Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wiki haiwezi isha bila sijanywa pombe ndio maana nashangaa hizo bei zako, Nikudanganye kwa faida gani? Au unafikiri tuna ule uzalendo wenu wa kijinga wa kuteteana mkidanganya!
Ungeenda bar, liquor store au pub upate bei halisi.
Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
 
Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
Kuambiwa ukweli ndo unaita ubishi!
Kumbe ulienda mwenyewe sehemu zenye bidhaa overpriced, hizi ni shida zako.
 
Ukitoa areas za middle class kama Masaki, Mikocheni and the rest, more than 80% of neighborhood shopping centers za Dar is a slum zinafanana hivi. 🤣 🤣 🤣 Alafu watuambie hawana culture ya kushop kwa supermarkets, kumbe ni poverty. Meanwhile neighborhood shopping center zote za Nairobi metro, 90% lazima uone Quickmart or Naivas.

Image
 
Supermarket Ina liquor store. Bei yake ndio Bei ya kawaida. Nimenunua bia Moshi, Arusha na Dar es Salaam. Mnapenda ubishi wa bure.
Post hiyo bei sisi hatutaki maneno. Bei ya bia supermarket nyingi 1800tsh kwa bia ndogo na kubwa 2500 sasa wewe bei uliyoleta hapo haipo kwetu labda supermarket za Kenya.
kama umeenda kwenye luxury supermarkets ni sawa ila sio bei ya mtaani
 
Ukitoa areas za middle class kama Masaki, Mikocheni and the rest, more than 80% of neighborhood shopping centers za Dar is a slum zinafanana hivi. 🤣 🤣 🤣 Alafu watuambie hawana culture ya kushop kwa supermarkets, kumbe ni poverty. Meanwhile neighborhood shopping center zote za Nairobi metro, 90% lazima uone Quickmart or Naivas.

Image
Ila Zina unafuu kuliko sehemu nyingi wanazoishi wakenya wa kawaida actually hii kwa Mombasa ni street ya matajiri🤣🤣🤣🤣
 
Ukitoa areas za middle class kama Masaki, Mikocheni and the rest, more than 80% of neighborhood shopping centers za Dar is a slum zinafanana hivi. 🤣 🤣 🤣 Alafu watuambie hawana culture ya kushop kwa supermarkets, kumbe ni poverty. Meanwhile neighborhood shopping center zote za Nairobi metro, 90% lazima uone Quickmart or Naivas.

Image
Kwanza unaona mpaka mitaa ya maskini Kuna barabara iliyonyoooka kitu ambacho Kenya hata kileleshwa huwezi kikuta
 
Kuambiwa ukweli ndo unaita ubishi!
Kumbe ulienda mwenyewe sehemu zenye bidhaa overpriced, hizi ni shida zako.
Hizo ni excuses. Nimepeana Bei ya bia Kenya ya supermarket, Carrefour. Nikapeana ya Bongo ya supermarket na zimetoshana. Sasa ugomvi uko wapi? Ningepeana ya Kenya ya vichochoroni na Tz ya supermarket ndio ungesema nimekosea.
 
Sasa mbona asiseme niligongwa ananiuliza Bei ya wholesale?😂😂

Alafu bia nilinunua supermarket. Sidhani supermarket wanaweza nigonga maanake bei zimeandikwa hapo hapo. Yani you're so desperate mnataka kudanganya Bei ya vitu ndio muonekane mna nchi Bora? No wonder you believe there are no poor people in Tanzania. Mnapenda kuficha uovu Hadi mmeanza kuamini ujinga wenu.
Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zima la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hizo ni excuses. Nimepeana Bei ya bia Kenya ya supermarket, Carrefour. Nikapeana ya Bongo ya supermarket na zimetoshana. Sasa ugomvi uko wapi? Ningepeana ya Kenya ya vichochoroni na Tz ya supermarket ndio ungesema nimekosea.
Sisi hatukatai kuwa umenunua supermarket ila tungependa tujue jina la supermarket uliyokwenda kununua tu tujidhihirishe inawezekana wengine tumepitwa 🤣🤣🤣🤣
 
Kwanza unaona mpaka mitaa ya maskini Kuna barabara iliyonyoooka kitu ambacho Kenya hata kileleshwa huwezi kikuta
Paved road ni kitu bado inawashtua ju maskini wengi in dar is a slum nyumba zao hata huwezi access na gari, ni miguu ama bodaboda, sasa sijui unajaribu kutisha nani. Duka zenyewe zimechakaa. Huko ndio munauziwa pombe alongside sukari. 🤣 🤣 🤣 Supermarket za uswazi.
 
Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zina la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣
Najua nyinyi ni wezi, ila nimenunua bidhaa supermarket na Bei imeandikwa hapo. Najua sikuibiwa.
 
Back
Top Bottom