Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It's modern living, that's why inaitwa a modern toilet. Nilikuambia middle class wa Dar is a slum anaishi tu kama maskini.
Nina uhakika ukienda town huwa unaenda kwenye hotel zenye choo za kukaa ili ukunye huku umekaa au sio 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
No wonder una bawasiri wewe....
 
Majuzi niliongea na ndugu yangu mmoja yeye anafanya biashara zake kwenye nchi zote zinazotuzunguka, aliniambia sasa hivi, nchi hizi zinatuogopa sana.

wanapenda superficial projects ili iwa potray positively lakini wapi. siku zote nasema humu unlike Kenya Tanania is laying down foundation of a very strong and resilient economy tukianza kuingia kwenye exponential curve watajuta kuwa majirani zetu.
Jambo la msingi hatutakiwi hata siku moja, ku-compromise sera zetu ambazo ndio msingi wa nchi.
  • Ardhi
  • Mambo ya nje
  • Muungano
  • Uraia
 
Wewe ni pumbavu kama mlivyo wakenya wengi, watanzania wengi hatupendelei vyoo vya kukaa. Ndiyo mana wakenya wengi wenye vipesa kidogo wana vinyama vinaning'inia kwenye miku.ndu yao, na mpaka sasa hawajajua tatizo nn.
Imagine unaenda public toilet halafu unakuta vyoo vya kukaa, hapo hapo naghairi. 😂😂😂
Vyoo vya kukaa sio vizuri labda kama una matatizo ya kukaa.
 
Back
Top Bottom