The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Alafu wao kwao ni mpesa tu ndiyo mana anakuwa monopoly.Hii ndio refference yako.? 🤣🤣🤣
Skiliza Lipa kwa simu zipo kila kona ya Tanzania hii… na kila siku mobile money mitandao inaongezeka. Ever heard of Azam pay..? 👇🏾View attachment 3295771hii hauhitaji kuwa na sim card. Na ni useful hata ukiwa na kiswaswadu unabonyeza zako hizo USSD code unatumia.
Watu kwasasa tupo mbali sanaaa budaa. 🤣🤣🤣 we endelea kutupigizia kelele za Mpesa.