Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni SGR au Mgr! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
IMG_3837.jpeg
 
Matatizo ya madini yaliletwa na Mkapa na ukiona mtu anatetea ujinga jua ana masilahi nao mama simpendi ila kwa hili la wakunya kuja kwetu kusikiliza kesi zetu big no namuunga mkono 100% Ningekuwa mm ni yeye hata kama ni mbwayi acha
Utaratibu gani utautumia kuharibu maslahi ya wazungu kaka.? Kama ni makosa yalishafanywa na watangulizi wake, sasa tuyaache tu hivyo hivyo kwasababu watangulizi walikosea.? Hatuwezi kuliendesha hili taifa kwa style hiyo my brother. Nia ya JPM ilikua wazi kabisa, na hakukua na njia ya mkato ispokua ni kuivunja mikataba iliyosainiwa, and glad we did it, hizo hasara zingine zinahimilika.

Listen, Nyerere aliwahi kuwakatalia barick mkataba wao wa hovyo kuchimba madini Tz na kuwaeleza wazi kwamba sio lazima madini yachimbwe wakati ule, Vizazi vijavyo vitakapokuwa tayari vitachimba, kwa bahati mbaya Mkapa akaruhusu kwa vipingele vibovu kuliko vile alivyopinga Nyerere, sasa je Magufuli nae angeacha hivyo hivyo.? Hivi nyinyi mnalitakia mema hili taifa kweli.? Au mnashabikia tu.?
mbwayi pamoja na Madudu ya Mkapa aliomba msamaha kwenye kitabu chake JPM angeacha nyumba ianguke au kuna uwezo wa kukarabati na maisha yakaendelea
 
Hawa wawe fundisho kwa wapumbavu wenzao huko Kenya, hawataleta tena matako yao huku. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hao lazima wang'ang'aniwe wana bahati mbaya kweli wamekamatwa wakati mama ndio anasema watovu wa nidhamu wasivumiliwe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wataona detain and deport ilikua privilege ๐Ÿ˜‚
 
Utaratibu gani utautumia kuharibu maslahi ya wazungu kaka.? Kama ni makosa yalishafanywa na watangulizi wake, sasa tuyaache tu hivyo hivyo kwasababu watangulizi walikosea.? Hatuwezi kuliendesha hili taifa kwa style hiyo my brother. Nia ya JPM ilikua wazi kabisa, na hakukua na njia ya mkato ispokua ni kuivunja mikataba iliyosainiwa, and glad we did it, hizo hasara zingine zinahimilika.

Listen, Nyerere aliwahi kuwakatalia barick mkataba wao wa hovyo kuchimba madini Tz na kuwaeleza wazi kwamba sio lazima madini yachimbwe wakati ule, Vizazi vijavyo vitakapokuwa tayari vitachimba, kwa bahati mbaya Mkapa akaruhusu kwa vipingele vibovu kuliko vile alivyopinga Nyerere, sasa je Magufuli nae angeacha hivyo hivyo.? Hivi nyinyi mnalitakia mema hili taifa kweli.? Au mnashabikia tu.?
Kwahiyo kumbe waliongia mikataba sio wapinzani walikuwa ni ccm, sasa unaanzaje kusema flani ni mhaini wakati tayar Kuna mtu wenu tayar ashatuuza kwa kuingia mikataba mibovu?
Ni sawa na sasa hivi tunakopa Kila siku ila mtu akiongelea kuwa tunakopa sana adui ila huko mbeleni madeni yakituzid akaja mtu wenu akaanza kuwabinya ili mlipe deni mtahamia huko na kumuona malaika.๐Ÿคฃ๐Ÿคฉ๐Ÿคฃ
 
