babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,910
- 34,915
Unamaanisha hii serikali ambayo kila raisi akija anakuja na vipaumbele vyake! Au kuna nyingine!Kwa hiyo sio serikali ya ccm? Wakati hiyo mikataba letsay ya madini yeye hakushiriki kwenye cabinet kama alikuwa anaona haifai mbona hatukwahi msikia akipinga hata bungeni🤣🤣🤣🤣
Hivi nchi hii kuna waziri anaweza kupinga kitu alichoamua raisi? Yaani ulitaka JPM kipindi kile ampinge bosi wake (JK)
Acha kuandika ujinga huku ukifahamu namna nchi yako inavyo operate.
Hivi unakumbuka kauli ya JPM "Mtalimia meno" alikuwa anamaanisha nini!
View: https://youtu.be/oQ5xvhkaEnk?si=Q8kKpB85aJeQlzKJ