Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣 cheki hii imeniacha hoi sana. View attachment 3296067Cc chongchung. hii picha uliijuaje mkuu.?
😂😂😂😂😂 Acha tu hawa viumbe wapo hovyo kila idara 😂😂 kwanza hawana nuru hawapendezi kwenye kila wanachovaa na hawana muonekano wala taste ya kushine 😅😅 em angalia hapo unaeza sema ni vichaa waokota makopo au waganga kutoka ukambani 😂😂😂
 
Tanzania

images (56).jpeg
28.jpg


Kunyaland 😂😂😂
Confused and lost hope and uncertainty na magovi 😅
images (54).jpeg
images (57).jpeg
images (63).jpeg
 
Kunyarender njoeni mjifunze hapa, mkisikia modern cities hivi ndivyo inafaa kuwa.. 👇🏾
View: https://youtu.be/lKTPetk_opI?si=QEkU_jr3J3bCrgld. Kwa hii organization yetu kwenye usafiri Bongo nadhani kwa Sub saharan Africa ni SA pekee labda ndio itatia pua yake. N-card Tz. 👇🏾ukiwa na haka ka card bongo unaingia kila sehemu ya public
IMG_6335.jpeg
IMG_6338.jpeg
this the true meaning of modernity. kennedy0000. Na wewe mwaisa Sadima mwaiofhawaii. Njooni mjifunze bongo. Halafu mtueleze hiyo nairobi mnaita advanced city in EA kwa kuzingatia vigezo vipi.. 🤣🤣🤣
 
Wewe watchman unajua hata rugby ni nini? Do you even know the rules of the game? We reached final wakati wewe hapo Tandale hujui hata HSBC Sevens ni nini
According to Watchman’s logic aka Alaska 007 , Morocco ain’t all that good coz they lost in the semis of the World Cup…
 
Wewe ndo huna akili hata kidogo, unaquote mtu anaebudu mungu ankikudanganya usiabudu Mungu. Karl Marx was a Jew!!

Wewe endela kula matango pori tu, maana kwenye karne hii kula matango pori nibkujitakia tu. Kila kitu kipo wazi kabisa!!
Kulingana na hii reply yako ni kama huko bongoslum mtu hawezi kua open minded. 😄🤣 A simple quote ndio inakupandisha hasira hivi.
 
Back
Top Bottom