Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,956
You have proved NairobiWalker right. There is no decent stadium outside Dar, hata hii takataka umeweka hapa iko Dar.
You have proved NairobiWalker right. There is no decent stadium outside Dar, hata hii takataka umeweka hapa iko Dar.
Rwanda hawana option.Hiyo ya kutoka Rwanda kuja Isaka ilikufa na Mwendazake!
Leo naenda na Statistics only mpaka ujione MjingaYou have proved NairobiWalker right. There is no decent stadium outside Dar, hata hii takataka umeweka hapa iko Dar.
And where was supposed to start!Ikikufa baada ya sisi kuanza kufikiria ujenzi wa Burundi
Rwanda na Burundi wana beef. Ndio maana kila mmoja anaunga kwenye SGR ya TZ kwa njia yake.Hijakufa ni matter of priority tuu. Rwanda alitaka apate yeye kwanza ili awe kingpin wa SGR traffic kwenye great lakes region lakini diplomasia kati ya Burundi na TZ ikaiweka Rwanda connection pending kwanza.
Ila Rwanda Hana mzigo wa kuweza rejesha mkopo kama Burundi mwenye nickelRwanda na Burundi wana beef. Ndio maana kila mmoja anaunga kwenye SGR ya TZ kwa njia yake.
Issue ni FUNDING tu.
Funding ya Burundi wametoa AfDB.
View attachment 3346494
Siyo lazima makusanyo yote yatokane na mzigo.Ila Rwanda Hana mzigo wa kuweza rejesha mkopo kama Burundi mwenye nickel
Thanks for AI generated Image, hata hamjui design ya hiyo Convention center yenu inafanana aje.
Utekaji na mauaji siyo mashindanoHii imekaaje waungwana? Sijamsikia Martha Karua akipanua mdomo:
Mbunge atekwa nchini Kenya akiwa anashiriki ibada, apatikana hajitambui
![]()
Mbunge atekwa, apatikana hajitambui
Taarifa zinaeleza kuwa Mbunge huyo aliyetekwa nyara Jumapili ya Mei 25,2025 na watu wasiojulikana waliokuwa na gari aina ya Subaru Forester, amepatikana akiwa hajitambui katika shamba hilo.www.mwananchi.co.tz
Takataka ipi iko Dar?You have proved NairobiWalker right. There is no decent stadium outside Dar, hata hii takataka umeweka hapa iko Dar.
Wanasema tunawadiscuss kumbe wao ndio wanatudiscuss Hadi bungeni Kenya ndio habari.
View: https://vm.tiktok.com/ZMSjhP3q8/
Aitoe wapi!?Quality kama hii jirani hana
Maybe you can tell us what's wrong with Estates and mini cities first before I answer you.I don't know why Kenya is too obsessed na ESTATES na hizi mini cities.
Mzee hebu achana na mimi. Kama umeshindwa kutafuta contents zako achana na zangu. Nimeuliza Martha Karua yupo wapi? Maana hayo ni mambo ya nchini kwao. Sisi Tanzania hatujawahi kuona mbunge anatekwa.Utekaji na mauaji siyo mashindano
Mnawatawala hawa hawa polisi waliompa kifiro mwanaharakati wenu au kuna polisi wengine?Kenya imekufa yet tunawatawala hadi kenge polisi wenu kule X!!