Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo watu hawafai kununua manyumba? Na kama hujui kuna developers wengi sana wakenya, real estate is a booming business in Kenya sahii.
Wananunua manyumba au wanapanga??

Kukaa manyumba yamejaa sehemu moja kama hostel au chuo ni ushamba.

Tanzania tuna majukba kama hayo, yanajengwa na NHC wanakaa watumishi wa umma na wageni.



Mtu mzima huwezi kukaa kukaa kwenye unifrom estates kama ndio your dream houses.
 
Bongolala, we know your most exclusive etate (mtaa ya matajiri) ni Masaki na yenyewe ni apartments kushoto kulia. Sasa hayo bangalows unayotubia hapa yako wapi wakati Masaki 80% of buildings ni apartments, the kind you'd find find in Kileleshwa, Lavington and Kilimani.

Our rich neighborhoods you can't find apartments kama zile za Masaki. Nenda Karen, Muthaiga, Runda, Spring Valley, Lower Kabete, Kyuna, Kitisuru, Gigiri na Loresho kama unakutana na apertment. Huko ni bungalows kwote kwote
Tuongee kwa evidence sio kwa maneno zilete hizo bungalows kwanza
 
Bongolala, we know your most exclusive etate (mtaa ya matajiri) ni Masaki na yenyewe ni apartments kushoto kulia. Sasa hayo bangalows unayotubia hapa yako wapi wakati Masaki 80% of buildings ni apartments, the kind you'd find find in Kileleshwa, Lavington and Kilimani.

Our rich neighborhoods you can't find apartments kama zile za Masaki. Nenda Karen, Muthaiga, Runda, Spring Valley, Lower Kabete, Kyuna, Kitisuru, Gigiri na Loresho kama unakutana na apertment. Huko ni bungalows kwote kwote
Sijafika masaki ushakimbilia huko masaki ni mji wa zaman sana ila bado itakukimbizeni.
Leta evidence za hayo mabungalow Mimi nimeleta video za nyumba za kawaida sana Tena kwenye makazi ya watu wa kawaida sana, kijichi asilimia kubwa wanamiliki watu wa kipato kidogo hatujafika sehem kama mbweni na mikocheni
 
Kwa hivyo watu hawafai kununua manyumba? Na kama hujui kuna developers wengi sana ni wakenya, real estate is a booming business in Kenya sahii.
Kwa sababu wakenya hamna uwezo wa kujenga nyumba mnategemea mmejengewe muanze kulipa kidogo kidogo, Tanzania watu wanajenga wenyewe kwa raman zao wenyewe
 
The first in the WORLD. Sio Kenya, sio East Africa, sio Africa. WORLD. Yani hata Marekani, Ulaya, Japan na China hawajafanya. Bado utaambiwa Kenya hospitali nzuri ni private pekee. 🤣 🤣 🤣

Screenshot 2025-05-07 143453.png
 
Suruali za ndani. 🤣🤣🤣🤣
Halafu yatakuambia kiswahili ni chao 😂😂😂 halafu yenyewe yako proud kweli kuchapia kiswahili ili yaonekane kama wazungu ila sio English, mbongo akichapia English kwao ni breaking news ila wanavyochapia kiswahili sasa sijawahi kumsikiliza mkenya kamaliza sentence 1 bila kuchapia ila tunanyamaza tu we don't mock.
 
Wananunua manyumba au wanapanga??

Kukaa manyumba yamejaa sehemu moja kama hostel au chuo ni ushamba.

Tanzania tuna majukba kama hayo, yanajengwa na NHC wanakaa watumishi wa umma na wageni.



Mtu mzima huwezi kukaa kukaa kwenye unifrom estates kama ndio your dream houses.
View attachment 3326915
Nowonder Hanspaul alisema munaishi kama washamba. 🤣 🤣
 
Hua munasema GDP ya Kenya ni makaratasi, ila Mkenya akitembelea nchi zote za East Africa anaweza nunua vitu nyingi sana na elfu moja ya Kenya pekee. 🤣🤣 Napenda sana vile hua mnaji contradict.
Unajielewa kweli? Unaelewa hata maana ya purchasing power? Jaribu kufanya hesabu kwa standard ya US dollar 1, huko Kunyaland unaipata kwa hustle kiasi gani na ina uwezo wa kununua kiasi gani then compare to Tanzania
 
Unajielewa kweli? Unaelewa hata maana ya purchasing power? Jaribu kufanya hesabu kwa standard ya US dollar 1, huko Kunyaland unaipata kwa hustle kiasi gani na ina uwezo wa kununua kiasi gani then compare to Tanzania
Kupata Mia moja Kenya ni rahisi kuliko bongoslum, that's why wakenya tukikuja bongoslum munatamani sana mupewe pesa ya Kenya ju ikona more value bongoslum.
 
Back
Top Bottom