ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,356
- 88,446
Soma na uelewe we mzee, si nilidhani kwenu hakuna. 🤣🤣🤣Choo cha Shule Mzee! Hatujivunii mambo ya Kenya hadharani!
So you are proud of being the taller midget in open defecation. 😄😂That chart speaks on itself ur bars r way higher!
Achana na huyo mtanganyika. Wamejaza jiji lao na uswazi Kila sehemu wanadhani Nairobi hali ni hivyo hivyo. Now they're looking for excuses just so that they find solace. When you see them say foreighners wanamiliki apartments Nairobi, just know that ni maumivu just because they can't come close. Hata wao pia ni foreighners waje wajenge hizo apartments nao pia wawe wamilikiUmia pole pole. Unaona slums wapi hapa?
![]()
![]()
Niongeze picha?
Hizi picha zinaonyesha the progress we are making ama unadhani ni kitu mbaya. 😂😂
This is Runda from the sky.Tuongee kwa evidence sio kwa maneno zilete hizo bungalows kwanza
Sasa unawezalinganisha hizo nyumba na zile uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali na mabati zilizoliwa na mchwa?Kwahiyo hapo unaona Kuna nyumba ya kulingishia ebu zivute kwa karibu tuone tembea street kwa street tuone
Is Masaki not your most affluent estate? The one mnatutajia hapa Kila siku?Sijafika masaki ushakimbilia huko masaki ni mji wa zaman sana ila bado itakukimbizeni.
Leta evidence za hayo mabungalow Mimi nimeleta video za nyumba za kawaida sana Tena kwenye makazi ya watu wa kawaida sana, kijichi asilimia kubwa wanamiliki watu wa kipato kidogo hatujafika sehem kama mbweni na mikocheni
UMmeshindwa leta mfano wa street zilizoko runda tulinganishe unatuletea aerial view, kwa sababu hata ukizivuta hizo unazoziita bungalow ukajaribu kufananisha na hizo unazoziita apartment bado hizo apartments ziko vizuri kama unabisha leta street view tuSasa unawezalinganisha hizo nyumba na zile uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali ba mabati zilizoliwa na mchwa?
Bungalow ukajenge kwenye acre Moja?🤣🤣 Bungalow zinajengwa kwenye mahekta na ndo ilivyo kwa Tanzania Kuna watu wamejenga mabungalow ndani kama rubgwe ya mbeya wanatumia helkopta tu kuja dar? 🤣🤣🤣🤣Is Masaki not your most affluent estate? The one mnatutajia hapa Kila siku?
Wewe unaleta video ya selected houses just to massage your ego. Videos kama hizo naweza kukutolea even deep in Kahawa Sukari or Lang'ata, which are not affluent estates in Nairobi. Aerial views give the true picture of a place, not some random selected videos.
Mbweni na Mikocheni yenyewe bado ni apartments kama tu zile za Kileleshwa though the latter is much better
Leta mfano wa nyumba tu ambayo kwako unaona ni bungalow usilete aerial viewSasa unawezalinganisha hizo nyumba na zile uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali ba mabati zilizoliwa na mchwa?
Lavington alone has better town houses than all neighborhoods in Dar is a slum combined. Hata hio Masaki haiwezi karibia Lavi.Sasa unawezalinganisha hizo nyumba na zile uswazi zenu zilizotapakaa kila mahali ba mabati zilizoliwa na mchwa?
Lavington alone has better town houses than all neighborhoods in Dar is a slum combined. Hata hio Masaki haiwezi karibia Lavi.
View: https://vm.tiktok.com/ZMS19BrcU/
Yes, something like thatEach year things change. Mbona EPL kila mwaka wanashindana? Hapa mpaka tunazeeka thread hizi zitakuwepo.
🤣🤣🤣 Probably not, ushamba ni mbaya, Kuna mwingine niliona hata hajui duplex, eti anasema wakenya wanaishi kwa nyumba zimeshikanishwa.Are you sure wanaelewa what town houses are?
Ati glaciers 😂😂Em leta glaciers za Mt Kenya nione 😂😂😂