Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya is beautiful

Image

Image

View: https://x.com/SafariInfo_Tz/status/1912016999510651094?t=Hr2aViEWgMqoruT7LI4t8g&s=19
 
Lol. It's never about the country of origin. It's where they are creating the jobs.
And from what I'm reading, they could be investing more in Kenya than they ever have in Tanzania.
Haha kweli yaan eti rostam ainvest Kenya kuliko alivyowekeza Tanzania itakuwa unaota ebu fuatilia amson owner anamiliki Nini tena tanzania
Mbona tulalamikie warabu? What we know Tanzanians has no muscles to invest in Kenya.
Tanzania hatutambuani kwa rangi na makabila bali kwa uraia . Nachojua mmiliki wa amson ni mzaliwa wa tabora na sio uarabuni
 
Haha kweli yaan eti rostam ainvest Kenya kuliko alivyowekeza Tanzania itakuwa unaota ebu fuatilia amson owner anamiliki Nini tena tanzania

Tanzania hatutambuani kwa rangi na makabila bali kwa uraia . Nachojua mmiliki wa amson ni mzaliwa wa tabora na sio uarabuni
Hao ni warabu acha kulazimisha mambo. Mtanzania ni wewe unayeomba mapicha sababu hamna uwezo.
 
Unacompare basi ya 35 million na viatu box tatu. 🤣 🤣 🤣 we ni wazimu.
Basi la 35mil linanunuliwa baada ya miaka miwili . Total order of Kenyan buses kwa mwaka mzima au ununuzi wa mabasi ya kikenya kwa mwaka haufuki hata 100 units. Ila Kila siku ukieenda namanga Kuna msururu wa trucks kwa zaidi ya km 2 mbili zinaleta mizigo Kenya vikiwemo viatu. Mtu akipiga trip 10 tu kwa miezi 6 kashazid dhaman ya basi wakati nyinyi hata deni la mkopo wa basi linakiwa halijaisha.
Kwa kununua mabasi Kenya tunawafanyia msaada msife njaa , ndo maana mnaona tunaagiza units 100 kwa mwez toka china Kila mwezi ila tunanunua units zisizozid 10 toka Kenya kwa mwaka mzima
 
Back
Top Bottom