Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo sio serikali ya ccm? Wakati hiyo mikataba letsay ya madini yeye hakushiriki kwenye cabinet kama alikuwa anaona haifai mbona hatukwahi msikia akipinga hata bungeni🤣🤣🤣🤣
Unamaanisha hii serikali ambayo kila raisi akija anakuja na vipaumbele vyake! Au kuna nyingine!
Hivi nchi hii kuna waziri anaweza kupinga kitu alichoamua raisi? Yaani ulitaka JPM kipindi kile ampinge bosi wake (JK)
Acha kuandika ujinga huku ukifahamu namna nchi yako inavyo operate.
Hivi unakumbuka kauli ya JPM "Mtalimia meno" alikuwa anamaanisha nini!

View: https://youtu.be/oQ5xvhkaEnk?si=Q8kKpB85aJeQlzKJ
 
Hivi kati zile ndege mpya ngapi zimepaki ? Kwa kukosa vipuri , hivi tungekuwa tumenunua kwa mkopo unadhani muuzaji angekubali msipate vifaa kwa wakati ili mumlipe deni lake ?
Ushawahi kukopa.? Kikawaida tu nyumbani.? Nazungumzia hii mikopo rasmi..

Vipuri vinanunuliwa my brother, ni bora vichelewe kufika lakini hiyo ndege ni yetu, hasara za kimadirio sio hasara halisi.. ndege itakua haifanyi kazi ikisubiri matengenezo.. je vipi ndege ikisubiri matengenezo halafu ni ya mkopo.? Itafika wakati tutashindwa kuilipia kabisa halafu wenyenayo wataichukua au tutaendelea kuwa watumwa wa hayo madeni milele, pesa inayotosha kununua ndege tano cash tutaitumia kulipia ndege moja ya mkopo… ukumbuke shirika letu lipo kwenye ukuaji, ndio kwanzaa limeanza, cancelations zitakuwepo, delays zitakuwepo, utendaji mbovu utakuepo n.k. Haya mambo yote usidhani viongozi hawakuyafkiria wakati walipoamua kununua ndege kwa cash.
 
Sasa kipi bora.? Hizi hasara tunazojua kiwango chake au kuruhusu ule wizi wa madini wa barick ambao hatujui kiwango chake ni kiasi gani, na ungekuepo vizazi na vizazi.? Heb tujaribu kuwa wakweli jamani.
Issue sio kuingia hasara bali utaratibu, kumbuka hata wakati hii mikataba inaaingiwa Kuna watu kibao walipondwa na kuumizwa kuwa ni wahaini kwa kupinga hiyo mikataba.
Kuna watu walifukiwa bulyankulu wakiwa wamegoma kuachia machimbo yao na serikali hiyo chini ya ccm ilipeleka askari kuwatoa kwa nguvu.
Je unajua aliyekwenda kusimama mahakamani kuwatetea wale maskini waliofunikwa na vifusi.
Je kati ya yule aliyelazimisha mikataba na yule aliyekwenda kusimama mahakamani mpaka watu wakipata haki zao nani mhaini.
Eti baadae yule aliyekwenda kutetea maskini wapate haki huku yule aliyeiba akanufaika akisaza Leo aonekane mhaini ila muuwaji ndo mtaka mwema sio
 
Ushawahi kukopa.? Kikawaida tu nyumbani.? Nazungumzia hii mikopo rasmi..

Vipuri vinanunuliwa my brother, ni bora vichelewe kufika lakini hiyo ndege ni yetu, hasara za kimadirio sio hasara halisi.. ndege itakua haifanyi kazi ikisubiri matengenezo.. je vipi ndege ikisubiri matengenezo halafu ni ya mkopo.? Itafika wakati tutashindwa kuilipia kabisa halafu wenyenayo wataichukua au tutaendelea kuwa watumwa wa hayo madeni milele, pesa inayotosha kununua ndege tano cash tutaitumia kulipia ndege moja ya mkopo… ukumbuke shirika letu lipo kwenye ukuaji, ndio kwanzaa limeanza, cancelations zitakuwepo, delays zitakuwepo, utendaji mbovu utakuepo n.k. Haya mambo yote usidhani viongozi hawakuyafkiria wakati walipoamua kununua ndege kwa cash.
Huyu hajui chochote, ndege za ATCL zilikuwa na shida ya engine kutokana na engine za rolls Royce kupata changamoto kote ulimwenguni.
 
