Tunadeal na washamba wengi sana huku.Hata hawakujua voting like that was happening 😂
Tunadeal na washamba wengi sana huku.Hata hawakujua voting like that was happening 😂
Hakuna slums in Tz na dual carriage ways zipo za kutosha, tena ni njia sita sita sio nneThere is no dual carriage way passing through their slums, so lazima tu uwaelewe.
Issue sio dual Carriage way , issue ni BRT kupita huko and its accually six lanes road. 🤣🤣🤣 unabadili mada fala hiiDude thought he would impress us with dual carriageways 🤣🤣
Wanafikiria inatuuma hawajui ni sisi wenyewe tuliamua hivo. unajua kwao ni dhambi kukosoa sisiemu 😂😂😂Voted by Kenyans, let that sink in your thick head.
No,the world😂Voted by Kenyans, let that sink in your thick head.
Voted by Kenyans, let that sink in your thick head.
😂😂😂😂😂😂😂 yani mpaka mchina aamue kujenga kwa pesa zake ndio munasonga mbele na sijui ataimiliki kwa miaka mingap ya rabbi
na hii itakua ya nani ??😂😂😂😂Mali ya mchina ndio hii. 👇👇
On February 4, 2004, a senior Chinese official visiting Dar es Salaam announced that the Chinese government would provide a grant to the Government of Tanzania for the Benjamin Mkapa National Stadium Construction Project (or Tanzania National Main Stadium or 坦桑尼亚国家体育场)
Project | china.aiddata.org
Sasa mchina ajenge kwa pesa zake alafu andike ati miliki ni GOK? Labda kwa ndoto yako.😂😂😂😂😂😂😂 yani mpaka mchina aamue kujenga kwa pesa zake ndio munasonga mbele na sijui ataimiliki kwa miaka mingap ya rabbi
na hii itakua ya nani ??😂😂😂😂
uwanja wa benjamin umejengwa 2005 na walikua wanarudisha fadhila baada ya mwalim nyerere kuwasaidia sana
sasa nyinyi 2025 bado munasubiri mchini atoe hela yake ajenge alaf aimiliki 😂😂😂
View: https://x.com/nationafrica/status/1765302835229392935?s=46
kwani expressway aliandika yeye mmiliki?? na ni ppp kama stadium au akili yako inawaza jaba 😂 yani ww sometimes ni kama mwehuSasa mchina ajenge kwa pesa zake alafu andike ati miliki ni GOK? Labda kwa ndoto yako.
kwani expressway alisema yeye ni mmiliki na ni ppp same like talanta ? 😂😂😂😂