ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Umlnahamisha magoli ๐๐๐๐๐we believe it was magufuli strategics and plans, tatizo liko kwenye kujenga na usimamizi hapa ndipo kwenye shida kubwa na waswahili wanasema ukiona mtu anakusifu saana basi mpanguse asiwe miongoni marafiki zako ๐๐
haya mimi nipo .........
nasemaje kama ni 2030 basi utuambie zilianza kujengwa mwaka gani ikiwa lots hzo zina 3+yrs hvi sasa ๐๐๐๐Umlnahamisha magoli ๐๐๐๐๐
Reli zote zinakamika 2030
Mbona hukusanyangaa km 300 miaka 6? ๐๐nasemaje kama ni 2030 basi utuambie zilianza kujengwa mwaka gani ikiwa lots hzo zina 3+yrs hvi sasa ๐๐๐๐
shida ni ujenzi au shida ni usimamizi wa hela za mikopo inayokopwa ovyo??
kuna waziri yuko ofsini anataka aweke sahihi yake kwenye noti ya tanzania na hio ndio development kwa nchi yake ๐๐๐๐ป๐๐ป
sio km 300 sema km 722 to dodoma and the case mradi kuchelewa walitaka ifike dodoma ili waanze kukusanya pesa kwa kua wangeanza na morogoro kusingekua na impact kubwa kama dodoma ๐๐๐Mbona hukusanyangaa km 300 miaka 6? ๐๐
Amefanya nani?sio km 300 sema km 722 to dodoma and the case mradi kuchelewa walitaka ifike dodoma ili waanze kukusanya pesa kwa kua wangeanza na morogoro kusingekua na impact kubwa kama dodoma ๐๐๐
ww hujiulizi kwann wamefungua lots mbili kwa wakat mmoja dar to dom ๐๐๐
kwani unafkiri alieanzisha angeiacha njiani??๐๐๐Amefanya nani?
Na hizo section zingine subiria miaka 6 ikiisha uliza
Plan imekuwepo kabla hata ya magu kuingia madarakanwe believe it was magufuli strategics and plans, tatizo liko kwenye kujenga na usimamizi hapa ndipo kwenye shida kubwa na waswahili wanasema ukiona mtu anakusifu saana basi mpanguse asiwe miongoni marafiki zako ๐๐
haya mimi nipo .........
imekuwepo na ilikua inafanya kazi gani kwenye makabati ?? au ndio kashakufa mwenye nacho kila mmoja anasema ilianza kwake ???Plan imekuwepo kabla hata ya magu kuingia madarakan
Yule Jamaa yenu angekuwepo tungepata tabu sana karibia Zimbabwe type ๐๐kwani unafkiri alieanzisha angeiacha njiani??๐๐๐
ww hujuilizi kwann wakenya wanamuogopa sana magu ushawah kuona hata wanamchora picha amekufa amewekwa kwenye jeneza kama walivofanya kwa marais wa east africa ??
hebu tafuta mkenya yoyote humu ndani nenda nae inbox alaf muulize rais alieleta mageuzi makubwa tanzania utaskia mwenyewe wanakwambia ๐๐๐๐๐
Kimsingi ni cosmetic Haina maana ๐๐Ichoboyo1
Kafanyaje nawakati ww ndiyo unaponga sgr kuwa ni cosmetic project