Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulipigania uhuru wa nini?

Lengo la uhuru lilikiwa nini?

Matendo gani ya wakoloni ambayo watawala wa sasa hawafanyi?

Kila sehemu kuna matatizo.

Na watu wema huwezi kuwaweka mipaka.

Siyo kwamba TZ kila jambo ni zuri na siyo kwamba kila jambo Kenya ni zuri.
Watanzania uchawa na njaa unatusumbua sana na hatuwezi kuendelea kwa fikra kama izi,tatizo lingine watanzania na ccm kwa ujumla wanajifananisha na chama cha kikomonisti cha china wanasahau kwamba china hamna uchawa na kuna uajibikaji unless tuwe tayari kubadilika ndio tutaona maendeleo ya kweli haya maendeleo ya sasa ni baby steps tuu na tunajifananisha na maskini mwenzetu kenya ambaye naye kajiona kaendelea kwa kuwatukana viongozi wao kumbe hamna lolote
 
Tulipigania uhuru wa nini?
Tulipigania uhuru ili tupate sovereignty yetu.

Lengo la uhuru lilikiwa nini?
Lengo kuu ya uhuru ni kujitawala sisi wenyewe.

Matendo gani ya wakoloni ambayo watawala wa sasa hawafanyi?
Nchi yako ina ubaguzi wa rangi?
Nchi yako unahudumiwa huduma za kijamii kulingana na matabaka??


Kila sehemu kuna matatizo.

Na watu wema huwezi kuwaweka mipaka.

Siyo kwamba TZ kila jambo ni zuri na siyo kwamba kila jambo Kenya ni zuri.
Tulipigania uhuru ili tujitawale na tupate sovereignty yetu wenyewe.

Sawa Kila sehemu Kuna matatizo ila NDUGU MBAYA SIO JIRANI MWEMA.
Uanaharakati mzuri kama wa kina Malala ndio unaohitajika.
Sio kama uanaharakati kama wa Kenyans.
Je uanaharakati wao ulileta manufaa kwao!?
Unataka Tanzania turuhusu uanaharakati wa kuharibu mali za umma,kutukana viongozi na kufanya vurugu kama Kenya!?
Umeona maandamano ya gen Z yalivyoharibu mali za watu na mali za umma na kusababisha vifo vingi!?
Unataka uanaharakati kama ule!??
Bro embu tumia akili hata kidogo.
Ideology ya wanaharakati wa Kenya ni unacceptable, walitaka kutugaia ideology za kina gen Z ni ujinga.
 
Tulipigania uhuru ili tujitawale na tupate sovereignty yetu wenyewe.

Sawa Kila sehemu Kuna matatizo ila NDUGU MBAYA SIO JIRANI MWEMA.
Ndugu mbaya kwenye nini?
Uanaharakati mzuri kama wa kina Malala ndio unaohitajika.
Hakuna mgeni aliyekuja kifanya harakati TZ.

Hao wageni walikuja mahakamani, kama observer na hakuna sheria yoyote waliyovunja.

Tujifunze kuhwleshimu taratibu tukizojiwekea.
Sio kama uanaharakati kama wa Kenyans.
Je uanaharakati wao ulileta manufaa kwao!?
Unataka Tanzania turuhusu uanaharakati wa kuharibu mali za umma,kutukana viongozi na kufanya vurugu kama Kenya!?
Hakuna Mkenya liyekuja kifanya harakati TZ
Umeona maandamano ya gen Z yalivyoharibu mali za watu na mali za umma na kusababisha vifo vingi!?
Hao wakenya 6 walikuja kuanzosha maandamano.??

Yaani wanaharakati 6, walikuja kuanzisha maandamano TZ.
Unataka uanaharakati kama ule!??
Bro embu tumia akili hata kidogo.
Ideology ya wanaharakati wa Kenya ni unacceptable, walitaka kutugaia ideology za kina gen Z ni ujinga.
Kukomaa na wa waharakati 6, kwa kutumia nguvu ni TOO LOW na UJINGA tu.

Watu 6, nguvu tani 600, siku tukipata majanga nchi hii tutaweza kweli??
 
Ndugu mbaya kwenye nini?

Hakuna mgeni aliyekuja kifanya harakati TZ.

Hao wageni walikuja mahakamani, kama observer na hakuna sheria yoyote waliyovunja.

Tujifunze kuhwleshimu taratibu tukizojiwekea.

Hakuna Mkenya liyekuja kifanya harakati TZ

Hao wakenya 6 walikuja kuanzosha maandamano.??

Yaani wanaharakati 6, walikuja kuanzisha maandamano TZ.

Kukomaa na wa waharakati 6, kwa kutumia nguvu ni TOO LOW na UJINGA tu.

Watu 6, nguvu tani 600, siku tukipata majanga nchi hii tutaweza kweli??
Nguvu gani kubwa iliyotumika?
Ulifuatilia namna ambayo walivyokuja na ideology waliyonayo?
Siisapoti CCM ila walichokifanya ni sahihi kwa hao wakenya.
Na unabisha kama hao sio wanaharakati au siyo?
 
Back
Top Bottom