Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Takwimu sahihi ni takwimu zinazotoka kwa taasisi husika na si vinginevyo kama vile Ruto, a head of state, alipoutangazia umma na ulimwengu kuwa Tanzania ni kinara wa regional trade.
Nani alikuambia hio data haijatoka kwa takwimu husika au unakimbiza mdomo kuliko akili kama pumbavu.
 
Kwa hivyo the rest of the people sharing their negative testimonies and those agreeing with him wanaishi Nairobi pia? Wewe hua na akili ndogo sana. Instead of solving your problems munapenda tu kulialia na jina ya wakenya, nowonder mutaendelea kubaki nyuma.
Wewe ndio mwenye akili ndogo na kwa muda upo hapa umeshindwa kuelewa siasa za Tanzania. Wote wanaokoment kwenye hiyo video ni followers wa huyo Sativa, mfuasi wa Maria Sarungi huko Nairobi.

Yaani nina malalamiko nayarekodi then anapost mtu yuko Nairobi why not mimi mwenye malalamiko?

Nyingine hii, imepostiwa na wakina Lema, wale wajinga wa Chadema na wapenda kuja huko Nairobi kwa vigezo vya ukimbizi uchwara. Uzushi mtupu!

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1907032666790080626
 
Decoder ya Azam is just 1500 bob sasa hiyo ishinde nani?
Kwani Tikitimaji ni bei gani? Mbona mnayaokota mnakula?

1743544143500.png
 
Wewe ndio mwenye akili ndogo na kwa muda upo hapa umeshindwa kuelewa siasa za Tanzania. Wote wanaokoment kwenye hiyo video ni followers wa huyo Sativa, mfuasi wa Maria Sarungi huko Nairobi.

Yaani nina malalamiko nayarekodi then anapost mtu yuko Nairobi why not mimi mwenye malalamiko?

Nyingine hii, imepostiwa na wakina Lema, wale wajinga wa Chadema na wapenda kuja huko Nairobi kwa vigezo vya ukimbizi uchwara. Uzushi mtupu!

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1907032666790080626

Kwako kila kitu ni siasa.

Ostrich Head In Sand GIFs | Tenor
 
Our railway project ni ya kipekee sana na imeattract wivu mkubwa hasa toka kwenu, taifa la njaa.
Your SGR is the only SGR in this region which has trains that stall twice every week. Why should be jealous of such failures that make losses left, right and center. By the way your railway corporation just made a 245B loss.
 
Chakula? 🤣🤣🤣
Unadhani mimi pia nahangaika na utapia mlo kama wewe mla mihogo?
Mihogo Tanzania sio chakula ni kama snacks tu. Nilipo lelewa hata ugali ni marufuku kupika na familia nyingi sana Tanzania kupika ugali ni mara chache na ni almost a taboo kula ugali usiku.

Kenya, Nigeria ni moja ya nchi kunywa chai ni familia za kitajiri tu. Most families kwenye hizi primitive societies, kifungua kinywa ni ugali mkubwa mpaka usiku wapike tena or kesho.
 
Your SGR is the only SGR in this region which has trains that stall twice every week. Why should be jealous of such failures that make losses left, right and center. By the way your railway corporation just made a 245B loss.
You are very stupid! Hakuna mahala CAG amesema SGR inaloss ya aina yeyote. TRC imekuwa na loss due to MGR na ndio CAG ameelekeza wanunue mabehewa mapya na vichwa vipya kwakua vipo viwili toka Malaysia H10 series.

Na bado hizo locomotives H10 series ni nzuri kuliko zenu za SGR.

1743544863707.png

1743544935490.png
 

Attachments

  • 1743544830971.png
    1743544830971.png
    270 KB · Views: 27
Mihogo Tanzania sio chakula ni kama snacks tu. Nilipo lelewa hata ugali ni marufuku kupika na familia nyingi sana Tanzania kupika ugali ni mara chache na ni almosta taboo kula ugali usiku.

Kenye, Nigeria ni moja ya nchi kunywa chai ni familia za kitajiri tu. Most families kwenye hizi primitive societies, kifungua kinywa ni ugali mkubwa mpaka usiku wapike tena or kesho.
Hii statement inaonyesha tu ulilelewa kwa shida na umaskini. 🤣 🤣 I thought utatuambia ulilelewa ukikula caviar, we unadhani kutokula ugali ndio utajiri.
 
Hii statement inaonyesha tu ulilelewa kwa shida na umaskini. 🤣 🤣 I thought utatuambia ulilelewa ukikula caviar, we unadhani kutokula ugali ndio utajiri.
Tanzania has best rice in the world, hata nyie hamna na ni ngumu kuafford best imported rice. Kuna rice za kila aina nyie mnakula mchele wa Mdundiko, huku Tanzania ni mchele wa kupikia vitumbua. All in all, tuna option kubwa likija swala la chakula ndio maana SURA ZETU ni nzuri compared to the rest of Africans.

1743545562946.png


1743545640885.png



1743545680015.png
 

Attachments

  • 1743545596312.png
    1743545596312.png
    341.3 KB · Views: 30
Hawa watu wana magovi msiwatilie maanani Teargas na huyu mpumbavu mwenzake pimbi hili nairobae 🤣🤣🤣🤣 hawa ni magovinda.

Ikiwa wao wanaona sawa kuwa na magovi, msidhani kama kuna mjadala utawekwa hapa halafu mkawashinda.

Hao ni majahil, yale mapumbavu ambayo hutaweza yaelimisha, yatakufa hivyo hivyo mazuzu haya mapumbavu.
 
Back
Top Bottom