Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulichosema na nilichosema kuna utofauti gani? Nimesema mall hapo Morocco Square ni sehemu ndogo sana ya jengo ukiichukua pekee huwezi ukailinganisha na malls kama The Waterfront ama the Hub, umekuja kudhibitisha kwamba ni floor tatu pekee zilizo mall hapo. Sasa ujuaji wangu upi?
Hapo Morocco NI Regent Estate. Wewe unaongelea Mikocheni kata, mimi naongelea Mikocheni Estate - hivo ni vitu viwili tofauti. Kwamba hapo ni Regent Estate ni fact sio ujuaji. Same way kuna malls za Westands Estate ambazo Teargass ametaja hapo juu na pia kuna Westlands Sub County ambayo tukiichukua yote malls kama Two Rivers, Rosslyn Riviera, Village Market, Lavington mall, Yaya Center, Junction Mall n.k zitakuwa humo humo. Ujuaji ni huyo mbilikimo kusema the Hub and the Waterfront - some of the classiest malls in this region eti ni vibanda alafu anatupostia malls zinazochukua less than 10% ya jengo eti hizo ndio malls.
Kumbe nikiondokaga kwenye uzi ndio unajidai.? 🤣🤣🤣🤣

Mwanzo ulisema morocco si mikocheni, sahii ni sehemu ndogo sana.. chagua sera moja ili nikidhihirisha upumbavu wako humu ndani watu wakudharau.. jitu zima zuzu 🤣🤣🤣kubwa pumbani.
 
Wewe kwako mall ni maghorofa.
Unatafuta nafuu.? Swali kama hili nilielekeze kwako.. hii takataka nayo ni mall.? 🤣🤣🤣👇🏾
IMG_7185.jpeg
au huu upumbavu.? 👇🏾
IMG_7195.jpeg
hii si ni fremu za maduka tu huko goba njia nne.? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 au ulipost tu ili udanganye kama kawaida yako na kibera walker.?
 
Unatafuta nafuu.? Swali kama hili nilielekeze kwako.. hii takataka nayo ni mall.? 🤣🤣🤣👇🏾View attachment 3328933au huu upumbavu.? 👇🏾View attachment 3328934hii si ni fremu za maduka tu huko goba njia nne.? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 au ulipost tu ili udanganye kama kawaida yako na kibera walker.?
Umekwama na picha za pembeni ndio usijiabishe.
Hizo mall mbili zina Chandarana
Food Plus Supermarket kama anchor tenant. Unajua hata maana ya anchor tenant kwanza? Hayo maduka ya Goba anchor tenant ni nani? Najua hujui anchor tenant ni nini ju the mall concept is still very new to you.
 
Umekwama na picha za pembeni ndio usijiabishe.
Hizo mall mbili zina Chandarana
Food Plus Supermarket kama anchor tenant. Unajua hata maana ya anchor tenant kwanza? Hayo maduka ya Goba anchor tenant ni nani? Najua hujui anchor tenant ni nini ju the mall concept is still very new to you.
Post hizo picha kubwa basi ili uzitetee hizo vibanda zenye unasema ni malls. 🤣🤣🤣. Maelezo mingi naakati vitu vinaonekana kwa macho budaa.
 
Post hizo picha kubwa basi ili uzitetee hizo vibanda zenye unasema ni malls. 🤣🤣🤣. Maelezo mingi naakati vitu vinaonekana kwa macho budaa.
Kwa hivyo unaongea kuhusu kitu hata hujui. Hio picha moja ya upande ndio ukonayo na unajifanya kujua mall nzima. 🤣🤣🤣 Vibanda vya kwenu vina anchor tenant? Oooohhh pole hujui hio ni nini.
 
Kwa hivyo unaongea kuhusu kitu hata hujui. Hio picha moja ya upande ndio ukonayo na unajifanya kujua mall nzima. 🤣🤣🤣 Vibanda vya kwenu vina anchor tenant? Oooohhh pole hujui hio ni nini.
Unafkii kwemye hili utatoka.? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tafuta etetezi mzuri kwa hizo vibanda zenye unaita malls.
 
Maelezo mengi yakazi gani mzee.? 🤣🤣🤣🤣🤣 kubali hizo si mall and move on. Hakuna mtu atakufunga nyororo hapa
Naona meaning ya anchor tenant imekushinda na hutaki kusema. Wacha nikutoe ujinga na ushamba ju umeanza kujua malls juzi.

Screenshot_20250509-191300.jpg
 
Back
Top Bottom