If you are Keen enough following up these recent developments in the region, you'll know that CCM Kuna watu wao hapo kunya that they do respect the Most,
One of them is that Madam Martha Karua. I believe they have lots of common dealings in their political life.
Ni kama CCM wanaheshimu Martha Karua kuliko hata William loot all.
few weeks ago William Loot all, (the most corrupt president in the universe) while on his begging mission aliropoka maneno huko China kuhusu Tanzania and no one in CCM bothered.
Ila Leo na Jana naona top CCM leaders mentioning the name of Martha Karua mara kadhaa kwenye podiums. CCM hawawezi kukutaja kwenye mikutano Yao kirahisi tu.
Nimeona pia Martha na jeuri yake she's responding to CCM senior leaders with such great respect..
It's good thing to see we respect each other In that way, that clown Boniface was just a Victim.
Labda niwakumbushe wakenya, you may have issues with mama Samia, and you can mess up with her, but be informed you can't afford to to mess up with CCM. CCM ni kubwa sana kuliko mama.
View attachment 3342492