GusII Stadium Kisii. Game ya Shabana ya Gor ni saa nane lakini by saa tatu tayari stadium ishajaa.
View: https://x.com/Shabanafckenya/status/1918931887080284470
Mbona waliokufa na kuumia kwa kukanyagana huja mention?
GusII Stadium Kisii. Game ya Shabana ya Gor ni saa nane lakini by saa tatu tayari stadium ishajaa.
View: https://x.com/Shabanafckenya/status/1918931887080284470
What a better way to pat a lap dog!Na IMF inasema GDP yao inakua
Embu tupe Airport moja ya kwenu outside Naipori inayoizidi Airport ya mbeya. Tuanzie hapo kwanza.Kwani Mbeya sio city?
No, we don't feel the pinch mate, hatufanani. The whole country mnakula ugali na sukumawiki kama mbuzi.Because we are not meek like you. It's not like you don't feel the pinch, you're just cowards. There are rich countries where people take to the streets for price increases. Same way we occasionally go to the streets due to extrajudicial killings. You've never done the same yet the vice is bigger in your country.
Nilipost hapa that I was using my Kenya shillings in Dar, na walikuwa wanapinga my personal experiences 😂😂Hiki ni kicheko. Enda Vumbistan na pesa ya Kenya hakuna mwenye ataikataa, Sasa itakuwa dollar ya marekani?😂😂😂
Kuzidi in terms of what?Embu tupe Airport moja ya kwenu outside Naipori inayoizidi Airport ya mbeya. Tuanzie hapo kwanza.
There is only 1 international airport in Kenya.Kuzidi in terms of what?
Mimi nilijua kuwa Kuna price tags za Kenya shilling hicho alichofanya ni msaada tu, aliona kuliko apoteze mteja Bora umlipe kwa ksh then yeye anaenda tu pale ofisi za classic au kidia anabadilisha na kupata faida mara mbili.Nilipost hapa that I was using my Kenya shillings in Dar, na walikuwa wanapinga my personal experiences 😂😂View attachment 3325091View attachment 3325092View attachment 3325093
OkayThere is only 1 international airport in Kenya.
Sasa unajifanya ni kama unaelewa the situation, we jua tu kuwa ninaweza kutumia sarafu ya Kenya nikiwa Tz, period 😂Mimi nilijua kuwa Kuna price tags za Kenya shilling hicho alichofanya ni msaada tu, aliona kuliko apoteze mteja Bora umlipe kwa ksh then yeye anaenda tu pale ofisi za classic au kidia anabadilisha na kupata faida mara mbili.
Hiyo ni illegal business
Ila hawa watu wanapenda kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu, kwamba unaweza kufanya malipo Tanzania kwa Kenya shilling 😀😀😀. Nyerere aliwahi sema upumbavu ni kipaji.Mimi nilijua kuwa Kuna price tags za Kenya shilling hicho alichofanya ni msaada tu, aliona kuliko apoteze mteja Bora umlipe kwa ksh then yeye anaenda tu pale ofisi za classic au kidia anabadilisha na kupata faida mara mbili.
Hiyo ni illegal business
Hii nayo ni mpya 😀😀😀Sasa unajifanya ni kama unaelewa the situation, we jua tu kuwa ninaweza kutumia sarafu ya Kenya nikiwa Tz, period 😂
You do bro. I was in Dar yesterday, you're poor. Dirt poor. Wacheni kujifariji. You're extremely poor. In fact poverty should be your second name. Kwanza huo mkoa wa Pwani ni fukara sana. Hadi unashangaa, mashamba mengi, mvua ipo ila watu ni mafukara.No, we don't feel the pinch mate, hatufanani. The whole country mnakula ugali na sukumawiki kama mbuzi.
In the region Tanzania is the most advanced county when it comes to agriculture.
Hizo nchi tajiri huwa mnapenda kutaja kwa kujifariji kwenye umaskini wenu hakuna hata Moja isiyojitosheleza kwa chakula.
Tanzania produces more food than it needs, Unadhani kwanini Tanzania feeds the entire Kenya ?
Tanzanians love the Kenya shilling. Ndio maana Rais wao anapigana sana wasitumie foreign currencies. Hapa Kenya jaribu kupeana shillingi madafu ya bongolala utashangaa. 🤣 🤣Nilipost hapa that I was using my Kenya shillings in Dar, na walikuwa wanapinga my personal experiences 😂😂View attachment 3325091View attachment 3325092View attachment 3325093
Hauwez tumia labda illegally, ili tuweze kuseme unaweza tumia ilitakiwa utuoneshe ni wap price quotes za bidhaa mbalimbali zimewekwa kwa ksh. Tanzania wafanyabiashara wengi hupokea hela hata ikiwa ya Burundi maana wanajua wanaweza kuzichange ila huwez Kuta price tags zikiwa kwa hizo currency husika.Sasa unajifanya ni kama unaelewa the situation, we jua tu kuwa ninaweza kutumia sarafu ya Kenya nikiwa Tz, period 😂
Unaweza tumia ila ukiwa umeibiwa na ukajiona mjanja kumbe umeibiwa,🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unajifanya ni kama unaelewa the situation, we jua tu kuwa ninaweza kutumia sarafu ya Kenya nikiwa Tz, period 😂
Taifa la kinyang’au hili 🤣🤣🤣 ona hii 👇🏾
View: https://www.instagram.com/p/DJPNI1NKD-B/?img_index=1&igsh=MW4zOXI0b3lvNGxiZw==.
Not to the extent of queuing for food donations tho,,You do bro. I was in Dar yesterday, you're poor. Dirt poor. Wacheni kujifariji. You're extremely poor. In fact poverty should be your second name. Kwanza huo mkoa wa Pwani ni fukara sana. Hadi unashangaa, mashamba mengi, mvua ipo ila watu ni mafukara.