Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chombo kinachoweza akiamua kwamba huu ni uhaini au sio uhaini ni mahakama tu na bahati nzuri mahakama hiyo ipo Tanzania, Ina mahakimu watanzania, mawakili wa kitanzania walinzi wa kitanzania.
Inakuwaje mpaka Leo Tena kwa ushahidi huo unaosema ni video mkaogopa kusiwe na uwazi wa baadhi ya watu wa mataifa mengine kuhudhuria.
Kumbuka hapo mawakili na unaowaiita wanasiasa hawatakiwa na uwezo wa kusimama mahakamani zaid ya kusikiliza .
Kuweni professional buana.
Kila siku hapa tunawasema wakenya ila bado hata vitu vidogo ambavyo vingeendelea kutuwekea heshima ya kuwa kisiwa cha amani tunashindwa kuvimantain.
Hivi wakati mnawahifadhi wapigania uhuru wa msumbiji, south Africa ,Uganda na kadhalika haikuwa kuingilia mambo ya nchi nyingine.
Tuache uchawa hii nchi ikiharibika kama mnavyotaka iende tutaumia wote na hata wewe ambaye unatetea uchawa
Kwahiyo kaka unaunga mkono mambo yetu ya nchi yaingiliwe na mataifa mengine.? Unajua suala hilo linamaana gani kitaifa.? Ushawahi kuona wapi wachina wameenda kuingilia mambo ya India.? Hopefully taratibu unazijua. 👇🏾
IMG_7657.jpeg
kama watanzania wataamua kumtetea basi sio dhambi kufanya hivyo kimahakama, but i will never support outsiders interference. Kwahiyo hao raia wa kigeni wakae mbali sana na hili, kwasababu kimsingi Lisu anayo makosa, na wala hajaonewa.
 
JPM alieleza hadharani habari hizi.. wakati ule jamaa alijaribu kumpinga JPM karibu katika kila alichofanya, yeye ni mmoja kati ya Raia wapumbavu waliojaribu kulidhohofisha shirika letu la ndege kwa kupinga manunuzi ya ndege zile Bombadier Q400, alifanya kila jitihada kudhohofisha marekebisho ya sheria za madini Tz, sasa je huyo mtu analitakia mema taifa..? Sasahivi tunajivunia maendeleo ya nchi yetu, hispitali, shule, madini, miundombinu ya barabara, reli na madaraja, shirika letu la ndege ni kuubwa sasahivi.. JPM asingekua ngangari kijamaa kingemyumbisha. lazima tutangulize Tanzania kwanza kaka, mimi simuungi mkono mama, lakini likija suala la Tanzania yangu nitamuunga mkono bila kupepesa.
Mimi nikionaga tu upinzani wanalamba sana wazungu matako naona hapo hamna upinzani.
Napata ukakasi sana vipi wakipewa madaraka na namna wanalamba hawa wazungu matako itakuwaje!
Si ndo wataturudisha kule kule!
Maana lazima walipe fadhila za wazungu waliowasaidia kuwepo pale. 😂😂😂
 
Unajua wakenya kwa sasa hawana cha kupoteza. Ogopa sana kukaa na mtu aliyekata tamaa na maisha. He/she can do anything.

Just imagine wakenya wanenda Uganda kujiandikisha kupiga kura. Wanakuja kwa wingi Tanzania kufanya siasa. Halafu unaona kabisa kuwa ni coordinated agenda.

Baada ya kufanya tukio mitandao ya kijamii wanapiga kelele kila kona. Very stupid na unaona kabisa they are paid to do that. Wanalipia mitandao ya kijamii ili taarifa zitembee.

