Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna ya kikenya ambayo ina mazuo zaid ya bakhresa walicholeta hapo ni estimation za mauzo yake kwa mwaka 2016, hakukua na hotel verde, united petroleum , kiwanda cha sukari kipindi hicho hiyo naivas totalrevenue ilikuwa 0.6mil usd .
total assets za naivas hazifikii hata 200mil usd
hazifikii hata dhamani ya hili dude moja na haya yako 13
View attachment 3309212
post total assets za naivas au safaricom then wecompare with only azam kabla hatujaenda kwa wengine
Ilikua ni report ya 2015 mkuu. Ambapo kampuni karibu nusu zilizopo now hazikuepo na nyingine zilikua changa. Hii hapa history Yao. 👇🏾.
View: https://youtu.be/HQ6EYIPvfsA?si=IbpPBB4ZW5d2rVBW.
 
MNATAKA TUANZE KUZICHAMBUA TUKILINGANISHA NA ZA TANZANIA ?
View attachment 3309181

Safaricom

View attachment 3309182

East African Breweries

View attachment 3309183

Equity Bank Kenya

View attachment 3309184

Kenya Airways

View attachment 3309185

Coca Cola

View attachment 3309186

KCB Group LTD

View attachment 3309187

Co-operative Bank of Kenya

View attachment 3309189

Bamburi Cement

View attachment 3309188

Standard Chartered Kenya

images


British American Tobacco

images


Kenya Power and Lighting Company

images


Nation Media Group

images


Airtel

images


Britam Holdings PLC

images


Diamond Trust Bank

images


Equity Group Holdings

images


I&M Bank Group

images


Kenya Pipeline Company

images


Mumias Sugar

images


Bata shoes

images


Bidco Africa
Did you analyze my post before responding?
 
Hakuna kampuni ya kikenya ambayo ina mauzo zaid ya bakhresa walicholeta hapo ni estimation za mauzo yake kwa mwaka 2016, hakukua na hotel verde, united petroleum , kiwanda cha sukari kipindi hicho hiyo naivas totalrevenue ilikuwa 0.6mil usd .
total assets za naivas hazifikii hata 200mil usd
hazifikii hata dhamani ya hili dude moja na haya yako 13
View attachment 3309212
post total assets za naivas au safaricom then wecompare with only azam kabla hatujaenda kwa wengine
Unajua zaidi kuliko hao Bhakresa? Si ni hao wameandika their annual revenue is$800M? Sasa wewe ni nani upinge?
 
chinnese bus ndio hzo zimetumika world cup qatar 😂😂😂😂😂
Not those fake ones mnauziwa Tanzania. Tanzania mnauziwa vitu fake, that’s why they can’t last more than 2yrs kwa barabara.
 
kuto update website sio kwamba ndo kilichopo mtaani , ukisoma chini hapo kuna maelo kabisa kuwa wanatarajia kufungua kiwanda ha sukari wakat tayari kina miaka toka kifunguliwe. nincompoop
Sasa nisiamini their official website ati nikuamini wewe ng’ombe? Not in this world.
 
Sasa nisiamini their official website ati nikuamini wewe ng’ombe? Not in this world.
webiste haijawekewa taarifa mpyaa kwa miaka sasa umeoneshwa source ya taarifa yako kuuwa ni toka mwaka 2016 . na umeelezwa kabisa toka mwaka 2016 azam kafungua viwanda mara mbili ya 2016 kwhiyo mapato yataendelea kuwa 800mil , sio lazima aweke public mauzo yake ila ukienda tra utayakuta
 
Back
Top Bottom