Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Paved road ni kitu bado inawashtua ju maskini wengi in dar is a slum nyumba zao hata huwezi access na gari, ni miguu ama bodaboda, sasa sijui unajaribu kutisha nani. Duka zenyewe zimechakaa. Huko ndio munauziwa pombe alongside sukari. 🤣 🤣 🤣 Supermarket za uswazi.
Leta barabara za kileleshwa kwanza Haina shida ila katuletee barabara hata za Eastleigh za mtaani tulinganishe
 
Ebu angalia uchafu wa barabara zenu linganisha na hiyo unayocheka Tena ya uswahilini

View: https://youtu.be/maWFwZV4jOw?si=k1hJfiOADkTc-zy5
Hiyo ndo the best road sio?🤣🤣🤣🤣

Naona Kileleshwa imekushinda, umeanza kutapatapa. Nimekuambia hio Kileleshwa huijui, punguza kuropokwa.

Image
 
Hivo ndio mnavyoaminishwa. Kiukweli ni kwamba umaskini Tanzania upo, tena kwa wingi sana. Mimi Tangu nizaliwe sijaona yeyote akipewa chakula cha msaada. Chakula cha msaada hupewa maeneo ambayo yalikumbwa na instability kwa muda mrefu huko Northern Kenya na kuna wakaazi wachache sana hayo maeneo ila kwa sasa hiyo region imeanza kupata stability ndio maana siku hizi ni nadra upate wakiletewa misaada. Soon mambo ya misaada yatakuwa history.

Na usitudanganye, hapo kwenu watu wanapewa msaada wa chakula. Usidhani sisi wajinga.View attachment 3325120
Sadaka ya Futari 🤣 🤣 🤣 👆 👆 👆
 
Siku nyingine mkiwa mnakuja dar ombenj usaidizi huu mjii mtaibiwa sana, hapa hakuna ujambazi ila unaibiwa huku unabembelezwa mpaka uje kugundua ushapigwa karibia mwaka mzima. Hapa unakwenda kununua sendozi kwa mtu asiye hata mtaji ila ana duka na anauwezo kukuuzia contena Zina la sendozi 🤣🤣🤣🤣🤣
Waambie Bongo maana yake
 
Hujui Kileleshwa lakini unaropokwa ju ya vitu umeona online. 🤣 🤣 🤣
Image
Leta barabara usituletee majengo tukienda kwenye majengo utakimbia tu, Leo tuko kwa barabara za Eastleigh, kileleshwa , ruiru versus za kimara , mbagala hatuweki za mikocheni wala mbweni maana huko hampawezi
 
Waambie Bongo maana yake
Bongo
Tanzania is sometimes referred to as "Bongo" due to the Swahili word "bongo," which translates to "brain" or "intelligence". This term, and its derived term "Bongoland," has been associated with Dar es Salaam, Tanzania's largest city, as a place where people are resourceful and clever. The term "Bongo Flava" also incorporates the word "bongo," referring to the popular Tanzanian music genre, which translates to "flavour of the brains".

Here's a more detailed explanation:
  • "Bongo" as a nickname:
    The Swahili word "bongo" is the augmentative form of "ubongo," meaning "brain" or "brains". It was originally used to refer to Dar es Salaam, the capital of Tanzania. The name suggests the city is a place where people are resourceful and clever, often needing to use their intelligence to survive.

  • "Bongoland":
    This term emerged as a way to describe the country of Tanzania as a whole, often used with a sense of pride and recognition of the challenges of living in the country.
Mtaibiwa sana muulizeni kenyataa kwanini alikataa watanzania wasiwe wanajielezea wanapokamatwa kwa makosa kenya
 
Leta barabara usituletee majengo tukienda kwenye majengo utakimbia tu, Leo tuko kwa barabara za Eastleigh, kileleshwa , ruiru versus za kimara , mbagala hatuweki za mikocheni wala mbweni maana huko hampawezi
🤣🤣🤣 wacha kucompare Kileleshwa na vitu vya upuzi.

Kileleshwa Stock Photos - Free & Royalty-Free Stock Photos from Dreamstime
 
Back
Top Bottom