Kumbe tunajadili vya nyumbani kwangu na husemi.? 🤣🤣🤣
Wewe ndio mshamba my brother, na siwezi kukulaumu hii inasababishwa na back ground yako, umeishi maisha ya kimaskini mno mpaka unadhani choo cha kukaa ni utajiri. 🤣🤣🤣
Nyumbani kwa mtu ni option hivyo vyoo, kwene nyumba nyingi ambazo nimetembea pamoja na nyumbani kwetu, visitors toilets huwa ni vyoo vya kuchuchumaa, kwasababu za kiafya zaidi.. choo cha kukaa ni kile cha ndani ya chumba (master bedroom). Huu ni utamaduni wa watanzania wengi. Havihusiani chochote na standard of living.
Wewe unatokea kijiji gani.? 🤣🤣🤣