Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila uwanja wa ndege mpya Kagera ni tembo mweupe! Ule uliopo tangu kipindi cha Kikwete upo underutilized!
Ingekuwa mawazo yangu.

Futa project ya kujenga uwanja wa kimataifa Kagera, maana hata uwanja wa kimataifa Chato ni tembo mweupe.

Boresha uwanja mpya wa Mwanza uwe wa kimataifa.

Jenga njia 4, barabara za Mwanza Mjini to Gate la Serengeti - 4LANES, Mwanza CBD - Nyanguge, Musoma Road.

Watalii wanaoshukia Mwanza wanaingia serengeti kupitia Mwanza International Airport.

Na watakaoingia kupitia KIA wanaingia Serengeti, kupitia Arusha.

Watalii wavivu, tayari tuna Seronera Airstrip ambayo inapokea ndege ndogo.

Kujenga Uwanja mkubwa mbugani, hata kama wanasema sijui ni Green. Mwisho wa siku Ndege zina kelele sana plus Mataa.

Wanyama watahama watakuwa wanahama kila siku.

Kama tunasema Maasai wanavuruga ecosytem ya Ngorongoro, vipi kuhusu Ndege kubwa na taa za uwanja wa ndege??
 
Mzee unakomalia vitu vya kijinga. Achana na vitu usivyovijua. Mwenzako Tundu Lissu familia yake ipo Ubeligiji. Yupo tayari kufa na ameahidwa familia yake itatunzwa.
Mimi siyo mfuasi wa Mwanasiasa.

Mimi ni mfuasi wa UTU.

Ndio maana nawatetea hata Wapalestina, hata kama sina ndugu Middle East.

Hata CCM ya Nyerere siyo hii.

Kuna genge tu, limeteka Dola, na wala siyo kila mwenye akili timamu anafurahia.

Kufa hata wewe UTAKUFA na UTASAHAURIKA.
 
Ingekuwa mawazo yangu.

Futa project ya kujenga uwanja wa kimataifa Kagera, maana hata uwanja wa kimataifa Chato ni tembo.mweupe.

Boresha uwanja mpya wa Mwanza uwe wa kimataifa.

Jenga njia 4, barabara za Mwanza Mjini to Gate la Serengeti.

Watalii wanaoshukia Mwanza wanaingia serengeti.

Na watakaoingia kupitia KIA wanaingia Serengeti.

Watalii wavivu, tayari tuna Seronera Airstrip ambayo inapokea ndege ndogo.

Kujemga Uwanja mkunwa mbigani, hata kama wanasema sijui ni Green. .wisbo wa siku Ndege zina kelele sana.

Wanyama watahama watakuwa wanahama kila siku.

Kama tunasema Masai wanavuruga ecosytem ya Ngorongoro, vipi kuhusu Ndege kubwa.
Mzee hatujengi viwanja kwaajili ya leo au Kesho. Uwanja wa ndege unakaa zaidi ya miaka 30.
Acha kuwa na mawazo ya biashara za nyanya.
 
Mimi siyo mfuasi wa Mwanasiasa.

Mimi ni mfuasi wa UTU.

Ndio maana nawateyea hata Wapalestina, hata kama sina ndugu Middle East.

Hata CCM ya Nyerere siyo hii.

Kuna genge tu, limeteka Dola, na wala siyo kila mwenye akili timamu anafurahia.

Kufa hata wewe UTAKUFA na UTASAHAURIKA.
UTU ni nini?
 
🤣🤣🤣
1000042175.jpg
 
Its a SAFARI. Not a business trip.

Kujenga lami wameshindwa, hizo ndege kubwa mbugani ndio kabisa zinaenda kukimbiza wanyama.

Wanyama watahamia Kenya.

SGR kutoka Tanga Port kwenda Isaka ni good idea.

Ila SGR kwenda Arusha tena kwa mfumo wa PPP ni utapeli wa kihuni tu.

Kwanza mikoa hiyo haihitaji SGR (Mostly for Cargo rail tracks)

Huko inatakiwa Light trains tu, kama za Nigeria, Ethiopia, South Africa Gautrain
Gautrain sio light train!
 
If you are Keen enough following up these recent developments in the region, you'll know that CCM Kuna watu wao hapo kunya that they do respect the Most,
One of them is that Madam Martha Karua. I believe they have lots of common dealings in their political life.
Ni kama CCM wanaheshimu Martha Karua kuliko hata William loot all.
few weeks ago William Loot all, (the most corrupt president in the universe) while on his begging mission aliropoka maneno huko China kuhusu Tanzania and no one in CCM bothered.

Ila Leo na Jana naona top CCM leaders mentioning the name of Martha Karua mara kadhaa kwenye podiums. CCM hawawezi kukutaja kwenye mikutano Yao kirahisi tu.

Nimeona pia Martha na jeuri yake she's responding to CCM senior leaders with such great respect..
It's good thing to see we respect each other In that way, that clown Boniface was just a Victim.

Labda niwakumbushe wakenya, you may have issues with mama Samia, and you can mess up with her, but be informed you can't afford to to mess up with CCM. CCM ni kubwa sana kuliko mama.
Screenshot_20250522-222855.X.png
 
Back
Top Bottom