Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtakumbuka kuwa Serikali, kupitia kauli yake rasmi iliyotolewa Bungeni, imeanzisha Programu ya BBT Borelhole - ya kuchimba visima 62,000 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo nchini. Visima hivi vitahudumia zaidi ya hekta milioni 2.2 kwa kipindi cha miaka minane, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji na kupunguza utegemezi wa mvua.

Haya mambo ni ya wachache tu NATIONAL IRRIGATION COMMISSION 👇 👇 👇 👇 👇

1746443830133.png


1746443850854.png


1746443873380.png
 
Mtakumbuka kuwa Serikali, kupitia kauli yake rasmi iliyotolewa Bungeni, imeanzisha Programu ya BBT Borelhole - ya kuchimba visima 62,000 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo nchini. Visima hivi vitahudumia zaidi ya hekta milioni 2.2 kwa kipindi cha miaka minane, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji na kupunguza utegemezi wa mvua.

Haya mambo ni ya wachache tu NATIONAL IRRIGATION COMMISSION 👇 👇 👇 👇 👇

View attachment 3325217

View attachment 3325219

View attachment 3325220
Naiona Tanzania ikiongoza kwa uzalishaji wa Kila zao kwa afrika nzima. Mwaka huu natarajia kuiona ikiongoza kwenye uzalishaji wa ufuta
 
Dar es salaam ndio jiji pekee Africa ambayo ina mtandao mkubwa wa BRT ambayo system hio inaingia mpaka ndani ya moyo wa CBD na kuzunguka

Dar es salaam ndio jiji pekee ambalo Bullet electric trains zinaingia mpaka CBD na kua n moja SGR terminal bora zaidi ndani ya CBD kuwahi kutokea africa so far

Dar es salaam ndio jiji pekee ambalo lina modern ferries and boats in africa ambazo passenger terminal zake ziko CBD na zipo proper well operated

Dar es salaam ndio jiji pekee africa ambalo SGR cargo itapita chini kwa chini (underground) from port to ilala inakadiriwa kua na urefu wa zaidi ya 3.5km

Dar es salaam ndio jiji pekee lenye biggest and modern market in east and central africa ambalo linapatikana ndani ya moyo wa jiji (kko)



hvi munafkiri kwa facts hzi chache nilizotaja munategemea wakenya watapata usingizi au watakuja kuwashangilia hapa, nikiri tu kua dar es salaam ya sasa ni cancer kubwa sana kwa wakenya😎😎😎 kusanyeni mapovu yenu muyalete hapa nioshee gari langu
 
Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zima la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hawajajua tuu kwanini Dar inaitwa Bongo 😁
 
Back
Top Bottom