Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukichukua all the companies owned by Bhakresa, their total revenue is same na ya Naivas Supermarket 😂😂😂.

This is from their website which obviously is updated.

View attachment 3308976
Hii Azam wanashinda wakijipoga vifua nayo kumbe ligi yake ni Naivas? Hawa huyu Devki tunayecriticize huku Kila siku angekuwa kule angekuwa national treasure.🤣🤣
 
Weakness gani ama ni Queen of England ndio alizawadi his son as a birthday gift. Nyinyi hamna uwezo wowote wa kuchukua kitu from Kenya.
Queen alikuwa anatawala Tanzania au Kenya, kichaa wewe. Kwanza sina muda mchafu wa ku debate na ww govinda.
 
Wewe huropokwa tu, hio hasara hata imeongezeka ju ya kampuni kuuzwa.

Image
Sawa lkn ndiyo tushaichukua ni yetu, na kwa sasa imeanza kufanya kazi pasipo wizi, tunaijenga talanta na pesa inarudi Tanzania, huku Tanzania ukisikia kiwanda kinabinafsishwa ujue anayechukua ni mtu kutoka ulaya, America au Asia, ila Kenya beberu wao ni mtanzania, tutahakikisha tunachukua viwanda muhimu vyote na board members watakuwa from Tanzania mtake msitake.
 
Your billionaires are busy flocking Kenya while some if y’all here saying you never want to come to Kenya as if we owe you guys a penny lol
Kwa sababu huko Kuna wajinga tunakuja kuchukua fursa na kuwatawala.

We rule and feed you 😂😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha upumbavu wewe. Heb tuone hizo biashara za Naivas. Au wazee wa kuandika tu takwimu..? Umeona Azam hii mambo yake. Actually the biggest brand in East and central Africa. 👇🏾View attachment 3308616it’s one among the largest in the whole of Africa. Hizi hapa ni compuni za Azam. 👇🏾View attachment 3308623katika hizi kampuni hakuna hata kampuni ya ya kunya inaweza tia pua yake kwa kampuni yoyote kati ya hizo. Unaleta utoto eti Naivas sijui. 🤣🤣🤣
Hawa jamaa nje ya supermarkets na apartments hawana confidence kabisa ni weupe kinoma😁
 
Revenue ya Naivas kampuni moja pekee ni ksh 96 billion. Numbers ziko wazi. Sasa kusanya hizo kampuni zote za mwenye Azam uweke pamoja alafu utuambie kama inashinda Naivas kampuni moja pekee.
Basi nategemea kuwa mmiliki wa Naivas awe tajiri number moja East Africa au kuna tajiri hapa EA Kampita?
 
🤣🤣🤣🤣 hii report ilikua released 2016 👇🏾View attachment 3308993unafanya assumption kwamba ili updatiwa.? 🤣🤣🤣 kwa hiyo sales zimebaki stuck hapo for ten good years onwards.?
Halafu usijifanye eti just a supermarket. Naivas is the top retail brand in your country and 5th top brand in kundurenda 👇🏾View attachment 3309004kimsingi Ndio top ukiachana na hizo banks za wenyewe. And guess what all the above are foreign investments. 🤣🤣🤣🤣🤣 kenya wanachomiliki ni magovi tu
Azam wenyewe wanasema revenue yao ni $800M. Wewe ni nani upinge?

1745044929602.png
 
Hii Azam wanashinda wakijipoga vifua nayo kumbe ligi yake ni Naivas? Hawa huyu Devki tunayecriticize huku Kila siku angekuwa kule angekuwa national treasure.🤣🤣
Imagine. Yani Chukua all the companies that make up Azam group, if you combine all their revenue ndio wanafikia Naivas😂😂😂
 
Hawa jamaa nje ya supermarkets na apartments hawana confidence kabisa ni weupe kinoma😁
Haya tuonyeshe any Company in Tanzania with a revenue more than Safaricom. That’s not a supermarket nor apartment. Just show me any company in Tanzania with revenues bigger than Safaricom.
 
Basi nategemea kuwa mmiliki wa Naivas awe tajiri number moja East Africa au kuna tajiri hapa EA Kampita?
Kwani Revenue ndio profit? And who told you Naivas ni ya mtu moja? Yani watanzania wote ni wajinga.
 
Back
Top Bottom