Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti Kunyaland judiciary building πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mlijenga ninyi? Hiyo inaitwa Asante mkoloni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Just because you moved into an office complex dubbed judiciary building doesn't mean you are any better. This is what you've called your Judiciary building for the last 60 years
images - 2025-04-07T194421.133.jpeg
 
Kwani mlikula kitombo na hamsemi?🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Wewe watchman unajua hata rugby ni nini? Do you even know the rules of the game? We reached final wakati wewe hapo Tandale hujui hata HSBC Sevens ni nini
 
Tuko hapa πŸ‘‡πŸ‘‡

Tanzania judiciary building
View attachment 3295460
Vs

Kenya colonial judiciary building 🀣🀣🀣🀣
View attachment 3295461
Tofauti ni zaidi ya usiku na mchana, huwa najiuliza kodi mnazolipa huwa zinaenda wapi ikiwa majengo muhimu yote ni yale yale mliyoachiwa na mkoloni, hamuwezi kuwa huru ikiwa hamuwezi jenga wenyewe majengo muhimu kama ikulu, mahakama na bunge. Kenya ni hopeless country ever.
Kenya ni hopeless wakati imeshinda nchi yako ni almost everything!πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom