Route za Arusha, Mara zinahitaji zaidi Light trains. Kwasababu hakuna mizigo.Hii kaka utahitaji investment kubwa sana, tofauti na kuvuta kuja Tanga.
Pili mara itatulazimu kupitia Serengeti bado tunapenda kuharibu mazingira ya wanyama.
Hata kuangalia Kuna mzigo mkubwa central kuliko hiyo ya arusha