Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Products from Kenyan factories zimejaa kwa shelves zenu za maduka, magari from Kenyan assembly line ziko kwa barabara zenu. Hua zinafika huko na ndege ama? 🤣 🤣 Punguza kuropokwa, hatuna kelele sisi, just check on your shelves, tunawauzia alafu tunaweka hizo pesa kwa banks zetu huko bongoslum zinarudi home. Hatupotezi kitu.
Hii maneno ni ya mwaka gani.? 🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣naona unalia Lia. Miji yote ya pwani ya Africa mashariki waarabu wamekuwepo huko for centuries. Ni vile waarabu wa mombasa ni vilaza Ndio mana sio matajiri wakubwa. Waarabu wa Tanzania wanaakili mingi. So yes lipo kabila la kiarabu in Tz. And those brothers are Tanzanians born and raised in the motherland.
Mwambie kulikuwa na Chama Cha Siasa kinaitwa Afro-Shiraz Party hapa Tanzania. Muuliza Shiraz people ni akina nani walioungana na Africa kumpinga mkoloni?
 
Naivas pekee ikona more Revenue than the biggest company in bongoslum, in fact it's almost double. Nyef nyef eti wakenya wanaptia hali ngumu yet our retail sector is bigger than all countries in the region combined.

Image
 
Naivas pekee ikona more Revenue than the biggest company in bongoslum, in fact it's almost double. Nyef nyef eti wakenya wanaptia hali ngumu yet our retail sector is bigger than all countries in the region combined.

Image
Kwa sababu ya umaskini wenu retailers wapo kibao sana in Tanzania na ukiweka combined revenue ya hao retailers inapita bajeti yenu ya miaka 30. Nyinyi kwa sababu ya uvivu wenu mnaona kuwa hivyo visupa market ni Dili. Huku nobody cares about supermarket na ndo maana Tanzania Kuna maduka mengi sana kuliko nchi yoyote east africa
 
Naivas pekee ikona more Revenue than the biggest company in bongoslum, in fact it's almost double. Nyef nyef eti wakenya wanaptia hali ngumu yet our retail sector is bigger than all countries in the region combined.

Image
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha upumbavu wewe. Heb tuone hizo biashara za Naivas. Au wazee wa kuandika tu takwimu..? Umeona Azam hii mambo yake. Actually the biggest brand in East and central Africa. 👇🏾
IMG_6588.jpeg
it’s one among the largest in the whole of Africa. Hizi hapa ni compuni za Azam. 👇🏾
IMG_6589.jpeg
katika hizi kampuni hakuna hata kampuni ya ya kunya inaweza tia pua yake kwa kampuni yoyote kati ya hizo. Unaleta utoto eti Naivas sijui. 🤣🤣🤣
 
Hana historia yeyote anajua ukiachana na ile ya maumau resistance. 🤣🤣🤣
Anatakiwa ajue hao Shiraz waliingia South East Africa between the 13th century and 15th century wakitokea persia(Iran) eneo linaloitwa Shiraz. Walikaa maeneo ya Kilwa. Kumbuka miaka ya nyuma Kilwa ilikuwa mji mkubwa wabiashara.
Walisambaa Tanzania Inland na wakaenda mpaka Comoros.

Ndio maana kuna uhusiano mkubwa sana wa Tanzania na Comoros. Mimi mwenyewe ni Mixed Race, Bantu, Cushite and Shiraz. Sasa utaniita mimi kabila gani? Niliamua kuchagua kabila moja la Kibantu. Lakini muonekano wangu sio wa kibantu.
 
Lakini robo tatu ya budget ni mikopo na kulipa mikopo inayobaki ni kuhudumia ikulu na government officials
Na wanashindwa mpaka kulipa mishahara ya watu wa counties wakati kitu Tanzania tushamaliza hela ya sikukuu maana kitu kimeingia kabla ya tarehe
 
Anatakiwa ajue hao Shiraz waliingia South East Africa between the 13th century and 15th century wakitokea persia(Iran) eneo linaloitwa Shiraz. Walikaa maeneo ya Kilwa. Kumbuka miaka ya nyuma Kilwa ilikuwa mji mkubwa wabiashara.
Walisambaa Tanzania Inland na wakaenda mpaka Comoros.

Ndio maana kuna uhusiano mkubwa sana wa Tanzania na Comoros. Mimi mwenyewe ni Mixed Race, Bantu, Cushite and Shiraz. Sasa utaniita mimi kabila gani? Niliamua kuchagua kabila moja la Kibantu. Lakini muonekano wangu sio wa kibantu.
Hachelewi kusema wakamba ni WA Tanzania maana same history
 
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha upumbavu wewe. Heb tuone hizo biashara za Naivas. Au wazee wa kuandika tu takwimu..? Umeona Azam hii mambo yake. Actually the biggest brand in East and central Africa. 👇🏾View attachment 3308616it’s one among the largest in the whole of Africa. Hizi hapa ni compuni za Azam. 👇🏾View attachment 3308623katika hizi kampuni hakuna hata kampuni ya ya kunya inaweza tia pua yake kwa kampuni yoyote kati ya hizo. Unaleta utoto eti Naivas sijui. 🤣🤣🤣
Revenue ya Naivas kampuni moja pekee ni ksh 96 billion. Numbers ziko wazi. Sasa kusanya hizo kampuni zote za mwenye Azam uweke pamoja alafu utuambie kama inashinda Naivas kampuni moja pekee.
 
Back
Top Bottom