafuta vingi sana hapa bongo.
 
Hahahaha!! Kagame hanabudi kurudi kundini maana ni mtoto wetu. Kuna vituo vyake vya mafuta vingi sana hapa bongo.

Ah huyo kuna muda anakuwa na kiburi tu...ila hata kampuni zake pale Geita zinajulikana...na gari zake tanker za mafuta kawapa madereva masoja inajulikana...

Bongo ndio walimu wa unafiki na fitina.... Kwa huu utulivu wetu na upole isingekuwa kuna watu makini wallah tungesha potezwaa
 
Back
Top Bottom