Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na muliuza kwasababu hamuna uwezo wa pesa tena ndio maana wamenunua watu wenye pesa zao wawafundishe namna ya kutumia pesa sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna kampuni ya Kenya that overbid for the purchase of Bamburi but CBK ikawakataza, jiulize kwa niniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣 hii report ilikua released 2016 πŸ‘‡πŸΎView attachment 3308993unafanya assumption kwamba ili updatiwa.? 🀣🀣🀣 kwa hiyo sales zimebaki stuck hapo for ten good years onwards.?
Halafu usijifanye eti just a supermarket. Naivas is the top retail brand in your country and 5th top brand in kundurenda πŸ‘‡πŸΎView attachment 3309004kimsingi Ndio top ukiachana na hizo banks za wenyewe. And guess what all the above are foreign investments. 🀣🀣🀣🀣🀣 kenya wanachomiliki ni magovi tu
Oya umefanya google search ya notable Kenyan brands na umepata list in no particular order so ni wapi umeona ni top 5? According to you hio list iko in order?
 
Kwa sababu huko Kuna wajinga tunakuja kuchukua fursa na kuwatawala.

We rule and feed you πŸ˜‚πŸ˜‚
You mean when a Kenyan billionaire goes to the US to invest inamaanisha tunawatawala? Hapo ndiopo fikra zako zimekwamia?
 
KQ bird at JFK

IMG_4038.jpeg


Meanwhile, kumbe ndege za ATCL zimekuwa grounded…

IMG_4040.jpeg
 
Oya umefanya google search ya notable Kenyan brands na umepata list in no particular order so ni wapi umeona ni top 5? According to you hio list iko in order?

MNATAKA TUANZE KUZICHAMBUA TUKILINGANISHA NA ZA TANZANIA ?
1745052329078.png


Safaricom

1745052329102.png


East African Breweries

1745052329123.png


Equity Bank Kenya

1745052329143.png


Kenya Airways

1745052329161.png


Coca Cola

1745052329186.png


KCB Group LTD

1745052329235.png


Co-operative Bank of Kenya

1745052329272.png


Bamburi Cement

1745052329292.png


Standard Chartered Kenya

images


British American Tobacco

images


Kenya Power and Lighting Company

images


Nation Media Group

images


Airtel

images


Britam Holdings PLC

images


Diamond Trust Bank

images


Equity Group Holdings

images


I&M Bank Group

images


Kenya Pipeline Company

images


Mumias Sugar

images


Bata shoes

images


Bidco Africa
 
Ko bakresa ndio company kubwa Tanzania? πŸ˜‚πŸ˜‚ Hata haipo top 5 Barrick unaijua?
Hakuna kampuni ya kikenya ambayo ina mauzo zaid ya bakhresa walicholeta hapo ni estimation za mauzo yake kwa mwaka 2016, hakukua na hotel verde, united petroleum , kiwanda cha sukari kipindi hicho hiyo naivas totalrevenue ilikuwa 0.6mil usd .
total assets za naivas hazifikii hata 200mil usd
hazifikii hata dhamani ya hili dude moja na haya yako 13
1745054173037.png

post total assets za naivas au safaricom then wecompare with only azam kabla hatujaenda kwa wengine
 
Back
Top Bottom