Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si uongo, kama wangekua trendy basi wakenya wengi wangeitambua lakini wapi!.., section yao ya sports can't compete with Supersport ata robo!.., iko wired for Tanzanians not East Africans, ata Waganda niko sure hawaitambui..,
wakenya wengi sana wanaitambua azam tv na coast ya kenya karibu yote dish za azam zimetapakaa, nairobi mpaka kisumu dish za kutosha hata kati i was in migori wengi wanatumia azam tv, punguzeni wivu na chuki

supersport iko kwa ajili ya english premier league kwa soko la kenya hakuna kingine, lakini azam anachofanya ni kufufua mpira wenu uliokufa kwa miaka kadhaa ndio maana hata unaona wengi wenu munafurahia league yenu imefufuka yote ni juhudi za azam 😂😂😂
 
wakenya wengi sana wanaitambua azam tv na coast ya kenya karibu yote dish za azam zimetapakaa, nairobi mpaka kisumu dish za kutosha hata kati i was in migori wengi wanatumia azam tv, punguzeni wivu na chuki

supersport iko kwa ajili ya english premier league kwa soko la kenya hakuna kingine, lakini azam anachofanya ni kufufua mpira wenu uliokufa kwa miaka kadhaa ndio maana hata unaona wengi wenu munafurahia league yenu imefufuka yote ni juhudi za azam 😂😂😂
Mombasa ni base yangu, hapo umedanganya, uongo kabisaaa.., pengine Watanzania wanao ishi huku na wapwani wenye relatives kutokea Tanzania., internet connections, DSTV na GoTV ni zaidi ya Azam by far!!!,..., na kwa wingi wa smart na digital TV nani ananunua decoder?.., wachache sana!!!
Kisumu ndio umedanganya zaidi 😀 😀 😀 😀
 

Hawa kenge wa North kipindi Azam anachukua haki za ku rusha hizo mechi walidhani wataweka ukora wao wa kuchakachua na kuangalia bure hizo mechi.

Sasa wachague kununua kisimbusi cha Azam wa angalie mechi... Au watulie hadi mkataba uishe na wasimuongezee tena. Ila mambo ya kuangalia chanel za bure kama DSTV hiyo hakuna.
 
Wewe ni kichaaa, kwahiyo broadcaster anatoa mawe? Timu zenu kubwa zilikuwa haziwezi hata kulipia hotel, wachezaji walikuwa wanalala airport, leo Azam kaweka pesa angalau kdg mambo yanaenda ila nakuhakikishia Azam ataondoka hapo mana ni kama anakula hasara tu kwa ufadhili wake hapo kwenye ligi yenu dhaifu.
Wewe ni mjinga tu, hakuna unachojua. Azam does not sponsor kpl neither does it sponsor any team there. Kwa Sasa kpl haina sponsor. As for teams, Gor Mahia is sponsored by Sportpesa, AFC Leopards is sponsored by Betika while Tusker is sponsored by EABL. Ingekuwa Azam insponsor any team in that league, tungekuwa tunaona logo ya Azam at the front of those teams' jerseys. Tell me any team that has Azam logo on its Jersey in KPL. Wewe desperation itakuuwa bure
 
Hawa kenge wa North kipindi Azam anachukua haki za ku rusha hizo mechi walidhani wataweka ukora wao wa kuchakachua na kuangalia bure hizo mechi.

Sasa wachague kununua kisimbusi cha Azam wa angalie mechi... Au watulie hadi mkataba uishe na wasimuongezee tena. Ila mambo ya kuangalia chanel za bure kama DSTV hiyo hakuna.
Wakenya wengi wanaifurahia sn Azam mana ndiyo mkombozi wao kwa sasa, hizo kelele zinapigwa na hawa wezi wa mtandaoni wazee wa tuma kwenye namba hii.
 
Wakenya wengi wanaifurahia sn Azam mana ndiyo mkombozi wao kwa sasa, hizo kelele zinapigwa na hawa wezi wa mtandaoni wazee wa tuma kwenye namba hii.
Unatamanigi hisia zako zikue ukweli, pole sana mko peke yenu na Azam yenu hehehe..,
 
Wakenya wengi wanaifurahia sn Azam mana ndiyo mkombozi wao kwa sasa, hizo kelele zinapigwa na hawa wezi wa mtandaoni wazee wa tuma kwenye namba hii.

