Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwikwi toka imenununuliwa ndo kwanza amefikisha robo ya kwanza ya mwaka na ripoti ya hasara inayonesha kabla kampuni haijanununuliwa
Wewe huropokwa tu, hio hasara hata imeongezeka ju ya kampuni kuuzwa.

Image
 
Hakukuwa na taifa la Kenya kabla ya 1920 sasa wewe unaleta kitu cha miaka ya 1880 hapa ambapo hata jina Kenya halikuwahi kuwepo.
In 1920, the East Africa Protectorate was turned into a colony and renamed Kenya after its highest mountain.
Mipaka inayotambulika ni baada ya uhuru wenu wewe nyangau
Na
On 12 December 1964, the Republic of Kenya was proclaimed, and Jomo Kenyatta became Kenya's first president. Under Kenyatta, corruption became widespread throughout the government, civil service, and business communit
East Africa Protectorate turned to Kenya. Are you aware that Kilimanjaro was within East Africa Protectorate which is currently Kenya? So ni nini unapinga? You are a cow.
 
Basi la 35mil linanunuliwa baada ya miaka miwili . Total order of Kenyan buses kwa mwaka mzima au ununuzi wa mabasi ya kikenya kwa mwaka haufuki hata 100 units. Ila Kila siku ukieenda namanga Kuna msururu wa trucks kwa zaidi ya km 2 mbili zinaleta mizigo Kenya vikiwemo viatu. Mtu akipiga trip 10 tu kwa miezi 6 kashazid dhaman ya basi wakati nyinyi hata deni la mkopo wa basi linakiwa halijaisha.
Kwa kununua mabasi Kenya tunawafanyia msaada msife njaa , ndo maana mnaona tunaagiza units 100 kwa mwez toka china Kila mwezi ila tunanunua units zisizozid 10 toka Kenya kwa mwaka mzima
Kwa hivyo Kenya inauza basi pekee bongoslum? You are a smart fool.
 
East Africa Protectorate turned to Kenya. Are you aware that Kilimanjaro was within East Africa Protectorate which is currently Kenya? So ni nini unapinga? You are a cow.
Jina Kenya limeanza kutumika 1920.
Cha pili lazima utambue east Africa protectorate na Kenya ni vitu viwili tofauti. East Africa protectorate ilijumuisha the current Kenya na somalia .
Sasa unachotakiwa kutambua ni kuwa Kilimanjaro halikuwahi kuwepo ndani ya Kenya bali ilikuwapo ndani ya east Africa protectorate ambayo ilicomprise somalia.
Kenya kama Kenya halijawahi kuwa na Kilimanjaro kamwe.
Kuna utofauti wa Kenya kama Kenya na east African protectorate
 
East Africa Protectorate turned to Kenya. Are you aware that Kilimanjaro was within East Africa Protectorate which is currently Kenya? So ni nini unapinga? You are a cow.
Rudia neno currently Kenya kwahiyo Kuna utofauti kuwa haikuwa Kenya bali ilikuwa ndani ya easta Africa protectorate
 
Sasa naanza kushusha yale yaliyoendelea Jana Wedding of Africa. East Meet West

Yoruba Girl and Swahili Man both belong to the Niger-Congo Language, Wakenya wapo nyuma sana. Hii harusi iligeuka fashion show. Leo wanapumzika kesho harusi inaendelea. Baada ya hapo Wa Nigeria watakuja Tanzania

Kutakuwa na bonge a sherehe. Wakenya tunawakaribisha mje Tanzania

1744984784778.png
 
Yani nimekuonyesha Lori ya Tanzania ikibeba tiles Ruiru na unapiga kelele eti hamwezi nunua udongo kutoka Ruiru. Najua hujajenga nyumba, Jenga kwanza utajua tu 😂
Kwani Lori ya Tanzania iliyoleta mzigo ukunduni ikishashusha haiwezi kukodiwa na mkunya kubeba mzigo kupeleka sehemu nyingine ukunyani?
 
Kwani Lori ya Tanzania iliyoleta mzigo ukunduni ikishashusha haiwezi kukodiwa na mkunya kubeba mzigo kupeleka sehemu nyingine ukunyani?
Mfano tu cement Kenya sasa hivi SI chini ya 850 sawa na 17,000 ya tZ ila dangote dodoma inauzwa 15,000 km 1000 toka mtwara hiyo ni cement tile nikiweka atalia hapa
 
Jina Kenya limeanza kutumika 1920.
Cha pili lazima utambue east Africa protectorate na Kenya ni vitu viwili tofauti. East Africa protectorate ilijumuisha the current Kenya na somalia .
Sasa unachotakiwa kutambua ni kuwa Kilimanjaro halikuwahi kuwepo ndani ya Kenya bali ilikuwapo ndani ya east Africa protectorate ambayo ilicomprise somalia.
Kenya kama Kenya halijawahi kuwa na Kilimanjaro kamwe.
Kuna utofauti wa Kenya kama Kenya na east African protectorate
You are a cow, Somalia was under Italian empire.
 
Back
Top Bottom