Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio ngumu kama tutajenga Branch ya Mwanza to Bukoba au tukawa tuna meli za mizigo za container hata 4 ,maana mv mwanza haitoshi na sio container ship , iko mv umoja ila plan ilikuwa kuwa na dedicated container ships

Hizo container ships ziwe ziwa victoria na tanganyika hapo tutashika logistics
Labda mizigo ya Uganda iwe ikitokea Moja kwa Moja imepelekwa mwanza then ndo taratibu nyingine zifuatwe
 
Nionyeshe Tanzania ikijadiliwa bungeni Kenya.
Kwahiyo kama haijadiliwi bungeni inamaana kuwa hamuijadili!?
Umewahi kuona Tanzania raia wamerundikana mitaani wakiijadili Kenya!?
Ila Kenya mnarundikana mtaani mkiijadili Tanzania.
Umewahi kuona kuna MTanzania yeyote the so called mwanaharakati akashoboka na Kenyan politics!?
Ila Kenya mmefanya hivyo.
Tumewajadili bungeni baada ya ninyi kuanza kushoboka na sisi.
 
Labda mizigo ya Uganda iwe ikitokea Moja kwa Moja imepelekwa mwanza then ndo taratibu nyingine zifuatwe
Kwahyo hapo ni njia ya maji , means container ship , over the long run which option is chepaer , Container ships angalau 4 having a container ship that can carry atleast 200 container ships hivi

Au moja kwa moja umemanisha nini hamna process za kuwa cleared tena.Mwanza means we need meli zinazoingiza mabehewa kama Mv umoja ( hii imabeba mabehewa 19 , lets say ufanye

New container ships @ iwe na uwezo wa 24 railway wagons Ukiwa nazo kama 4 kazi inakuwa nyepesi mabehewa yanaingia direct kwenye meli yakifika kule inabidi kuwe na vichwa vya kuvuta
 
Siaya and Kwale Stadiums are better than Gombani Stadium
You are such a butthole.
Kwale and Siaya stadiums.
images-21.jpg
images-22.jpg


GOMBANI STADIUM PEMBA.
images-23.jpg
 
Kwahiyo kama haijadiliwi bungeni inamaana kuwa hamuijadili!?
Umewahi kuona Tanzania raia wamerundikana mitaani wakiijadili Kenya!?
Ila Kenya mnarundikana mtaani mkiijadili Tanzania.
Umewahi kuona kuna MTanzania yeyote the so called mwanaharakati akashoboka na Kenyan politics!?
Ila Kenya mmefanya hivyo.
Tumewajadili bungeni baada ya ninyi kuanza kushoboka na sisi.
Wana Shobo huwa Tanzania haikatiki midomoni mwao.

View: https://x.com/citizentvkenya/status/1925462637753635303?s=46

View: https://x.com/citizentvkenya/status/1925149655190421674?s=46

View: https://x.com/kulanpost/status/1925127929333178855?s=46
 
Back
Top Bottom