Issue sio kuingia hasara bali utaratibu, kumbuka hata wakati hii mikataba inaaingiwa Kuna watu kibao walipondwa na kuumizwa kuwa ni wahaini kwa kupinga hiyo mikataba.
Kuna watu walifukiwa bulyankulu wakiwa wamegoma kuachia machimbo yao na serikali hiyo chini ya ccm ilipeleka askari kuwatoa kwa nguvu.
Je unajua aliyekwenda kusimama mahakamani kuwatetea wale maskini waliofunikwa na vifusi.
Je kati ya yule aliyelazimisha mikataba na yule aliyekwenda kusimama mahakamani mpaka watu wakipata haki zao nani mhaini.
Eti baadae yule aliyekwenda kutetea maskini wapate haki huku yule aliyeiba akanufaika akisaza Leo aonekane mhaini ila muuwaji ndo mtaka mwema sio
Utaratibu gani utautumia kuharibu maslahi ya wazungu kaka.? Kama ni makosa yalishafanywa na watangulizi wake, sasa tuyaache tu hivyo hivyo kwasababu watangulizi walikosea.? Hatuwezi kuliendesha hili taifa kwa style hiyo my brother. Nia ya JPM ilikua wazi kabisa, na hakukua na njia ya mkato ispokua ni kuivunja mikataba iliyosainiwa, and glad we did it, hizo hasara zingine zinahimilika.

Listen, Nyerere aliwahi kuwakatalia barick mkataba wao wa hovyo kuchimba madini Tz na kuwaeleza wazi kwamba sio lazima madini yachimbwe wakati ule, Vizazi vijavyo vitakapokuwa tayari vitachimba, kwa bahati mbaya Mkapa akaruhusu kwa vipingele vibovu kuliko vile alivyopinga Nyerere, sasa je Magufuli nae angeacha hivyo hivyo.? Hivi nyinyi mnalitakia mema hili taifa kweli.? Au mnashabikia tu.?
 
Yet hapo Dar 80% mnaishi kwa single room vyoo vya nje.
Maisha yao 80% humu ndani pale Dar🤣🤣🤣
images - 2025-05-20T120317.740.jpeg
images - 2025-05-20T120253.992.jpeg
 
Wakati JPM anapambana kubadilisha sheria za madini pamoja na kuzuia makinikia miaka ile nakumbuka huyo Lissu akaanza kutishia nchi kuwa tutashitakiwa MIGA kisa tu sheria zetu mpya za madini.
Hawa watoto wanaoshabikia siasa juu juu changamoto sana.
Yaani nchi yako inapambana kurekebisha sheria za madini ili kunufaisha nchi wewe unakuja kupinga na kukatisha tamaa.
Sasa hivi sheria mpya za madini zinanufaisha nchi.

Watu wanakua na kumbukumbu kama za kuku, wameshasahau haya yote, Lissu aliside na mabeberu wa makinikia tena alikua anawatetea waendelee kutunyonya wasiguswe
 
Huyu hajui chochote, ndege za ATCL zilikuwa na shida ya engine kutokana na engine za rolls Royce kupata changamoto kote ulimwenguni.
Watu wengi wa chadema wanafata mkumbo tu.. na tukichekanao watailetea shida hii Tanzania.. we must deal with them perpenducular..
 

Utaratibu gani utautumia kuharibu maslahi ya wazungu kaka.? Kama ni makosa yalishafanywa na watangulizi wake, sasa tuyaache tu hivyo hivyo kwasababu watangulizi walikosea.? Hatuwezi kuliendesha hili taifa kwa style hiyo my brother. Nia ya JPM ilikua wazi kabisa, na hakukua na njia ya mkato ispokua ni kuivunja mikataba iliyosainiwa, and glad we did it, hizo hasara zingine zinahimilika.

Listen, Nyerere aliwahi kuwakatalia barick mkataba wao wa hovyo kuchimba madini Tz na kuwaeleza wazi kwamba sio lazima madini yachimbwe wakati ule, Vizazi vijavyo vitakapokuwa tayari vitachimba, kwa bahati mbaya Mkapa akaruhusu kwa vipingele vibovu kuliko vile alivyopinga Nyerere, sasa je Magufuli nae angeacha hivyo hivyo.? Hivi nyinyi mnalitakia mema hili taifa kweli.? Au mnashabikia tu.?
Hivi ukifuatilia kwanza ushauri aliowahi utoa kipindi kile kabla ya kuvunja mkataba.
Moja ilikuwa kuwaita na kuongeza Ile ownership ila sisi tukakataa tukakimbilia kuvunja mikataba na bado kile kilichoshauriwa tukaja kufanya kwa mikataba iliyofuata 🤣🤣🤣🤣
 
Watu wengi wa chadema wanafata mkumbo tu.. na tukichekanao watailetea shida hii Tanzania.. we must deal with them perpenducular..
Sasa huoni kama hapo nyinyi ndo mnamihemko, umenunua cash ndege Ina miaka minne haifanyi kazi.
Na sasa mnafikiria jinsi ya kuachana nazo maana vipuri imekuwa shida. Hivi tungekuwa tumezikopa hata kulipa hiyo 30% SI tungewaachia tu wakabeba ndege yao🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom