Yaani nyinyi mnapaonaga US kama wap vile...kwan marekani haiwezi kuwa shithole?
Instead of using your resources to build your nation mko kwa nchi za watu mnawaibia?
Yaani kimsingi mnawaabudu sana West na US...juzi kwenye post ya Larry, naona wakenya wanasema JNIA haiwezi kuwa the best kwa sababu haina direct flights to US, as if dunia iko US....Hamjiamini jinsi mlivyo, hamna stand. Hamna identity yaan kimsingi nchi yenu ni shithole
Na kaa mkijua hapa East Africa na Africa in General hakuna mtu anayewakubali wakenya...mnaonekana watu wa hovyo, parasites, roho mbaya nk
Juzi nilisikia Mganda anasema Kenyans have the problem of narcissism and big bro syndrome. Hawafai kuishi nao karibu