Ndio mbinu hiyo hiyo waliyoitumia wazungu zambia na kukiangusha chama tawala
Umesahau wakundustan pia wanatumika kupinga bomba la mafuta la Afrika mashariki sio watu kabisa wa kushirikiana nao kwenye lolote, pia serikali yao iliunda task force ya kudrain dollars Tanzania, walikua wanakuja Tanzania kununua dollars tu na kupeleka nchini kwao kutokea Arusha, Manyara na Kilimanjaro
 
JPM alieleza hadharani habari hizi.. wakati ule jamaa alijaribu kumpinga JPM karibu katika kila alichofanya, yeye ni mmoja kati ya Raia wapumbavu waliojaribu kulidhohofisha shirika letu la ndege kwa kupinga manunuzi ya ndege zile Bombadier Q400, alifanya kila jitihada kudhohofisha marekebisho ya sheria za madini Tz, sasa je huyo mtu analitakia mema taifa..? Sasahivi tunajivunia maendeleo ya nchi yetu, hispitali, shule, madini, miundombinu ya barabara, reli na madaraja, shirika letu la ndege ni kuubwa sasahivi.. JPM asingekua ngangari kijamaa kingemyumbisha. lazima tutangulize Tanzania kwanza kaka, mimi simuungi mkono mama, lakini likija suala la Tanzania yangu nitamuunga mkono bila kupepesa.
Uzuri vitu vipo humuhumu je hizi sio hasara tulizoingia.
Alichotahadharisha lisu hakikutokea
 
Mimi nikionaga tu upinzani wanalamba sana wazungu matako naona hapo hamna upinzani.
Napata ukakasi sana vipi wakipewa madaraka na namna wanalamba hawa wazungu matako itakuwaje!
Si ndo wataturudisha kule kule!
Maana lazima walipe fadhila za wazungu waliowasaidia kuwepo pale. 😂😂😂
Vipi ccm hawalambi 🤣🤣🤣🤣
 
Sasa unachotetea nini je ni kweli hatukushindwa kesi na kama kweli alikuwa mzalendo kweli kwanini haku deal na waliingia hii mikataba.
Yaan mnaingia mikataba ya kipumbavu wenyewe yakiwafika mnatafuta mlango wa nyuma ili muonekane wazalendo🤣🤣🤣🤣
Subscribe
Kitaifa
Serikali yashindwa kesi, yatakiwa kulipa fidia Sh260 bilioni
Jumanne, Julai 18, 2023


By Kelvin Matandiko

Mwandishi wa habari

Mwananchi

Muktasari:
Serikali imetakiwa kulipa fidia ya dola 109 milioni (Sh260 bilioni) kwa Kampuni ya Indiana Resources iliyoshinda kesi katika Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji (ICSID) baada ya kujiridhisha uwepo wa ukiukwaji wa mkataba wa uwekezaji katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill mwaka 2018.










Faida ni nyingi kuliko hasara.
Kuvunja mikataba ya ovyo ni bora kuliko kuendelea kukumbatia mikataba ya ovyo.
Endeleeni kumtetea huyu msaliti wa nchi.
 
Uzuri vitu vipo humuhumu je hizi sio hasara tulizoingia.
Alichotahadharisha lisu hakikutokea
Sasa kipi bora.? Hizi hasara tunazojua kiwango chake au kuruhusu ule wizi wa madini wa barick ambao hatujui kiwango chake ni kiasi gani, na ungekuepo vizazi na vizazi.? Heb tujaribu kuwa wakweli jamani.
 
JPM alieleza hadharani habari hizi.. wakati ule jamaa alijaribu kumpinga JPM karibu katika kila alichofanya, yeye ni mmoja kati ya Raia wapumbavu waliojaribu kulidhohofisha shirika letu la ndege kwa kupinga manunuzi ya ndege zile Bombadier Q400, alifanya kila jitihada kudhohofisha marekebisho ya sheria za madini Tz, sasa je huyo mtu analitakia mema taifa..? Sasahivi tunajivunia maendeleo ya nchi yetu, hispitali, shule, madini, miundombinu ya barabara, reli na madaraja, shirika letu la ndege ni kuubwa sasahivi.. JPM asingekua ngangari kijamaa kingemyumbisha. lazima tutangulize Tanzania kwanza kaka, mimi simuungi mkono mama, lakini likija suala la Tanzania yangu nitamuunga mkono bila kupepesa.
Hivi kati zile ndege mpya ngapi zimepaki ? Kwa kukosa vipuri , hivi tungekuwa tumenunua kwa mkopo unadhani muuzaji angekubali msipate vifaa kwa wakati ili mumlipe deni lake ?
 
