NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
🚮🚮🚮Ebu tutajie hiyo supermarket Iko wapi na jina tu. Tukascreenshort bei ya bidhaa za hapo
🚮🚮🚮Ebu tutajie hiyo supermarket Iko wapi na jina tu. Tukascreenshort bei ya bidhaa za hapo
Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.Wiki haiwezi isha bila sijanywa pombe ndio maana nashangaa hizo bei zako, Nikudanganye kwa faida gani? Au unafikiri tuna ule uzalendo wenu wa kijinga wa kuteteana mkidanganya!
Ungeenda bar, liquor store au pub upate bei halisi.
Kuambiwa ukweli ndo unaita ubishi!Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
Hapo ndo mnazi mmoja?Sijui kama hapa ndio mnazi Moja ila hapo ndio nilipanda daladala. Barabara haikuwa na lami.😂🤣
View attachment 3325128
Nani alikufa? Ama ni umbea tu ndio unapenda?Mbona waliokufa na kuumia kwa kukanyagana huja mention?
Post hiyo bei sisi hatutaki maneno. Bei ya bia supermarket nyingi 1800tsh kwa bia ndogo na kubwa 2500 sasa wewe bei uliyoleta hapo haipo kwetu labda supermarket za Kenya.Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
Ila Zina unafuu kuliko sehemu nyingi wanazoishi wakenya wa kawaida actually hii kwa Mombasa ni street ya matajiri🤣🤣🤣🤣Ukitoa areas za middle class kama Masaki, Mikocheni and the rest, more than 80% of neighborhood shopping centers za Dar is a slum zinafanana hivi. 🤣 🤣 🤣 Alafu watuambie hawana culture ya kushop kwa supermarkets, kumbe ni poverty. Meanwhile neighborhood shopping center zote za Nairobi metro, 90% lazima uone Quickmart or Naivas.
![]()
Zipo malls Dar nyingi tu kisa huzioni zikipostiwa haimaanishi hazipo
View: https://vm.tiktok.com/ZMBKX4Xkv/
Kwanza unaona mpaka mitaa ya maskini Kuna barabara iliyonyoooka kitu ambacho Kenya hata kileleshwa huwezi kikutaUkitoa areas za middle class kama Masaki, Mikocheni and the rest, more than 80% of neighborhood shopping centers za Dar is a slum zinafanana hivi. 🤣 🤣 🤣 Alafu watuambie hawana culture ya kushop kwa supermarkets, kumbe ni poverty. Meanwhile neighborhood shopping center zote za Nairobi metro, 90% lazima uone Quickmart or Naivas.
![]()
Ila Jana mlisema Tanzania hakuna liquor stores inakuwaje mazeee🤣🤣🤣🤣Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
Hizo ni excuses. Nimepeana Bei ya bia Kenya ya supermarket, Carrefour. Nikapeana ya Bongo ya supermarket na zimetoshana. Sasa ugomvi uko wapi? Ningepeana ya Kenya ya vichochoroni na Tz ya supermarket ndio ungesema nimekosea.Kuambiwa ukweli ndo unaita ubishi!
Kumbe ulienda mwenyewe sehemu zenye bidhaa overpriced, hizi ni shida zako.
Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zima la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣Sasa mbona asiseme niligongwa ananiuliza Bei ya wholesale?😂😂
Alafu bia nilinunua supermarket. Sidhani supermarket wanaweza nigonga maanake bei zimeandikwa hapo hapo. Yani you're so desperate mnataka kudanganya Bei ya vitu ndio muonekane mna nchi Bora? No wonder you believe there are no poor people in Tanzania. Mnapenda kuficha uovu Hadi mmeanza kuamini ujinga wenu.
Sisi hatukatai kuwa umenunua supermarket ila tungependa tujue jina la supermarket uliyokwenda kununua tu tujidhihirishe inawezekana wengine tumepitwa 🤣🤣🤣🤣Hizo ni excuses. Nimepeana Bei ya bia Kenya ya supermarket, Carrefour. Nikapeana ya Bongo ya supermarket na zimetoshana. Sasa ugomvi uko wapi? Ningepeana ya Kenya ya vichochoroni na Tz ya supermarket ndio ungesema nimekosea.
Hujui kusoma ama unatafuta tu ubishi?Hapo ndo mnazi mmoja?
Hivi unajua mnazi mmoja Kuna ujenzi unaendelea wa brt ? 🤣🤣🤣🤣
Paved road ni kitu bado inawashtua ju maskini wengi in dar is a slum nyumba zao hata huwezi access na gari, ni miguu ama bodaboda, sasa sijui unajaribu kutisha nani. Duka zenyewe zimechakaa. Huko ndio munauziwa pombe alongside sukari. 🤣 🤣 🤣 Supermarket za uswazi.Kwanza unaona mpaka mitaa ya maskini Kuna barabara iliyonyoooka kitu ambacho Kenya hata kileleshwa huwezi kikuta
Najua nyinyi ni wezi, ila nimenunua bidhaa supermarket na Bei imeandikwa hapo. Najua sikuibiwa.Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zina la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣
Umaskini sio unafuu, munapenda sana kujustify poverty.Ila Zina unafuu kuliko sehemu nyingi wanazoishi wakenya wa kawaida actually hii kwa Mombasa ni street ya matajiri🤣🤣🤣🤣
Jina la super markets plz na maeneo iliyopoNajua nyinyi ni wezi, ila nimenunua bidhaa supermarket na Bei imeandikwa hapo. Najua sikuibiwa.
Ebu tuletee barabara za kileleshwa au Eastleigh wanaishi Kuna kitu nataka nikuambieUmaskini sio unafuu, munapenda sana kujustify poverty.