Nani alikuambia hio data haijatoka kwa takwimu husika au unakimbiza mdomo kuliko akili kama pumbavu.Takwimu sahihi ni takwimu zinazotoka kwa taasisi husika na si vinginevyo kama vile Ruto, a head of state, alipoutangazia umma na ulimwengu kuwa Tanzania ni kinara wa regional trade.