Kwa hili acha waje watusaidie maana bongo tumeshidwa bila kuwapa joto ccm hatuwezi kuwaondoa kwa kura
Upinzani wenyewe wa kuwaondoa CCM uko wapi? Tunahitaji upinzani madhubuti wenye spirit ya nationalism, hawa wapumbavu wanaona Kunyaland ndio their fantasy dreamland unaona tu mawazo yao yalivyofinyu na hawana msaada wowote kwa watanzania.
 
Kwahiyo kaka unaunga mkono mambo yetu ya nchi yaingiliwe na mataifa mengine.? Unajua suala hilo linamaana gani kitaifa.? Ushawahi kuona wapi wachina wameenda kuingilia mambo ya India.? Hopefully taratibu unazijua. 👇🏾View attachment 3339710kama watanzania wataamua kumtetea basi sio dhambi kufanya hivyo kimahakama, but i will never support outsiders interference. Kwahiyo hao raia wa kigeni wakae mbali sana na hili, kwasababu kimsingi Lisu anayo makosa, na wala hajaonewa.
Huyu nilimuwekaga ignore kwa sababu ya siasa za uchawa humu. 😂😂😂
Kumbe nilikuwa sahihi kumuweka.
 
Faida ni nyingi kuliko hasara.
Kuvunja mikataba ya ovyo ni bora kuliko kuendelea kukumbatia mikataba ya ovyo.
Endeleeni kumtetea huyu msaliti wa nchi.
Kwahiyo waliongia mikataba walikuwa kina lisu sio nyinyi ccm Tena .wakati wanapinga kutoingia mikataba hiyo madini SI mlikuwa mnawasurubu .
Inakuwaje mtu imeingia mwenyewe baada ya kuona maji moto unalazimisha kutoka kwa kuvunja taratibu matokeo yake unamlipa mtu gharama zake za uwekezaji wakati huko NYUma ashavunq vya kutisha nani chizi🤣🤣🤣🤣
 
Upinzani wenyewe wa kuwaondoa CCM uko wapi? Tunahitaji upinzani madhubuti wenye spirit ya nationalism, hawa wapumbavu wanaona Kunyaland ndio their fantasy dreamland unaona tu mawazo yao yalivyofinyu na hawana msaada wowote kwa watanzania.
Nyinyi mnataka upinzani wa kuwalamba matako kama ule wa mbowe huuu wa safari hiii mtanyooka tu
 
Kwahiyo waliingia mikataba walikuwa kina lisu wakati wanapinga kutoingia mikataba hiyo madini SI mlikuwa mnawasurubu .
Inakuwaje mtu imeingia mwenyewe baada ya kuona maji moto unalazimisha kutoka kwa kuvunja taratibu matokeo yake unamlipa mtu gharama zake za uwekezaji wakati huko NYUma ashavunq vya kutisha nani chizi🤣🤣🤣🤣
Aliyeingia mikataba ni awamu ya JPM?
 
Mimi nikionaga tu upinzani wanalamba sana wazungu matako naona hapo hamna upinzani.
Napata ukakasi sana vipi wakipewa madaraka na namna wanalamba hawa wazungu matako itakuwaje!
Si ndo wataturudisha kule kule!
Maana lazima walipe fadhila za wazungu waliowasaidia kuwepo pale. 😂😂😂
Kwanza wamempa hifadhi huko kwao, halafu wanam fund kila kukicha, akina Amstadam ndio watetezi wake, watanzania wenzetu eti wanamuunga mkono bwana lisu, halafu hao hao kwa unafki wanamuunga mkono pia bwana Traore eti wanachukia wazungu kwa kutaka kumng’oa. 🤣🤣🤣 nchi ina waduanzi hii. Wazungu wanaomuunga mkono Lisu ndio hawa hawa wanaompinga Traore..
 
Back
Top Bottom