Matatizo ya madini yaliletwa na Mkapa na ukiona mtu anatetea ujinga jua ana masilahi nao mama simpendi ila kwa hili la wakunya kuja kwetu kusikiliza kesi zetu big no namuunga mkono 100% Ningekuwa mm ni yeye hata kama ni mbwayi acha
mbwayi pamoja na Madudu ya Mkapa aliomba msamaha kwenye kitabu chake JPM angeacha nyumba ianguke au kuna uwezo wa kukarabati na maisha yakaendelea
Kwani wakati wanamshauri jinsi ya kuweza kutatua migogoro Ile bila kuingia gharama ya kulipa fidia kwanini hakusikiliza.
Terms walizomshauri kina lisu za kukaa pamoja na kubadilishia terms of ownership zisingefaaa. Haya acacia kaha madini yashaisha na fidia tutalipa? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Yamebaki mahandak
 
Hawa ndo wanakuambia awamu ya JK haikuwa na shida.
Unajiuliza hivi yule dokta wa msitu wa Pande ilikuwa awamu gani!
walikosa kabisa chochote kibaya kwa Magu wakawa wanaenda mortuary wananunua miili iliotelekezwa miaka mingi wanaifunga kwenye viroba wanaitelekeza public areas halafu wanakuja kuiripoti eti Magu anaua watu, wajifungia mahali wiki miezi wanasema wametekwa, zote hizo ni ili wamchafue Magu wale pesa za mabeberu upinzani wa kipumbavu kweli.
 
Matatizo ya madini yaliletwa na Mkapa na ukiona mtu anatetea ujinga jua ana masilahi nao mama simpendi ila kwa hili la wakunya kuja kwetu kusikiliza kesi zetu big no namuunga mkono 100% Ningekuwa mm ni yeye hata kama ni mbwayi acha
mbwayi pamoja na Madudu ya Mkapa aliomba msamaha kwenye kitabu chake JPM angeacha nyumba ianguke au kuna uwezo wa kukarabati na maisha yakaendelea
Aliomba msamaha baada ya kufanya blanda sio. Huko mbeleni baada ya miaka mingi hawa wanaowafanyia wenzao maovu wakija omba msamaha tuwasamehe tu wakati wanashauriwa ila wameziba masikio.
 

Wakundustan ninyi wapumbavu kweli, yaani hizo nyumba zote mnazojenga zote hazitakaa zifike idadi ya nyumba za wanajeshi Tanzania ilizojenga nchi nzima kila wilaya Tanzania hii, hizi nyumba zipo kila mahali Tanzania na hujawahi kuzisikia zikiongelewa popote

images (13).jpeg
images (12).jpeg
 
Wakundustan ninyi wapumbavu kweli, yaani hizo nyumba zote mnazojenga zote hazitakaa zifike idadi ya nyumba za wanajeshi Tanzania ilizojenga nchi nzima kila wilaya Tanzania hii, hizi nyumba zipo kila mahali Tanzania na hujawahi kuzisikia zikiongelewa popote

View attachment 3339805View attachment 3339806
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Hii ungewacha tu ibaki gallery.
Mukuru housing project:- Top 3 biggest in Africa
14,000 houses
50,000+ residents.
substation
Piped gas
Markets, hospitals, schools, Police stations, fires stations, tens of shops

Upon completion, this is a whole city, not a joke of what your posting.

Kwa hii picha I've not counted more than 100 houses ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Do you have any estate with piped gas in the whole of bongoslum, leave alone public housing?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Eti house tour wakati ukiingia tu kila kitu kimeisha? Hii bedsitter ya mwanachuo huku Tanzania ndio anapewa huyo mama mwenye watoto 6 na mume tena kwa million 35 za kitanzania ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hapo wafanyakazi walishakatwa pesa kwenye mishahara na hakuna atakaepewa bure chochote.
Hiyo 35M ukiwa na kiwanja nje ya mji si inatosha three bedroom kabisa. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View: https://x.com/rickspatkeep/status/1924743317956227564?s=46

View: https://x.com/dickensis8001/status/1924753187107463445?s=46
 
Back
Top Bottom