Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Kwikwikwikwikwi. Is true

1747918805275.png
 
Nguvu gani kubwa iliyotumika?
Ulifuatilia namna ambayo walivyokuja na ideology waliyonayo?
Siisapoti CCM ila walichokifanya ni sahihi kwa hao wakenya.
Na unabisha kama hao sio wanaharakati au siyo?
Downfall ya nchi hii inaenda kutokea kutokana na watu wenye akili ndogo sana inayofanya maamuzi iliyopo.

Kwamba hao wanaharakati 6, walikuwa wanakuja mahakamani kufanya nchi isitawalike??
 
Back
Top Bottom