Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Kwikwikwikwikwi. Is true

1747918805275.png
 
Nguvu gani kubwa iliyotumika?
Ulifuatilia namna ambayo walivyokuja na ideology waliyonayo?
Siisapoti CCM ila walichokifanya ni sahihi kwa hao wakenya.
Na unabisha kama hao sio wanaharakati au siyo?
Downfall ya nchi hii inaenda kutokea kutokana na watu wenye akili ndogo sana inayofanya maamuzi iliyopo.

Kwamba hao wanaharakati 6, walikuwa wanakuja mahakamani kufanya nchi isitawalike??
 
Yes Kuna a massive mall coming up but iko on your way to Elgon View, the massive construction in Pioneer estate, Eldoret ni affordable housing wachana na huyo fala mwenye amepost hiyo clip, huyo amevuta na kutafuna vitu zake 🤣🤣🤣., was here a month ago..,
View attachment 3342181
View attachment 3342182
View attachment 3342184
View attachment 3342183
View attachment 3342180
Chumba kimoja, kachoo kanaface chumba kishwa. Hapa plastic bag za kunyea lazima zitatumika tu.
 
Back
Top Bottom