Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanapenda superficial projects ili iwa potray positively lakini wapi. siku zote nasema humu unlike Kenya Tanania is laying down foundation of a very strong and resilient economy tukianza kuingia kwenye exponential curve watajuta kuwa majirani zetu.
Majuzi niliongea na ndugu yangu mmoja yeye anafanya biashara zake kwenye nchi zote zinazotuzunguka, aliniambia sasa hivi, nchi hizi zinatuogopa sana.
 
Ni kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam maoni yake yanareflect walivyowachukulia nyinyi kama wakenya ni mara ya kwanza maoni kama hayo yanatolewa na kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam , maneno kama hayo huwez yasikia yanatolewa kwa kiongozi wa Tanzania hasa baada ya mkutano tu.
Baada ya kutoka Vietnam rais wenu alivyo kilaza amekuja kuropoka eti Kenya Ina uhusiano na china wa miaka 600 wakati nchi kama Kenya Haina hata miaka 100 sasa kwanini tusiseme nyinyi ni mazumbukuku mnaoabisha Africa
Wachina kweli walikuwa wanafanya biashara na wenyeji wa pwani ya Afrika mashariki miaka zaidi ya 500 iliyopita. Kilwa kuna ushahidi wa sarafu za China.

Sasa kuna meli moja ya wachina ilipata dhoruba ikazama wakati wanarudi kwao, ndiyo waka settle pwani ya Kenya. Mpaka sasa Kuna kizazi cha hao wachina, ndiyo Ruto anajaribu kutumia hiyo kuwarubuni, wakati wenzoa wanawajua kuliko wanavyojijuwa.
 
Nishakuambia nyumba zenu mingi za lower middle class ina choo ya kusquat while in Nairobi choo ni ya kukalia.
Wewe ni pumbavu kama mlivyo wakenya wengi, watanzania wengi hatupendelei vyoo vya kukaa. Ndiyo mana wakenya wengi wenye vipesa kidogo wana vinyama vinaning'inia kwenye miku.ndu yao, na mpaka sasa hawajajua tatizo nn.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 choo ya kukaa ni standard of living huko kenya. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Nyie ni jamii ya watu ambao mnatokea porini ndio tunabishananao humu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata hajui challenges za choo cha kukaa cz huwa anaona kwenye TV tu, wakenya wengi hawana exposure, hawa wahumu ilipaswa watulipe, tumewapa elimu kubwa sn kuanzia ya darasani mpk ya kijamii.
 
Back
Top Bottom