Wakora wengi kwenye huu uzi ni wash wash ndio... Wanatapeli wazee wa kizungu kwa kuwarushia picha za malaya kumbe ni madume... Wengine wanageuzwa tu kwa uvivu wao wa kufikiri...
Njaa kali sana hawa... 24/7 wapo mtandaoni tu kutafuta fursa kwa vibabu vya kizungu
 
Kwasasa vumilieni tu hakuna jinsi, Azam ndiyo main broadcaster wa ligi yenu dhaifu, hata jezi za timu yenu kubwa zinadizainiwa na mtanzania, vumilieni tu.
😂😂😂
Kumbe naongoe tu ba kilaza asiyejua lolote. Eti jersey za timu zetu zinadisainiwa na mtanzania?🤣🤣🤣🤣🤣
You design those ugly kits and make noise about it you forget we designed one of your Blue Towers that will be there for hundreds of years wakati your ugly kits won't be there a year or two from now!
 
We kweli hujui chochote kumbe, Azam aliingia udhamini na cha cha soka kenya wa 1.3bln pia leopard nao wanaudhamini wa Azam tv.Sema kwa sababu ya ugumu wenu mnaona shida kuwa na ving'amzi viwili Dstv na Azam kama ilivyo Tz.Pia Tz sasa Epl sio kipaumbele chetu ndio maana kila kona watu wako na azam Dstv ziko Hotelini,Bar,restaurants nk..lakini nao wana azam kwa kuwa priority ya watanzania ni Ligi kuu Bara.
Eti EPL sio kiosumbele Tanzania? Are you referring to the best and most famous league in the world ama kuna EPL nyingine?

Enyewe mitanganyika mnapenda kujitekenya 😂😂
 
Eti EPL sio kiosumbele Tanzania? Are you referring to the best and most famous league in the world ama kuna EPL nyingine?

Enyewe mitanganyika mnapenda kujitekenya 😂😂
Tumeshatoka huko.Sasa Nyumbani zaidi those days Epl had conquered but now days local league has conquered na sababu ni Live coverage za Azam tv
 
Wewe ni mjinga tu, hakuna unachojua. Azam does not sponsor kpl neither does it sponsor any team there. Kwa Sasa kpl haina sponsor. As for teams, Gor Mahia is sponsored by Sportpesa, AFC Leopards is sponsored by Betika while Tusker is sponsored by EABL. Ingekuwa Azam insponsor any team in that league, tungekuwa tunaona logo ya Azam at the front of those teams' jerseys. Tell me any team that has Azam logo on its Jersey in KPL. Wewe desperation itakuuwa bure
Hivi unajua kuwa nembo ya Azam zipo kwenye jezi za timu zote za KPL au unapayuka hapa kigovi govi, embu nenda kaangalie jezi za timu zenu.
Azam ni sponsor wa timu zenu zote ndio maana logo yake ipo kwenye jezi.

View: https://x.com/afcleopards/status/1906658608869175407?s=46
 
Ila wakenya ni wangese sana sema amna ela za kununua ving’amuzi viwili For sure mmeonyesha ufukara wenu ulipo nyie si mnajifanya mpo na mapene hahhahaha kilio cha samaki.

News ni kuwa uku Bongo kila nyumba unakuta dish mbili na kuendelea sasa wenye ela na financial strength mmeshindwa.
View attachment 3289821
😁😂😁😁😁😁😂 poor kenyani
People are moving away from decoder Nyinyi bado mmekuamilia kwa old world. Ni lini mtacivilize Nyinyi wachawi?
 
Ila wakenya ni wangese sana sema amna ela za kununua ving’amuzi viwili For sure mmeonyesha ufukara wenu ulipo nyie si mnajifanya mpo na mapene hahhahaha kilio cha samaki.

News ni kuwa uku Bongo kila nyumba unakuta dish mbili na kuendelea sasa wenye ela na financial strength mmeshindwa.
View attachment 3289821
😁😂😁😁😁😁😂 poor kenyani
People are moving away from decoder Nyinyi bado mmekuamilia kwa old world. Ni lini mtacivilize Nyinyi wachawi
Yaani mko karne ya zamani sana, nani ananunua dish huu wakati!! hii ni ya mafukara wa vijijini, in Kenya almost every appartment and houses have internet connection, TV siku hizi ni smart, una download App ya DSTV, uko na Netflix, Youtube, n.k sio kung'ang'ana na ma wire juu ya roof na scrape metal eti dish, ushamba itauwa Watanzania walai😳😳, tunaongoza mnafata.., mishamba Pro Max!😀😀😀😀
Nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom